Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
Unaliwa maana wewe ndiye unayeshawishiwa unachojoa, unasuguliwa Hadi unapata Raha kelele zote ukitoka hapo hoi nguvu huna mpole hata kuongea ni tabu
 
Africans are good for sex, luxury and Music nothing more nothing less.
Mpaka wazungu huwa wanatuogopa kuwa tuna minguvu ya kula funds na tunaenda round nyingi. Na ndio mana mzungu mwenye unyanyapaa na blacks huwa haupendi uwe na mazoea na mwanae wa kike Mana wenyewe Wana kamsemo kao once you go black you never come back
Umenikumbusha mwaka 2001 nilikula mzungu kimasihara sana, na alikuja kukolea sana sema shule alikuja party time kufundisha kutoka USA hahaha jamani Kuna mambo kuyasimulia yanahitaji muda
 
Mkaka alikuwa rafiki tu japo tulikuwa htuonani maranyingi Ila tulifahamiana coz alikuwa sports trainer nami kunakazi nilipewa akwa ananisaidia huwa tunachat Sana nilikuwa likizo zikabaki sikumbili niondoke akaomba nimuone kbla sijaondoka nikampigia akadai Yuko busy Sana anakuwepo kwake kuanzia saa moja niende nisikose
Nikaona sio kesi nikajiandaa saa 12 niwahi kma ilivo kawaida dar foleni nikafika saa 3 kasoro nikaona nimpigie simudada angu hakai mbali Sana ili nikishamuona niende nikalale kwake

Nafika naletew funguo hakuingia hta ndani anasema nimsubir anakuja nikafungua nikakaa sebulen mda unazidi kwenda had saa nne ndo anarudi Ile kufika anaingia ndani akaniinua nilipokaa akanikumbatia Ile ya kunishika kiuno nikashtua akanibana ikabidi nitulie akasema nimsamehe kachelewa nikamwambia mdaumeenda Sana nahitaji niende ukizingatia nipo mwenyew akadai atanisindikiza nimsubir ajiandae Mara akaingia chumbni akaniita kunakitu nikachukue maramoja naingia akanihug sijakaa vzuri busu nikajisogeza nikanuna akadai hawez nisindikiza nilale

Chumba kimoja nalala wapi usiku ule pia siwez ondoka mda huo saa sita kasoro akanipa shuka nilale kitandani yeye atalala sebuleni nikalala na nguo zangu akakasirika akaanza kunichamba nalalaje na nguo hawez nifanya kitu nikahama nikaenda kulala sebuleni kwenye Kochi
Wakat huo yupo chumbani Mimi usingiz umekata akanitumia sms naomba uje ulale chumbani nikakausha akanifata sebuleni akaanza kunichamba sikumjibu akarudi chumbani, akja Tena kwa upole niende kulala yeye atalal sebulen Hadi muda huo ni saa Saba nikaenda chumbn yeye akbki nikafunga mlango ila sikulala alfajir nikaondoka hatukusemeshana akanuna akaniblock nami namba nikafuta urafiki ukafa...


Ila pale chumbani niliingiwa na kahuruma sema nikakaza tu alafu nikawaza kaziyake inamkutanisha na watuwangapi wote akiwapitia inakuaje kirohombya kinanijia Tena
Huyu baharia alifeli sana!

Hapa geto kwangu huwa nazingatia ile kauli mbiu ya simba, "KWA MKAPA HATOKI MTU".
 
Mkaka alikuwa rafiki tu japo tulikuwa htuonani maranyingi Ila tulifahamiana coz alikuwa sports trainer nami kunakazi nilipewa akwa ananisaidia huwa tunachat Sana nilikuwa likizo zikabaki sikumbili niondoke akaomba nimuone kbla sijaondoka nikampigia akadai Yuko busy Sana anakuwepo kwake kuanzia saa moja niende nisikose
Nikaona sio kesi nikajiandaa saa 12 niwahi kma ilivo kawaida dar foleni nikafika saa 3 kasoro nikaona nimpigie simudada angu hakai mbali Sana ili nikishamuona niende nikalale kwake

Nafika naletew funguo hakuingia hta ndani anasema nimsubir anakuja nikafungua nikakaa sebulen mda unazidi kwenda had saa nne ndo anarudi Ile kufika anaingia ndani akaniinua nilipokaa akanikumbatia Ile ya kunishika kiuno nikashtua akanibana ikabidi nitulie akasema nimsamehe kachelewa nikamwambia mdaumeenda Sana nahitaji niende ukizingatia nipo mwenyew akadai atanisindikiza nimsubir ajiandae Mara akaingia chumbni akaniita kunakitu nikachukue maramoja naingia akanihug sijakaa vzuri busu nikajisogeza nikanuna akadai hawez nisindikiza nilale

Chumba kimoja nalala wapi usiku ule pia siwez ondoka mda huo saa sita kasoro akanipa shuka nilale kitandani yeye atalala sebuleni nikalala na nguo zangu akakasirika akaanza kunichamba nalalaje na nguo hawez nifanya kitu nikahama nikaenda kulala sebuleni kwenye Kochi
Wakat huo yupo chumbani Mimi usingiz umekata akanitumia sms naomba uje ulale chumbani nikakausha akanifata sebuleni akaanza kunichamba sikumjibu akarudi chumbani, akja Tena kwa upole niende kulala yeye atalal sebulen Hadi muda huo ni saa Saba nikaenda chumbn yeye akbki nikafunga mlango ila sikulala alfajir nikaondoka hatukusemeshana akanuna akaniblock nami namba nikafuta urafiki ukafa...


