Miaka kadhaa nyuma kuna kaka nilikutana nae katika mizururo yangu , aliomba mawasiliano yangu nikampatia akaniambia alikuja kikazi ila kesho yake atasepa kurudi anapofanyia kazi (mkoa mwingine anapoishi pia) basi tukaagana akaondoka. Hakunitafuta kabisa mpaka miez kama 3 au 4 baadae ndio akaja kunitafuta.
Siku moja usiku kama saa2 hivi simu inaita kucheki namba ngeni nikapokea, akanisalimia Kelsea unaendeleaje najibu tu niko fresh hapo sijajua ni nani akawa analeta stori nyingi ila sauti kama naijua hivi. Basi badae akajitambulisha mimi fulani ndio kumkumbuka. Akauliza bado upo mkoa X nikamjibu ndio bado nipo. Akaniambia nakuja huko siku chache kuanzia leo kama utakuwepo bado naweza kukuona? nikamuambia ukija tutacheki kama nikiwepo tutaonana. Basi tukapiga piga stori zingine tukaagana.
Baada ya kama week hivi akaniambia nakuja huko upo bado? Nikamuambia nipo karibu. Basi kweli kesho yake jioni akanicheki mama nimefika kama una nafasi njoo mahali fulani. Kwanza nilijua anazingua ila mpaka jioni ile nikajua alikua serious, nilikua kupuyanga muda huo nikarudi home nikaoga nikamfata. Kweli tukaonana tukakaa mahala akaniagizia chakula tukawa tunakula huku tunapiga stori mpaka mida ya saa1 jioni.
Akaniambia amechoka anahitaj kupumzika lakini kama sitajali anaomba kampani mpaka alipofikia tukapate hata coffee tu. Nikacheki muda bado bado nikamuambia fresh twenzetu hao tukaenda. Tumefika sijui ilikuaje hatukukaa nje tulienda moja kwa moja room kwake. Tukawa tumekaa tunapiga stori huku tunakunywa kawaha. Ndani ya muda mfupi ikawa kama ni watu tunajuana siku nyingi stori kibao.
Badae kidogo kucheki saa muda ushakata kama masaa matatu toka tumeingia ndani. Nikamuambia nahitaji kusepa muda umesogea. Muda huo tunaongea kakaa kitandani mimi kwene kiti akaniambia kabla hujaondoka naweza kukuhug nikuage thanks kunipa kampani, sijui nilijua nipo na kaka yangu nikamruhusu

weee sielewi ikawaje nikashangaa kanibeba nimemkalia kwa juu. Hapo haongei tena yeye anapapasa tu mgongo. Mimi sauti ishanikauka siwezi kuongea lolote.
Alinibeba tena akanilaza kitandani hapo ndio kama akili zinanirudia nikamuambia no hatuwez fanya hivi ni mapema sana na kama alijua maeneo yangu hatarishi akakazana nayo hapo haongei nimebaki kuongea peke yangu


akaniambia mama unatokaje unaniacha hivi hapo kachukua mkono wangu kaelekezea ikulu kwake hali ni mbaya tayari. Akaanza kunikiss shingoni, huu ni ugonjwa wangu hili eneo likiguswa nahama kihisia.
Alipambana kunivua nguo kwa sababu muda huo namtaka ndio ila nikikumbuka hata hatujuani vizuri natia ngumu lakini mwishowe alifanikiwa kunivua. Muda ananivua nami nikamvua shati yake the guy alikua na mwili mzuri nikawaza kwa leo naibeba hii dhambi nikaendelea kufungua mkanda wa suruali kulikobaki akamalizia mwenyewe.
Well the guy alinikula , shoo yake tamu hata kurudi home sikukumbuka nililala pale hadi asubuhi. Kulipokucha nikamuaga nikasepa, tuliendelea kuwasiliana akija tena tunaonana au nikienda mkoa anaoishi pia tunaonana baadae kila mmoja akaendelea na mambo yake. Nam'miss mno, he was so good kitandani.
ERoni