Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

"...wiki iliyopita nikaona nisogee kwa bi mkubwa....


...tangia hapo likawa linatafuta tu lodge mi naenda kulitoa maji..."
Nlikuwa nahisi pahali hapako sawa ila nlishindwa kupatafuta😂😂😂😂

Umenisaidia mkuu hapa hesabu inemoga kabisa ya mtoa mada
 
LEGEND NARUDI TENA HIVI.....

Kwanza nikiri tu mi sio mzinzi sema napendanga kupiga show.

Juzi Kati nilitinga kwenye harusi ya mshikaji wangu mmoja hivi. Sasa Kuna kidemu kimoja nilitokea kukielewa Sana Ila namna ya kukitongoza sasa ndo ikawa mbinde. Kwanza mishemishe zilivokua nyingi Hadi nikachanganyikiwa. nimekavutia upepo hadi saa sita usiku nikawa nime give up. Nikaamini tayari mkeka ushachanika.

Imefika saa 8 hivi mchizi wangu mmoja akaja kunitonya kua anasepa magetoni kulala nikamwambie tusepe tu hata mi nshachoka. Sasa ile natoka nje nakuta msela yupo na msafara wa mademu watatu mmoja Kati yao nilikua namjua ni demu wa yule mwamba halafu wawili walikua ni wageni machoni mwangu Ila mmoja wa hao sura ngeni ni yule manzi niliyekua namtamani patamu hapo .

Basi tumesepa Hadi gheto kwa mdau akawaonesha sehemu ya kulala wale wademu wawili yeye akazama chumbani na yule manzi yake mi nimebaki sebuleni. wakati wansepa nikasema hapa sikubali nikakaitakale kamanzi.. sorry njoo nikuulize kitu kakasita halafu kakaja yule mwenzake akajiongeza akasepa... hahhahahahha kilichohapeni ntasimulia siku ingine Ila ndo hivo nilivokula "epo" kimasikhara
Wapenda masihara, Jambo kwenu!

Mwanzoni mwa mwezi wa sita mwaka huu, nilipata safari ya kikazi kwenda Arusha kuhudhuria mkutano. Nilisafiri kwa ndege ya Precision Air na tulitua katika uwanja wa KIA mida ya saa saba na nusu hivi. Baada ya kushuka nilienda kupanda shuttle ya kampuni hiyo kwa safari ya kuelekea Arusha mjini. Ndani ya shuttle hiyo nilibahatika kukaa kiti kimoja na mdada mmoja hivi maridadi haswa! Karibu njia nzima, huyu mdada alikuwa akiongea na simu. Alikuwa bize kweli kweli kuongea na simu.

Tulipokaribia mji wa Tengeru, yule mdada alinigeukia na kunisalimia! Niliitikia salamu yake na kisha nikamwambia "Dada hufananii na tabia yako" . Alishtuka na kukunja sura kidogo mimi nikatabasamu. Akaniuliza kwanini unasema hivyo? Nikamjibu, ilitakiwe asalimie wakati alipoingia. Aliomba msamaha na kudai kuwa alikuwa na mazungumzo muhimu na ndugu yake. Huo ukawa mwanzo wa kufahamiana.

Nilikuja gundua kuwa huyu mdada naye alikuwa akienda katika mkutano huo na bahati mbaya hii ilikuwa mara yake ya kwanza kufika Arusha na hakuwa na mwenyeji. Ni HR katika hiyo kampuni. Alitaka kubana matumizi kwa kwenda kufikia katika lodge ya bei ndogo ili aweze bana matumizi. Nilimpiga shule hadi akakubali kufikia ktk hoteli ambayo kazini waliniandalia tayari.

Mungu akupe nini tena? Alikuwa mdada mzuri sana, mwenyeji wa Lindi, mwenye sifa zote za kuitwa mzuri. Anayajua mapenzi na kumfikisha mwanaume kitandani. Anajua kunyonya koni na kuyachambua mapmbu kwa mikono yake laini kama halili. Kwa siku tano tulizokaa Arusha tulijikuta tunakuwa kama mume na mke. Yeye hajaolewa ila ana mchumba na anatarajia kufunga ndoa mwezi wa pili mwakani. Tunaemdelea kuwasiliana na kukutana mara chache.
 
Bure hiyo... Nipo tangu 2014 naingia nakutoka, ukiwa mjanja unakula watoto wabichi, mashangaz na mamaza yenye kujitambua... Ukijichanga unakula malaya tupu maana ndio wengi
8766D065-8C56-43F7-A619-C8FA0BC75037.jpeg
 
Pole kwa Yote Ila naomba kukutaarifu kitendo cha kumficha huyo mwanamke Kuhusu Hali yake ya Afya siyo Kizuri. Nakushauri tumia njia nzuri umpeleke kwenye Hospital Akapate kipimo cha uhakika zaidi ili waweze kumpa Ushauri na Saha.