Ila pale chumbani niliingiwa na kahuruma sema nikakaza tu alafu nikawaza kaziyake inamkutanisha na watuwangapi wote akiwapitia inakuaje kirohombya kinanijia Tena
Afadhali ulipona mpwa. Ungekuliwa
ningeumia sana. Endelea kubania hivyo hivyo !
 
Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
🤣🤣🤣🤣🤣
 
Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
Japo umesema ukweli mtupu lakini haya mambo mara nyingi yanaamriwa na jamii husika. Ndo maana hata lugha yetu inamwonyesha mmoja ni mtenda na mwingine ni mtendwa...

Kula vs kuliwa
Kut*mba vs kut*mbwa

Siku ya kwanza demu wa kizungu ananiambia eti today SYB I wanna f*ck you nilishangaa sana. I was like white b*tch; you trippin'. Kumbe kwao ni kawaida tu...na lugha yao wala haibagui kivile.

Na kimaumbile hakuna mwanaume anayehisi kuwa kumwaga mbegu zake ni kupoteza. Hapana. Nguvu ya kiasili (na hii ni kwa karibia wanyama wote), inamtaka mwanaume kusambaza mbegu zake kwa partners wengi kwa kadri iwezekanavyo. Lengo hapa si kujihakikishia mwendelezo wa species tu lakini pia uzao wake yeye na ukoo wake. Nenda hata Serengeti ukaone. Vita vingi ni vya kugombea ama chakula au himaya/mademu. Kila mwanaume ana jukumu hilo ndo maana pure monogamy ni nadra sana!

Kwa hivyo hekaheka hizi za kuhonga na utopolo mwingine katika mtazamo wa mwanaume ziko justified katika mkabala wa jamii na hata kimaumbile!

Hitimisho: Harakati za kula kimasikhara ziendelee hata kama kuna kupoteza pesa na manii.

We are men baby!
 
Japo umesema ukweli mtupu lakini haya mambo mara nyingi yanaamriwa na jamii husika. Ndo maana hata lugha yetu inamwonyesha mmoja ni mtenda na mwingine ni mtendwa...

Kula vs kuliwa
Kut*mba vs kut*mbwa

Siku ya kwanza demu wa kizungu ananiambia eti today SYB I wanna f*ck you nilishangaa sana. Kumbe kwao ni kawaida tu...na lugha yao wala haibagui kivile.

Na kimaumbile hakuna mwanaume anayehisi kuwa kumwaga mbegu zake ni kupoteza. Hapana. Nguvu ya kiasili (na hii ni kwa karibia wanyama wote), inamtaka mwanaume kusambaza mbegu zake kwa partners wengi iwezekanavyo. Lengo hapa si kujihakikishia mwendelezo wa species pekee lakini pia uzao wake. Nenda hata Serengeti ukaone. Vita vingi ni vya kugombea ama chakula au mademu. Kila mwanaume ana jukumu hilo ndo maana pure monogamy ni nadra sana!

Kwa hivyo hekaheka hizi za kuhonga na utopolo mwingine katika mtazamo wa mwanaume ziko justified katika mkabala wa jamii na hata kimaumbile!

Hitimisho: Hekaheka za kula kimasikhara ziendelee hata kama kuna kupoteza pesa na manii.

We are men!
Umejibu kiufundi sana Yes
 
Ndiyo ukweli!! kwa nini hamtaki kusikia ukweli?? tena mlivyo wajinga wengine wana vaa chupi za plastiki zinazo fanana na ngozi ya mtu!! ajabu mtatoka hapo mnashangiliaaa kuwa nyie washindi!
Chupi za plastiki....??!?!¿??ebu fafanua kidogo
 
Sisi wanawake wengi huwa tunatumia hisia, hatutumii akili...mwanamke akirahisisha ,harakati zako za kula tunda, ata iwe baada ya siku 1 ,au baada ya mwaka. Ujue yeye ametaka. Mwanamke kama hakupendi unaweza tumia mbinu zote na hulipati. Labda umbake
Nimekubali kwa sababu ilishawahi nitokea kuna mtoto mmoja mzuri kichizi nilitengeneza mazingira,mkuu siku ile nilifeli vibaya yule demu alibana miguu nilihangaika sana yan lakini sikufanikiwa....
 
Nimekubali kwa sababu ilishawahi nitokea kuna mtoto mmoja mzuri kichizi nilitengeneza mazingira,mkuu siku ile nilifeli vibaya yule demu alibana miguu nilihangaika sana yan lakini sikufanikiwa....
Na hukufanikiwa hadi leo au alikuja legeza badae?
 
Back
Top Bottom