Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

NILIVYOMLA M-UKRAINE

Kwema wakuu,
Basi ilikuwa siku moja kwenye mwezi huu wa wapendanao ambapo "Catrina" alintumia email kwamba baba yake ameghairisha safari kurudi kwao kutokana na hali ya kiusalama kutokuwa njema.Baba yake ni mmoja kati ya "wakubwa"katika eneo langu la kazi hivyo walikuja kwenye vikao vyao vya maendeleo ya company.
Mufindi tea
Screenshot_20220301-232839.jpg
 
NILIVYOMLA M-UKRAINE

Kwema wakuu,
Basi ilikuwa siku moja kwenye mwezi huu wa wapendanao ambapo "Catrina" alintumia email kwamba baba yake ameghairisha safari kurudi kwao kutokana na hali ya kiusalama kutokuwa njema.Baba yake ni mmoja kati ya "wakubwa"katika eneo langu la kazi hivyo walikuja kwenye vikao vyao

Ntaendelea baadae wakuu npo nawasindikiza airport hapa
Chai
e7b62c3e732e4c93a13d4ea3d223d9bb.jpg


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ndio maana nimesema sio kimasihara ioo mshapangana, na huyoo demu unampanga kinyonge sana mzee ukimla basi kakuelewa tu mwenyewe ila mbali na hapo humli huyoo demu

Basi nyingi sio masihara, mpaka unakula pisi ujue tayari alikua keshakubali kuliwa ni ile tu kwamba anakua tayari kishingo upande mpaka umpe motisha alegee, kaa uhamin unaweza mset akaja eneo la tukio ukaparangana na mzigo usile Ila makofi na matusi utakula ya kutosha.
 
Kuna kipindi nilikuwa na mchepuko mitaa ya mbezi. Mtoto mkali pisi iliyosheheni kisawasawa. Mahusiano yalinoga hadi akaamua anizawadie mtoto tena akatoka copy yangu kabisa. Sasa nikawa naenda pale mara japo sijawahi kuwa na ratiba kamili na siku zingine nilikuwa simwambii kama naenda. Siku moja nimetoka mkoani nikawa nimetupia kwenye buti mazagazaga kadhaa. nakumbuka nilinunua ndizi za kupika mkungu mmoja, ndizi za kuiva, miwa kadhaa na matunda aina tofauti tofauti. Nilipofika Mbezi nikapita buchani nikanunua 2kg za nyama na mikate miwili. Nilipomaliza nikadrive moja kwa moja, nilipokaribia kabisa nikampigia. Nikampigisha story za hapa na pale wala sikumwambia kama niko wapi. nilitaka tu nijue kama yupo home nimpige saprise. Tulivyoongea akawa anajaribu kunionyesha hayuko vizuri bajet imeyumba. nikamwuliza kama nasikia sauti ya mtu mwingine uko na nani? akasema rafiki yake amemtembelea. Nikamwambia wa kiume eeeh? akachekaaa, akasema hapana ni shost yake akamtaja na jina. akasema hebu msalimie. Basi nikamsalimia baadaye akarudisha simu. Sasa alishapanga kunipiga mzinga nikamwambia poa ngoja nikutumie hela, nikakata simu.

