Tafuta Hela
JF-Expert Member
- Mar 15, 2022
- 1,544
- 2,999
Much respect broHellow Guyz,
Nimewahi kupata experience ya matukio mawili ambayo yalinipa maana halisi ya "UNEXPECTED SEX" . Tukio la kwanza lilitokea mwaka 2009 ambapo nilipanda basi nikielekea Tabora kwenda kumuona ndugu yangu wilayani Uyui lakini ndani ya gari nilikutana n mdada ambaye she was 25 by then.
Na baada ya stori mbili tatu tukafahamiana na tuliposhuka stend nikamwambia mi nitalala hapa town then asubuhi niende wilayani nikaamua kumjaribu kwa kumuomba tulale wote she didn't mind it at all.
Kilichofuata ilikua ni shoo ya kufa mtu ambayo I never had it before na ilipofika asubuhi tukaagana na hatukuwahi kuwasiliana tena till now.
Tukio la pili limetokea last year kipindi cha mwezi wa february;S hemeji yangu mmoja alikuja kuleta mzigo wa kaka yangu sasa cha ajabu alipoingia ndani mvua ikaanza kunyesha kwa nguvu mpaka nikaamua kufunga milango.
Baada ya hapo nikakaa na shemeji na baada ya stori mbili tatu nikaona ananiambia "shem cku hizi unaonekana mrefu",nilipomuuliza kwanini akaniambia naona kama unanizidi vile.
Ndipo tulipoaamua kupima kwa kusimama huku yeye akiwa mbele yangu na niliposhika her WAIST nikaona anavuta mikano basi ikabidi nimpe mamboz na mvua ilipoisha akaondoka and we never did it again coz it was a good sex to a wrong person.
Sasa wanajamvi naomba kupata experiences zenu katika hili.
Nani amewahi kufanya mapenzi kwa bahati mbaya? And how did it happen?
Na kuna ukweli wowote kwamba UNEXPECTED SEX NI TAMU ZAIDI KULIKO ILE INAYOKUA PLANNED?
Daah abdallah kichwa wazi hataki pole yako kabisaPole![]()
Thank u kwa kuwakilisha wanawake....una nafasi ya kipekee peponi.Miaka kadhaa nyuma kuna kaka nilikutana nae katika mizururo yangu , aliomba mawasiliano yangu nikampatia akaniambia alikuja kikazi ila kesho yake atasepa kurudi anapofanyia kazi (mkoa mwingine anapoishi pia) basi tukaagana akaondoka. Hakunitafuta kabisa mpaka miez kama 3 au 4 baadae ndio akaja kunitafuta.
Siku moja usiku kama saa2 hivi simu inaita kucheki namba ngeni nikapokea, akanisalimia Kelsea unaendeleaje najibu tu niko fresh hapo sijajua ni nani akawa analeta stori nyingi ila sauti kama naijua hivi. Basi badae akajitambulisha mimi fulani ndio kumkumbuka. Akauliza bado upo mkoa X nikamjibu ndio bado nipo. Akaniambia nakuja huko siku chache kuanzia leo kama utakuwepo bado naweza kukuona? nikamuambia ukija tutacheki kama nikiwepo tutaonana. Basi tukapiga piga stori zingine tukaagana.
Baada ya kama week hivi akaniambia nakuja huko upo bado? Nikamuambia nipo karibu. Basi kweli kesho yake jioni akanicheki mama nimefika kama una nafasi njoo mahali fulani. Kwanza nilijua anazingua ila mpaka jioni ile nikajua alikua serious, nilikua kupuyanga muda huo nikarudi home nikaoga nikamfata. Kweli tukaonana tukakaa mahala akaniagizia chakula tukawa tunakula huku tunapiga stori mpaka mida ya saa1 jioni.
Akaniambia amechoka anahitaj kupumzika lakini kama sitajali anaomba kampani mpaka alipofikia tukapate hata coffee tu. Nikacheki muda bado bado nikamuambia fresh twenzetu hao tukaenda. Tumefika sijui ilikuaje hatukukaa nje tulienda moja kwa moja room kwake. Tukawa tumekaa tunapiga stori huku tunakunywa kawaha. Ndani ya muda mfupi ikawa kama ni watu tunajuana siku nyingi stori kibao.
