sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 722
- 893
Dogo langu liko age ya 22 lakini si unajua mtoto wa nyoka ni nyoka tu.85% wanakulana sas ukute dogo lako ni izo 15%
Msafala wa mamba kenge hawakosi ila we ndo unamjua dogo lako alivo kama ni kiwembe au laah
Hata mimi nakumbuka mdingi alivyokuwa anawapelekea moto.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app