Ndani ya dakika mbili wakasikia gari inapiga honi mlangoni. Kumbe wakawa wanaulizana ni ya kule kwa mama mwenye nyumba au ni kwa baby wangu. Akaja mama mwenye nyumba, alivyoniona akamwita na kumwambia mgeni wako. Akaja kunifungulia kwa mshangao, hakuamini macho yake. Basi nikashusha mazagazaga yangu hapo, nikaingia nikamkuta huyo shost wake, kumbe naye pisi kali kama yeye japo huyo shost yake mweupe zaidi. Sikukaa sana nikamwambia nimetoka safari nimechoka ngoja niende nahitaji kupumzika. Wakafanya kosa moja la mwaka. Akaniambia ujue huyu rafiki yangu naye anaenda njia moja sasa si umpe lifti.. Nikaondoka naye. Sasa Ilitakiwa mimi nafika alafu huyu bidada anaendelea mbele kidogo. nikaamua kumfikisha mpaka karibu na kwao. Nikamtania kumwambia nisije nikakufikisha mlangoni nikapigwa mapanga si unajua wabongo wana wivu sana. Sasa nikaomba namba yake tufahamiane bana, huku naweka buffer zone asije akasimulia utani wangu na yeye kwa mama mtoto wangu. nikaona ananipa ushirikiano. Kabla hatujafika nikaanza kulalamika. Nikamwambia nimeendesha gari safari ndefu nimechoka sana mgongo unauma. Nilitamani sana ningelala na mama J, anifanyie massage sasa ana mtoto mchanga na pale mazingira hayaruhusu mimi kulala, sijui nifanyeje mimi leo. Akaniambia mbona kuna sehemu za massage si unalipia tuu unafanyiwa alaf unarudi zako, au vumilia kesho mapema mwite mama J aje akufanyie. Nikamwambia kuhusu kwenda massage parlour mama J akisikia ataniua maana kule uwezekano wa kutoka salama hakuna. Nikamchombeza kiutani utani nikamwambia au twende ukanifanyie. Akaguna kiguno flani kama mtu ambaye hajielewi elewi. Nikapiga sound mara huyo kakubali ila kwa masharti kuwa mama J asije hata kuhisi maana urafiki wao ni wa kufa na kuzikana.

Tukakubaliana aende kwanza home alaf atanitafuta jioni na kweli niliselebuka naye usiku kucha.
 
Kuna kipindi nilikuwa na mchepuko mitaa ya mbezi. Mtoto mkali pisi iliyosheheni kisawasawa. Mahusiano yalinoga hadi akaamua anizawadie mtoto tena akatoka copy yangu kabisa. Sasa nikawa naenda pale mara japo sijawahi kuwa na ratiba kamili na siku zingine nilikuwa simwambii kama naenda. Siku moja nimetoka mkoani nikawa nimetupia kwenye buti mazagazaga kadhaa. nakumbuka nilinunua ndizi za kupika mkungu mmoja, ndizi za kuiva, miwa kadhaa na matunda aina tofauti tofauti. Nilipofika Mbezi nikapita buchani nikanunua 2kg za nyama na mikate miwili. Nilipomaliza nikadrive moja kwa moja, nilipokaribia kabisa nikampigia. Nikampigisha story za hapa na pale wala sikumwambia kama niko wapi. nilitaka tu nijue kama yupo home nimpige saprise. Tulivyoongea akawa anajaribu kunionyesha hayuko vizuri bajet imeyumba. nikamwuliza kama nasikia sauti ya mtu mwingine uko na nani? akasema rafiki yake amemtembelea. Nikamwambia wa kiume eeeh? akachekaaa, akasema hapana ni shost yake akamtaja na jina. akasema hebu msalimie. Basi nikamsalimia baadaye akarudisha simu. Sasa alishapanga kunipiga mzinga nikamwambia poa ngoja nikutumie hela, nikakata simu.

