Wakuu nimerudiii na tukio hili,
Napenda sana kusafiri na demu wangu ninapo kuwa kizazi mikoani, juzi kati tulikuwa Kanda ya ziwa na Mara nyingi Yeye hunifuata huko ntakapo kuwepo inapo karibia week end na safari hii alikuja alhamisi akaondoka jumaa mosi,
Sasa kimasihara inakujaje,
Hoteli niliyo fikia Kuna Demu mzuri sana pale reception na mkarimu balaa mpaka nikajuta kwanini nili export huyu wa kwangu, kipindi nipo pale hotelini alikuwa akimuhidumia Sana demu wangu mpaka wakazoweana kwa hizo ck tatu na ukweli nilikuwa naona aibu kumtonboza
Siku ya jumaa mosi jioni demu wangu akiwa anajiandaa room mm nilikuwa reception ku clear bill ya chakula alicho kuwa akitumia maana huwa kama mchana nipo kazini yy anakula pale hotelini, Sasa nikafanya mtania yule demu wa reception kwa kumuuliza anaendaga saa ngapi nyumbani akanijibi siendagi nallala humu, nikamwambia unalala wp kasema juu 105,nikamuuliza saangapi unapanda kulala kajibu labda saa sita au Saba, nikamtania ntakuja akacheka,
Saa kumi na moja kasoro mm nilikuwa tayari stendi kumpeleka bibie na alipo panda gari t mm huyooo room kumalizia kausingizi na ndipo nilipo kumbuka kuwa 105 Kuna mtu baada ya kupita hapo nikajisemea nijaribu gonga,
Nikagonga kimachale Mara nasikia sauti ya kitanda kama mtu anaamka na baadae nasikia hatua zikisogelea mlango na Mara sauti ya funguo ikifungua mlango na mm bila kuuliza nikazama ndani namkuta na night dress tuu, nikaziwhi chuchu zilizo kuwa zimesimama kwa muonekano ndani ya hiyo gauni nyepesi na hakuinyesha upinzani zidi ya kuuliza"Vp bibie Kesha sepa" nikamjibu ndiyo, akasema tulale basi, nikamwambia una Ndom, kasema hapana, nilikumbuka ktk kumuaga bibie zilibaki mbili kule room kwangu, nikamwambia twende kwangu kasema kule hapana, nikamwambia usifunge mlango nakuja, nikatokea mbioo kuchukua zana room yangu nikarudi Sasa nikakuta na chupi Kesha vua,
Haikuchukua muda mrefu maandalizi nikagundua Kesha lowa saa nyingi na ndipo nilipo mshughulikia mpaka saa moja kasoro akaamka kukimbilia reception.