Ulishawahi kula tunda kimasihara?
Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
That is not how it works #kwa lafudhi ya kinaigeria
 
Wenye hela hawasemagi tangia zamani mpaka leo wako ivo!!.......huko mbagala kibonde maji joto la mibanano weee nani anataka?? wabane hao hao wala vihepe wenzio!!
Duh, sijisifii ila unatumiwa jumbe na bonge la mwanaume na heshima zake. Hizi Id hizi zikiwekwa wazi mbeeeeengo zitafunguka
 
Duh, sijisifii ila unatumiwa jumbe na bonge la mwanaume na heshima zake. Hizi Id hizi zikiwekwa wazi mbeeeeengo zitafunguka
Hata lile li nzi likuuubwa la kijani linaloishi chooni linajiita ni Bonge la mwanaume!! hivo ukinambia ivo uko sahihi, lkn in apply kwa hao wa kibonde maji kwenu!.........na hizi ni sifa za maskini wengi...hata maneno yako yana kila dalili!!
 
Hata lile li nzi likuuubwa la kijani linaloishi chooni linajiita ni Bonge la mwanaume!! hivo ukinambia ivo uko sahihi, lkn in apply kwa hao wa kibonde maji kwenu!.........na hizi ni sifa za maskini wengi...hata maneno yako yana kila dalili!!
So sababu amekupa pesa na protin ndo umemla[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nyie nyie,,,
 
Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
Samaki na madomo zege hawawezi kukuelewa
 
So sababu amekupa pesa na protin ndo umemla[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] nyie nyie,,,
Ndiyo ukweli!! kwa nini hamtaki kusikia ukweli?? tena mlivyo wajinga wengine wana vaa chupi za plastiki zinazo fanana na ngozi ya mtu!! ajabu mtatoka hapo mnashangiliaaa kuwa nyie washindi!
 
Manaume meeengi majinga! majinga tu! isipokuwa Wachache sana!......jamani hebu angalieni hapo kati ya me na ke ni nani ..analiwa kimasihara??.....Mtu unipe hela weye!! MBEGU , unishindilie Protein weye!! nazidi kunenepa!

uni bembeleze, uhangaike weye halafu mwisho wa siku unajisifu OOOh!! nimemkula Demu kimasihara wkt kiukweli mie ndo nimekukula, kisiasa!! badilikeni nyie ngedere weusi...kuwatafuna tuwatafune sisi halafu mnajidai mmetukula???

Chunguzeni tu wana JF, inayomeza nyenzake mpaka inatoa maziwa ni ipi kwani!! sisi ndo tunawala kimasihara kwa kila kitu hela, manii, maneno kifupi sie ke ndo wajanja!..wenzenu huko mbele walisha gutuka!
We kiazi kweli hata hujui kimasihara nini.
 
We kiazi kweli hata hujui kimasihara nini.
Viazi mbatata si ndo chakula chenu hapo jijini DSM, Masangati pale mpaka sasa hivi wenye akili na pesa zao wanakula viazi , kuku,,..... wajinga wala ugali bei rahisi!

wana JF hebu mnisaidie kumuelimisha huyu Viazi/kuku ... na nguna kipi bei mbaya??? ugali humpati demu haaata!! lkn viazi ???faster tu!
 
Ndiyo ukweli!! kwa nini hamtaki kusikia ukweli?? tena mlivyo wajinga wengine wana vaa chupi za plastiki zinazo fanana na ngozi ya mtu!! ajabu mtatoka hapo mnashangiliaaa kuwa nyie washindi!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Poleeeee,,, kwa mwanaume akisha mwaga na kutimiza mahitaji yake,, unaonekana kama ka stripper flan tu hv,, hata kama amekupa milion,,, zinatafutwa tu,, ila dignity yako ndo kama ilikuwa hv [emoji288] inashuka hadi kuwa [emoji98]imeisha hyo,,
pesa ain't shit kwetu,, but your dignity is worth alot more kwetu
 
Wenye hela hawasemagi tangia zamani mpaka leo wako ivo!!.......huko mbagala kibonde maji joto la mibanano weee nani anataka?? wabane hao hao wala vihepe wenzio!!
[emoji1787] nimecheka sana. Anataka ukamkule eti
 
Ndiyo ukweli!! kwa nini hamtaki kusikia ukweli?? tena mlivyo wajinga wengine wana vaa chupi za plastiki zinazo fanana na ngozi ya mtu!! ajabu mtatoka hapo mnashangiliaaa kuwa nyie washindi!
Aisee utaniua mbavu zangu Mimi khaaaa [emoji28]
 
Back
Top Bottom