Hii hapa Yangu.
Wakati niko chuo miaka hiyo ya nyuma, kijana wa watu naonekana mstaarabu na mpole.. Kuna mshkaji wangu roomate akawa anasarandia katoto filani alisoma nacho Olevel wamekutana chuoni, akawa anakaleta room, anaenda nako club, ila muhuni hajawahi kula.
Kama kawa mwamba ilikuwa demu akija rum mi ni salamu tu naendelea check zangu Muvi au nasikiliza mziki au nampisha mwamba, baadae anakuja nipa stori dem amekaza ila atamla tu.
Sa picha likaanza baada ya wiki kadhaa dem akawa akija room anatupigisha stori af anataka nichangie pia, siku moja akagusia pc yake inazingua anataka kuupdate, Jamaa angu akasema mambo ya PC mimi ndo mtaalam, basi nikamwambia dem siku akiwa free aje na pc na vocha ya 2000 niupdate hiyo pc.
Siku mbili mbele dem akaja na pc bila vocha, nikamwambia sio kesi leo umekuta nna bundle la kutosha nita-update kwa bundle langu. Nikafanya mavitu pale huku ye anapiga stor na mchizi PC ikawa safi dem akasepa.
Baada ya siku moja jamaa akanambia dem anaomba namba yangu PC imemzingua anataka nimuelekeze kuna mambo yamebadilika na pia anataka movie na miziki maana aliona ninazo nyingi, Nikakaza nikwamwambia mwamba ngoja nikuelekeze umwambie akafanye linalotakiwa.
Kwa vile mwamba alikuwa akiniamini mana alikuwa anajua nna kazi zangu safi (yan pisi) mbili huwa zinapokezana tu kunipa unyevunyevu kwa wakati tofauti na nilikuwa nikimsupport amle huyo dem, bas akajua hata akimpa huyo demi namba sitokuwa na madhara.
Basi bwana akasema ngoja tu nimpe umelekeze kiurahisi, nikatatua tatizo la bi dada akanipanga atafuata muv bas akafuata.
Muda wa kuangalia movie akaniuliza ipi nzuri nikamwambia anza na "the perfect match" na ndo ilikuwa mpya kipindi hicho kwa wanaoijua wanaelewa unyama uliomo humu. Bas bwana baada ya dem kuangalia, akaanza kunichatisha kisirisiri na hataki msela ajue kama bado tunawasiliana, cha ajabu hata akija room tunavunga kama hatujawahi ongea muda mrefu. Kumbe huku kwenye chats dem ni kunisifia tu kila siku mara HB, mara gentleman mara mpole, mara naonekana mstaarabu, afu anasema mwamba ni kama bro wake tu mana walisoma wote msela akimaliza madarasa ya mbele yake na hawana uhusiano na hawajawah fanya lolote, sema tu wamekutana tena chuo na muhuni ndo anamtongoza
Bas dem avotaka jua hali yangu ya uhusiano nikamwambia me niko single na sihitaji date kwa sasa maana nimetoka kwenye heartbrake, stor ziliendelea kuwa nyingi kwa text mpk akawa anakuja nisalimia kisiri siri bila msela kujua, tunakutana around the corner ili tu apate evening walk na mm, kwa wale wa chuo fulan na waliopita hapo watakua wanajua mazingira yalivyo mazuri wa evening walk humo chuoni + kale kaupepo kabaridi.
Bas bwana tukapiga pepa la midterm tukaenda midterm break..
tukiwa hom dem akawa mpk ananichek usiku ananambia ana nyege n.k, mpk alianza nitumia picha za nusu uchi, na akawa ananiita FWB, tukapangana tukifungua chuo tukutane nimkune kisawasawa kwa makubaliano ni FWB pekee and no strings attached.
Basi bwana after two weeks tukafungua chuo, ila me nikaenda wiki mbili baadae, nivyofika siku ya kwanza dem akataka kuniona, mda huo nipo kwa jamaa angu mwengine tunakula stor na kucheza ps, nikamwambia nipo sehem flan njoo, dem akasema anakuja.. nikampanga msela dem akija aniachie uwanja; bas bwana dem akafika, uzuri kila kitu kilikuwa kimeshaisha kwenye chattings wakat tupo likizo hvo pale shughuli ilikuwa ni moja tuu kumgegeda.
nivotaka kujarbu mlango ukawa mgumu, mana alishawah nambia hapo nyuma tokea avotolewa bikra yake akafanya ngono mara 2 na hajafanya tena kwa mda mrefu. Ila kwa vile alikua yupo tayar na anahitaji nimgegede alisema atavumilia maumivu, nilipambana mpk dem akatoa chozi kwa maumivu ila ile shoo ikaisha murua, dem avotoka pale msg ikaingia inabd turudie ndan ya siku mbili maana leo nimeumia tu nkasikia poa mwishoni, baada ya siku mbili nikala tena, hapo sasa ndo mtoto akawa anataka kila wiki, iliendelea hvo kama miez miwili dem kaanza funguka tuhame kutoka kwenye FWB tuhamie kwenye uhusiano, hapo ndo aliponitibua, nikamwambia haiwezekan na sitokua naonana nae tena ili asishawishike zaid kunipenda, yule dem aliniganda sana sema mwamba nilikuja nikamblock tukapotezeana na mpk alikuja nichukia.
nilimaliza batch yangu na ye akamaliza diplm yake tukapotezana mda mref zaid ya miaka 4 ila tukawa tunaonana status tu na kuchat kwa mbali akidai hawez nisahau.
miez miwili iliyopita nipo zangu busy ofsn nashangaa namba mpya inaingia, mambo mi nipo Arusha, nikauliza nani bas akajitambulisha nikajifanya "unabadili sana namba, hii namba sina ninayo ile nyingne". kumbe sina ata moja nilifuta zote baada ya msg zake kulitibua kwa pisi yangu ya sasa.
Baadae tukaongea akanambia yupo Arusha kikaz na atakuwepo kwa siku 4, bas Nikamla tena na akajiendea zake akiwa amesuuzika.