Ndani ya dakika mbili wakasikia gari inapiga honi mlangoni. Kumbe wakawa wanaulizana ni ya kule kwa mama mwenye nyumba au ni kwa baby wangu. Akaja mama mwenye nyumba, alivyoniona akamwita na kumwambia mgeni wako. Akaja kunifungulia kwa mshangao, hakuamini macho yake. Basi nikashusha mazagazaga yangu hapo, nikaingia nikamkuta huyo shost wake, kumbe naye pisi kali kama yeye japo huyo shost yake mweupe zaidi. Sikukaa sana nikamwambia nimetoka safari nimechoka ngoja niende nahitaji kupumzika. Wakafanya kosa moja la mwaka. Akaniambia ujue huyu rafiki yangu naye anaenda njia moja sasa si umpe lifti.. Nikaondoka naye. Sasa Ilitakiwa mimi nafika alafu huyu bidada anaendelea mbele kidogo. nikaamua kumfikisha mpaka karibu na kwao. Nikamtania kumwambia nisije nikakufikisha mlangoni nikapigwa mapanga si unajua wabongo wana wivu sana. Sasa nikaomba namba yake tufahamiane bana, huku naweka buffer zone asije akasimulia utani wangu na yeye kwa mama mtoto wangu. nikaona ananipa ushirikiano. Kabla hatujafika nikaanza kulalamika. Nikamwambia nimeendesha gari safari ndefu nimechoka sana mgongo unauma. Nilitamani sana ningelala na mama J, anifanyie massage sasa ana mtoto mchanga na pale mazingira hayaruhusu mimi kulala, sijui nifanyeje mimi leo. Akaniambia mbona kuna sehemu za massage si unalipia tuu unafanyiwa alaf unarudi zako, au vumilia kesho mapema mwite mama J aje akufanyie. Nikamwambia kuhusu kwenda massage parlour mama J akisikia ataniua maana kule uwezekano wa kutoka salama hakuna. Nikamchombeza kiutani utani nikamwambia au twende ukanifanyie. Akaguna kiguno flani kama mtu ambaye hajielewi elewi. Nikapiga sound mara huyo kakubali ila kwa masharti kuwa mama J asije hata kuhisi maana urafiki wao ni wa kufa na kuzikana.

Tukakubaliana aende kwanza home alaf atanitafuta jioni na kweli niliselebuka naye usiku kucha.
Hahahaha nataka kujua episode iliyofuata
 
Hahahaha nataka kujua episode iliyofuata

Inayofuata siyo tena kula tunda kimasihara. inahitaji coverage nyingine. Ila kwa ufupi wala hatukuwahi kugombana, ikawa mara moja moja tena kwa mbaaaaali. sema ilinigharimu vitu vidogo vidogo kama vocha. siku nikiwa poa nampiga taf ila hatimaye nikapotezana naye kabisa
 
Hii hapa Yangu.

Wakati niko chuo miaka hiyo ya nyuma, kijana wa watu naonekana mstaarabu na mpole.. Kuna mshkaji wangu roomate akawa anasarandia katoto filani alisoma nacho Olevel wamekutana chuoni, akawa anakaleta room, anaenda nako club, ila muhuni hajawahi kula.

Kama kawa mwamba ilikuwa demu akija rum mi ni salamu tu naendelea check zangu Muvi au nasikiliza mziki au nampisha mwamba, baadae anakuja nipa stori dem amekaza ila atamla tu.

Sa picha likaanza baada ya wiki kadhaa dem akawa akija room anatupigisha stori af anataka nichangie pia, siku moja akagusia pc yake inazingua anataka kuupdate, Jamaa angu akasema mambo ya PC mimi ndo mtaalam, basi nikamwambia dem siku akiwa free aje na pc na vocha ya 2000 niupdate hiyo pc.

Siku mbili mbele dem akaja na pc bila vocha, nikamwambia sio kesi leo umekuta nna bundle la kutosha nita-update kwa bundle langu. Nikafanya mavitu pale huku ye anapiga stor na mchizi PC ikawa safi dem akasepa.

Baada ya siku moja jamaa akanambia dem anaomba namba yangu PC imemzingua anataka nimuelekeze kuna mambo yamebadilika na pia anataka movie na miziki maana aliona ninazo nyingi, Nikakaza nikwamwambia mwamba ngoja nikuelekeze umwambie akafanye linalotakiwa.

Kwa vile mwamba alikuwa akiniamini mana alikuwa anajua nna kazi zangu safi (yan pisi) mbili huwa zinapokezana tu kunipa unyevunyevu kwa wakati tofauti na nilikuwa nikimsupport amle huyo dem, bas akajua hata akimpa huyo demi namba sitokuwa na madhara.

Basi bwana akasema ngoja tu nimpe umelekeze kiurahisi, nikatatua tatizo la bi dada akanipanga atafuata muv bas akafuata.

