We acha tu mkuu, nakumbuka kuna jamaa yangu aliwahi kuniambia kuwa mwanamke hata akikuona umebeba engine ya gari kichwani ni lazima akufate nyuma.
 
Mkuu tembelea hizi open school utapata kazi tu
 
Hivi umeelewa kichwa cha habari kinasemaje kuhusu huu uzi?,
 
Uandishi wa ovyo kabisa
 
acha utoto
 
Wee acha utani bwana demu anataka umgegede tena fanya kweli mwana mbona unaleta mapozi au show yake haikuwa nzuri
 
Mkuu naomba jina la perfume.
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…