ahahahahhhaa Uliu utakuwa unakula ka anko ka nani?
Umenikumbusha two scenarios
1. Dadangu binamu aliwahi kukutana na baba yetu mdogo guest house, dada na jamaa yake bamdogo na chepuko lake. Ilikuwa kasheshe! Ba mdogo alimchenjia na mikanda alimtandika. Ila so haikufika home. Na sista angu aliuchuna hakusema pia, ila mikanda alikula.
2. (Ni masimulizi sijui kama ni kweli, ila yanafundisha tu kitu hicho hicho) Dr alikuwa na rafiki yake kijana tu. Aliwahi kuugua akalazwa kwenye one of the dispensaries yule dr anahudumia . So walikuwa wamezoeana sana, kijana anamshirikisha kila kitu story mpk za girlfriends. Akawa anamletea wasichana wengi pale anawatoa mimba na wengine anamuunganishia anawalamba. Ikatokea siku akashare nimepata gal mpya ila ni mjamzito tayari, hata sijafaidi, naomba nimlete. Dr akasema fresh mbona dk sifuri tu atakuwa fresh, mlete kesho. Kesho wameenda dr kaandaa kila kitu mikasi nini gloves, sasa ndo wahusika waingie, Hamaaaad mwanae wa kumzaa.
Sasa ndo wewe.
Kwani mnahisi hao mnaowafanyaia hawana wazazi, kakaz, wajomba nk?
Mi sikupi pole mana ni kweli umejitakia kama ulivyosema