Kwa hapo utakuwa umetulinda sana Wana Masihara ambao kwentu Ndomu ni mzigo
Aisee kumuweka wazi kuhusu afya yake ni hatari kwangu... Naweza nikajikuta jela endapo atachukua maamuz magumu

Mi nimeamua kuanzia leo namkatia mawasiliano.
Napambana kumeza hizi PEP za TLD
 
Leo naleta kimasihara yangu nyingine.
Mwaka 2019 nikiwa mwaka wa tatu UDSM nikaenda kupangisha chumba maeneo ya Afrikana salasala kutokana na biashara zangu ambazo nilifungua maeneo ya salasala Magengeni kama vile Tigopesa na kijiwe cha chips.
Kiukweli biashara zilikuwa zinaenda vizuri Sana kama ujuavyo maisha ya chuo nilikuwa nikiishi kwa bata sana pamba Kali nini.
Basi nikatishe stori Nyumba niliyokuwa nimeenda kupanga alikuwa anaishi mama mwenye nyuma na watoto wake wakiume ambao wote wameoa na wanaishi mabanda ya uwani sawa na mimi niliyepangisha.
Nikafika pale nadalali wangu nikalipia miezi sita kama laki mbili na arobaini bivi na dalali akala yake 40,000.
Nikaingia dukani nikanunua godoro, then nikanunua bedi Kali ya chuma, gesi mtungi mdogo namazaga mengine ya ndani siunajua bumu limetema.
Nakarudi kutoka kununua vifaa nikiwa nimekodisha kigari hivii nikashusha vitu pale nikaipangilia rum ikapangika kwamaisha ya kisela wanachuo naamini mnanielewa.
Usiku wake bwana nikakorofisha msosi mtamu sanaa tambi na chai ya maziwa nikal nikalala.
Asubuhi nikaingia chuo.
Niliporudi chuoni mida ya saa kumi jioni nikamkuta mdada mmoja ivi miaka 30+ amekaa karibu na mlangoni kwangu anapika nikamsalimia nikaingia ndani bila kujua yule mwanamke ninani.
Nilivotoka kuoga nikamhoji siunajua ujirani mwema akasema yeye nimke wa mtoto mmojawapo wa mama mwenye nyumba.
Sikuwa na mazoeya sana nilipomaliza kuoga nikasepa kukagua biashara zangu kurudi usiku kama saa nne hivi malangoni kwangu nikakuta karatasi imekunjwa ikachomekwa kwenye tundu la kitasa cha mlango yaani pale pa kuchomekea funguo.
Nikajua watoto tu walikuwa wanacheza nikaitoa ila katika kuikagua nikakuta imeandikwa namba za simu na meno haya "TAGADHARI UNITAUFE"
Bila hiyana nikapiga zile namba nikitaka kujua nizanani katika mazungumzo akajitambulisha kama alivojitambulisha mwanzoni.
Nikamuuliza kwanini umeacha namba akasema amejisikiya tu na anapenda tuwe tunawasiliana usiku huo tulichati sana akasema anataka aje tucheki muvi chenge laptop yangu nikamkatibisha ndani.
Nikamhojia akasema mumewe nidereva huo anasagiri mikoani hivyo amesafiri hayupo.
Aisee wake wa madereva huwa wanaliwa Sana.
Basi picha lilianza demu alikuja na kanga moja kiunoni alafu kajitupia kitandani aisee kichwa cha chini kikashika hatamu.
Nililipapasa lile li demu piga sana madole kwenye qu*ma nyonya sana maziwa na kwamara ya kwanza nikaenda chumvini aisee nilinyonya japo nilitema mate wiki nzima baada yatukio.
Baada ya hapo nililito****omba kinoma yaani nililipiga mashine kinooma yaani show yakibabe sanaa.
Baadaye wazimu nao wakakaribia nikapiga tako harakaharaka kinomaa huku nimeliinamisha chuma mchicha ebwana ule mkundu sio wamchezo mtoto mtoto alipiga yowe nikahisi majirani wamesikia nikamziba kinywa na nikamwaga.
Kiufupi baada yahapo sikutaka tena mazoeya maana mke wa mtu sumu asubuhi nikatupa laini.
Jamaa alikuta meseji alimpiga sana mkewe na akaitafuta sana ile namba ila haipatikani.
Kiufupi wake wa dereva haswa wa masafa marefu huwa wanaaliwa sana.
Duh aisee mzee ukafunyua tope
 
Code zinasaidia ndugu,Karatu ni Wilaya ndogo,na kwa jinsi alivyomuelezea huyo Binti kwamba ana vichuchu vidogo nami ndio Ugonjwa wanguna kuna vibinti Vitatu sasa nipo kwenye mpango wa kuvila tatizo nakosa muda hivyo ukute pengine hiko nacho ni kimojawapo
 
Back
Top Bottom