Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hii ya kula mwenye PhD. Kuna mdada mmoja PhD nilikuwa namheshimu sana, akimwaga madini kwenye kikao kazi kila mtu ananyamaza kumsikiliza na kuchukua nondozz kwenye notebook kwa umakini mkubwa. Ana milundo na milundo ya papers kwenye mijarida ya kisayansi huko, na yote kaongoza mwenyewe tafiti hizo, kazunguka nchi yote hii na nje.
Siku napata tetesi analiwa na mtendaji wa kijiji mwenye elimu ya la saba niliwagombeza wambea wale nikawaambia wakome wawe na heshima kwa aliyewazidi. Nilipokuja kupata ukweli wenyewe nilishangaa sana, kumbe ati kweli mtendaji anakula, na hata mtoto wa Dr (huyo dakta ni singo maza) anamwita mtendaji "baba" (of course baba mtoto anajulikana siyo huyo mtendaji).
Kama mtendaji angekuwepo hapa JF angetuambia alivyopata zali la mentali kumla bosi kimasihara!
 
Hii ya kula mwenye PhD. Kuna mdada mmoja PhD nilikuwa namheshimu sana, akimwaga madini kwenye kikao kazi kila mtu ananyamaza kumsikiliza na kuchukua nondozz kwenye notebook kwa umakini mkubwa. Ana milundo na milundo ya papers kwenye mijarida ya kisayansi huko, na yote kaongoza mwenyewe tafiti hizo, kazunguka nchi yote hii na nje.
Siku napata tetesi analiwa na mtendaji wa kijiji mwenye elimu ya la saba niliwagombeza wambea wale nikawaambia wakome wawe na heshima kwa aliyewazidi. Nilipokuja kupata ukweli wenyewe nilishangaa sana, kumbe ati kweli mtendaji anakula, na hata mtoto wa Dr (huyo dakta ni singo maza) anamwita mtendaji "baba" (of course baba mtoto anajulikana siyo huyo mtendaji).
Kama mtendaji angekuwepo hapa JF angetuambia alivyopata zali la mentali kumla bosi kimasihara!
Haya mambo huwa hayana fomyula. Hawa wakubwa hawa wengi wako sexually starved wanaishi kwa mapunyeto na mamidori yao. Siku akipata mwanaume mwenye mashine ya kueleweka na anayejua mambo akapigwa show ya kweli huwa wang'ang'anizi sana. Huyo mtendaji wa kijiji bila shaka anatoa show ya kufa mtu...
 
Back
Top Bottom