Badae kidogo kucheki saa muda ushakata kama masaa matatu toka tumeingia ndani. Nikamuambia nahitaji kusepa muda umesogea. Muda huo tunaongea kakaa kitandani mimi kwene kiti akaniambia kabla hujaondoka naweza kukuhug nikuage thanks kunipa kampani, sijui nilijua nipo na kaka yangu nikamruhusuweee sielewi ikawaje nikashangaa kanibeba nimemkalia kwa juu. Hapo haongei tena yeye anapapasa tu mgongo. Mimi sauti ishanikauka siwezi kuongea lolote.
Alinibeba tena akanilaza kitandani hapo ndio kama akili zinanirudia nikamuambia no hatuwez fanya hivi ni mapema sana na kama alijua maeneo yangu hatarishi akakazana nayo hapo haongei nimebaki kuongea peke yanguakaniambia mama unatokaje unaniacha hivi hapo kachukua mkono wangu kaelekezea ikulu kwake hali ni mbaya tayari. Akaanza kunikiss shingoni, huu ni ugonjwa wangu hili eneo likiguswa nahama kihisia.
Alipambana kunivua nguo kwa sababu muda huo namtaka ndio ila nikikumbuka hata hatujuani vizuri natia ngumu lakini mwishowe alifanikiwa kunivua. Muda ananivua nami nikamvua shati yake the guy alikua na mwili mzuri nikawaza kwa leo naibeba hii dhambi nikaendelea kufungua mkanda wa suruali kulikobaki akamalizia mwenyewe.
Well the guy alinikula , shoo yake tamu hata kurudi home sikukumbuka nililala pale hadi asubuhi. Kulipokucha nikamuaga nikasepa, tuliendelea kuwasiliana akija tena tunaonana au nikienda mkoa anaoishi pia tunaonana baadae kila mmoja akaendelea na mambo yake. Nam'miss mno, he was so good kitandani.
ERoni
Aisee kweli jamaa alikuoatia....na sii uliuza mechi🤣🤣🤣🤣Nilimfaidi pia, ni mtamu mno.
Ulale sasaAisee kweli jamaa alikuoatia....na sii uliuza mechi![]()

Wee mbona hujalala mrembo. Aise story yako tamu mpaka nimesoma mara tatu...dah jamaa alifaidi jamani. Sasa swali la kizushi baada ya kuliwa kimasikhara hukutaka kujua kama jamaa ana gelofrend au lahUlale sasa![]()
Nilimuuliza ila sijui kama alikua mkweli au alinidanganya, alisema kaachana na mwanamke wake hawana muda sana toka watengane. Mimi sikutaka kujua zaidi niliendelea kuwa nae tu sababu mimi mwenyewe nilikua na mtu ila mizinguo mingi.Wee mbona hujalala mrembo. Aise story yako tamu mpaka nimesoma mara tatu...dah jamaa alifaidi jamani. Sasa swali la kizushi baada ya kuliwa kimasikhara hukutaka kujua kama jamaa ana gelofrend au lah
Aiseee....kwa hiyo ukawa unapiga double double....kumbe nika- deadly jooo....i like it wacha ujienjoy bwana kama jamaa anaipelekea moto vizuri unampa tuu. Alafu kimasikhara inakuwaga tamu sanaaaaNilimuuliza ila sijui kama alikua mkweli au alinidanganya, alisema kaachana na mwanamke wake hawana muda sana toka watengane. Mimi sikutaka kujua zaidi hayo niliendelea kuwa nae tu sababu mimi mwenyewe nilikua na mtu ila mizinguo mingi.
Sasa mpenzi yupo mbali na hana muda na mimi ningekaa namsubiri tu aah wee nilichoka.Aiseee....kwa hiyo ukawa unapiga double double....kumbe nika- deadly jooo....i like it wacha ujienjoy bwana kama jamaa anaipelekea moto vizuri unampa tuu. Alafu kimasikhara inakuwaga tamu sanaaaa
Fimbo ya mbali haiui nyoka. 🤣🤣🤣 Mwanamke unahitaji utam au sio unahitaji wadhungu watekenye kuta za mbususu. Aisee leo sitalala....alafu wala hukunitag ulivyo mchoyoSasa mpenzi yupo mbali na hana muda na mimi ningekaa namsubiri tu aah wee nilichoka.
Wee kazururaji nilijua tu utaonaFimbo ya mbali haiui nyoka.Mwanamke unahitaji utam au sio unahitaji wadhungu watekenye kuta za mbususu. Aisee leo sitalala....alafu wala hukunitag ulivyo mchoyo


Yaani usiku nasema kabla sijalala ngoja nichunguloe huku kuna nini...hamad..nakutana na masikhara yako. Nasoma huku navuta picha jinsi mrembo ulivyolainika baada ya mabusu ya shingoni....de libolo liliteleza kiulaini huku ukigugu.ia kwa utamuWee kazururaji nilijua tu utaona![]()
Rafiki mimi nalala sasa, nikutakie usiku mwema au unakesha ??Yaani usiku nasema kabla sijalala ngoja nichunguloe huku kuna nini...hamad..nakutana na masikhara yako. Nasoma huku navuta picha jinsi mrembo ulivyolainika baada ya mabusu ya shingoni....de libolo liliteleza kiulaini huku ukigugu.ia kwa utamu
Nachekaga unavyolitamka Hilo lidudeeeYaani usiku nasema kabla sijalala ngoja nichunguloe huku kuna nini...hamad..nakutana na masikhara yako. Nasoma huku navuta picha jinsi mrembo ulivyolainika baada ya mabusu ya shingoni....de libolo liliteleza kiulaini huku ukigugu.ia kwa utamu

Story gani hii? Huyu jamaa mbona hajala kimasihara?Nina kijirani changu tumepanga nae nyumba moja, mgeni hana muda toka kahamia hapa, ni mtu wa kwenda kazin akirudi anajifungia ndani hana time na mtu zaid ya salam na kuendelea na mambo yake.
Week kadhaa katika hali ya salamu tukabadilishana namba akidai kuwa muda mwingi nashinda nyumbani hivyo for emergency kuna jambo home iwe rahisi kunicheck.
Taratibu zikaanza chatting za salam,, kanichkua maelezo kutaka kujua nipoje na ni veep naendesha life langu, muda mwingi akitoka work ananikuta na mvinyo wa chupa zangu nasogeza siku. Mdogomdog,,, day moja katoka kachoka akadai nimsaidie kufata chakula mgahawani coz huwa hapiki, kwangu foods ipo full sikuona haja ya kutoka nilimpikia chakula alichotaka nikampatia.
Toka siku hiyo now ndo mpishi wangu,, sijawahi muuliza habari ya mahusiano yake wala kutaka kujua maisha yake, japokuwa huwa ananiuliza sana juu ya mahusiano yangu nakunieleza namna anavyoishi na mtu wake. Zangu namkwepa kama sielew kitu,,,,
After getting mpishi nilifocus kwenye mahemezi ya chakula bt nowdays akitoka kazin huanzia kwangu kbla ya kuingia kwake imefika hatua baadhi ya vitu vyake huviacha kwangu (nguo, saa, mikoba ya ofsin, viatu n.k). Nasubiri kuona hii movie itaishaje niko zangu buyu.
Sasa hivi humu stori za kula tunda kimasihara zimepungua, zimebaki za process tu na ndo zimetaradadi sana.sasa aliwe mara ngapi?. apike, aache vitu vyake( means alibadilisha hapo) asiliwe tu?
Miaka kadhaa nyuma kuna kaka nilikutana nae katika mizururo yangu , aliomba mawasiliano yangu nikampatia akaniambia alikuja kikazi ila kesho yake atasepa kurudi anapofanyia kazi (mkoa mwingine anapoishi pia) basi tukaagana akaondoka. Hakunitafuta kabisa mpaka miez kama 3 au 4 baadae ndio akaja kunitafuta.
Siku moja usiku kama saa2 hivi simu inaita kucheki namba ngeni nikapokea, akanisalimia Kelsea unaendeleaje najibu tu niko fresh hapo sijajua ni nani akawa analeta stori nyingi ila sauti kama naijua hivi. Basi badae akajitambulisha mimi fulani ndio kumkumbuka. Akauliza bado upo mkoa X nikamjibu ndio bado nipo. Akaniambia nakuja huko siku chache kuanzia leo kama utakuwepo bado naweza kukuona? nikamuambia ukija tutacheki kama nikiwepo tutaonana. Basi tukapiga piga stori zingine tukaagana.
Baada ya kama week hivi akaniambia nakuja huko upo bado? Nikamuambia nipo karibu. Basi kweli kesho yake jioni akanicheki mama nimefika kama una nafasi njoo mahali fulani. Kwanza nilijua anazingua ila mpaka jioni ile nikajua alikua serious, nilikua kupuyanga muda huo nikarudi home nikaoga nikamfata. Kweli tukaonana tukakaa mahala akaniagizia chakula tukawa tunakula huku tunapiga stori mpaka mida ya saa1 jioni.
Akaniambia amechoka anahitaj kupumzika lakini kama sitajali anaomba kampani mpaka alipofikia tukapate hata coffee tu. Nikacheki muda bado bado nikamuambia fresh twenzetu hao tukaenda. Tumefika sijui ilikuaje hatukukaa nje tulienda moja kwa moja room kwake. Tukawa tumekaa tunapiga stori huku tunakunywa kawaha. Ndani ya muda mfupi ikawa kama ni watu tunajuana siku nyingi stori kibao.
Badae kidogo kucheki saa muda ushakata kama masaa matatu toka tumeingia ndani. Nikamuambia nahitaji kusepa muda umesogea. Muda huo tunaongea kakaa kitandani mimi kwene kiti akaniambia kabla hujaondoka naweza kukuhug nikuage thanks kunipa kampani, sijui nilijua nipo na kaka yangu nikamruhusuweee sielewi ikawaje nikashangaa kanibeba nimemkalia kwa juu. Hapo haongei tena yeye anapapasa tu mgongo. Mimi sauti ishanikauka siwezi kuongea lolote.
Alinibeba tena akanilaza kitandani hapo ndio kama akili zinanirudia nikamuambia no hatuwez fanya hivi ni mapema sana na kama alijua maeneo yangu hatarishi akakazana nayo hapo haongei nimebaki kuongea peke yanguakaniambia mama unatokaje unaniacha hivi hapo kachukua mkono wangu kaelekezea ikulu kwake hali ni mbaya tayari. Akaanza kunikiss shingoni, huu ni ugonjwa wangu hili eneo likiguswa nahama kihisia.
Alipambana kunivua nguo kwa sababu muda huo namtaka ndio ila nikikumbuka hata hatujuani vizuri natia ngumu lakini mwishowe alifanikiwa kunivua. Muda ananivua nami nikamvua shati yake the guy alikua na mwili mzuri nikawaza kwa leo naibeba hii dhambi nikaendelea kufungua mkanda wa suruali kulikobaki akamalizia mwenyewe.
Well the guy alinikula , shoo yake tamu hata kurudi home sikukumbuka nililala pale hadi asubuhi. Kulipokucha nikamuaga nikasepa, tuliendelea kuwasiliana akija tena tunaonana au nikienda mkoa anaoishi pia tunaonana baadae kila mmoja akaendelea na mambo yake. Nam'miss mno, he was so good kitandani.
ERoni
Mwezi uliopita nilikuwa na mishe moja Babati. Nikafika stand mapema kabisa, mida ya mbili asubuhi kuwa hi basi. Ilikuwa siku ya jumapili. Abiria walikuwa wa chache sana siku hiyo, Ile naingia tu kwenye gari konda akaniambia siti yako hiyo hapo, alikuwa amekaa Dada mmoja mzuri tu, anafaa kwa matumizi ya binadamu.
Kulikuwa na baridi ya kutosha tu. Dada niliyemkuta hakuwa na koti, na baridi ilikuwa inamtesa sana.
Baada ya salamu nikavua koti langu nikamwambia naomba ujisitiri nikampa koti. "Heee wee Kaka, na wewe itakuwaje, nikamwambia hakuna shida"
Gari ilikaa sana stand, hakukuwa na abiria siku hiyo, ilikuwa jpili. Gari imetoka Arusha saa Sita Mchana, hapo baridi linanipiga balaa.
Muda wote huo kila mtu ameuchuna tu. Tumefika minjingu, dada wa watu anapiga miayo ya kutosha, namuuliza nini shida, akasema si unajua nimefika stand mapema, sikunywa hata Chai, naona njaa imefika mahali pake. (nikasema huu ndio upenyo niliokuwa nakuhitaji ) Nikamwambia usihofu, ukifika nitakupeleka sehemu ukale, kumbuka hapo amevaa koti langu.
Tulipofika tu Babati, nikachukua bajaji hadi sehemu moja maarufu, kwa Kabila, agiza kuku choma, lete vinywaji, mdogo mdogo(hapo Dada wa watu ashakuwa comfortable na mimi kama tumejuana miaka kadhaa iliyopita).
Tukala na kunywa, tulipomaliza nikamwambia hapa Mimi ni mgeni (nikamdanganya) ila nimepewa na number ya lodge ya kufikia na rafiki yangu, twende na wewe ukapafahamu ili kesho ukitaka kuja nisipate shida ya kukuelekeza (wote vicheko) Akasema hakuna shida.
Tumefika lodge, tukaingia, anaanza mimi nawahi, home wananisubiri. Nikala tunda Safi kabisa, mtoto msafi hadi raha. Rehe... You are the best. Hii itarudiwa Tena nikija Babati. Kwa gharama yoyote