Muda wa kuangalia movie akaniuliza ipi nzuri nikamwambia anza na "the perfect match" na ndo ilikuwa mpya kipindi hicho kwa wanaoijua wanaelewa unyama uliomo humu. Bas bwana baada ya dem kuangalia, akaanza kunichatisha kisirisiri na hataki msela ajue kama bado tunawasiliana, cha ajabu hata akija room tunavunga kama hatujawahi ongea muda mrefu. Kumbe huku kwenye chats dem ni kunisifia tu kila siku mara HB, mara gentleman mara mpole, mara naonekana mstaarabu, afu anasema mwamba ni kama bro wake tu mana walisoma wote msela akimaliza madarasa ya mbele yake na hawana uhusiano na hawajawah fanya lolote, sema tu wamekutana tena chuo na muhuni ndo anamtongoza

Bas dem avotaka jua hali yangu ya uhusiano nikamwambia me niko single na sihitaji date kwa sasa maana nimetoka kwenye heartbrake, stor ziliendelea kuwa nyingi kwa text mpk akawa anakuja nisalimia kisiri siri bila msela kujua, tunakutana around the corner ili tu apate evening walk na mm, kwa wale wa chuo fulan na waliopita hapo watakua wanajua mazingira yalivyo mazuri wa evening walk humo chuoni + kale kaupepo kabaridi.

Bas bwana tukapiga pepa la midterm tukaenda midterm break..
tukiwa hom dem akawa mpk ananichek usiku ananambia ana nyege n.k, mpk alianza nitumia picha za nusu uchi, na akawa ananiita FWB, tukapangana tukifungua chuo tukutane nimkune kisawasawa kwa makubaliano ni FWB pekee and no strings attached.

Basi bwana after two weeks tukafungua chuo, ila me nikaenda wiki mbili baadae, nivyofika siku ya kwanza dem akataka kuniona, mda huo nipo kwa jamaa angu mwengine tunakula stor na kucheza ps, nikamwambia nipo sehem flan njoo, dem akasema anakuja.. nikampanga msela dem akija aniachie uwanja; bas bwana dem akafika, uzuri kila kitu kilikuwa kimeshaisha kwenye chattings wakat tupo likizo hvo pale shughuli ilikuwa ni moja tuu kumgegeda.

nivotaka kujarbu mlango ukawa mgumu, mana alishawah nambia hapo nyuma tokea avotolewa bikra yake akafanya ngono mara 2 na hajafanya tena kwa mda mrefu. Ila kwa vile alikua yupo tayar na anahitaji nimgegede alisema atavumilia maumivu, nilipambana mpk dem akatoa chozi kwa maumivu ila ile shoo ikaisha murua, dem avotoka pale msg ikaingia inabd turudie ndan ya siku mbili maana leo nimeumia tu nkasikia poa mwishoni, baada ya siku mbili nikala tena, hapo sasa ndo mtoto akawa anataka kila wiki, iliendelea hvo kama miez miwili dem kaanza funguka tuhame kutoka kwenye FWB tuhamie kwenye uhusiano, hapo ndo aliponitibua, nikamwambia haiwezekan na sitokua naonana nae tena ili asishawishike zaid kunipenda, yule dem aliniganda sana sema mwamba nilikuja nikamblock tukapotezeana na mpk alikuja nichukia.

nilimaliza batch yangu na ye akamaliza diplm yake tukapotezana mda mref zaid ya miaka 4 ila tukawa tunaonana status tu na kuchat kwa mbali akidai hawez nisahau.
miez miwili iliyopita nipo zangu busy ofsn nashangaa namba mpya inaingia, mambo mi nipo Arusha, nikauliza nani bas akajitambulisha nikajifanya "unabadili sana namba, hii namba sina ninayo ile nyingne". kumbe sina ata moja nilifuta zote baada ya msg zake kulitibua kwa pisi yangu ya sasa.

Baadae tukaongea akanambia yupo Arusha kikaz na atakuwepo kwa siku 4, bas Nikamla tena na akajiendea zake akiwa amesuuzika.
Hii story ni ya ukweli, ukiisoma vizuri unaona kabisa haina chembechembe ya uchaichai.

Nimewahi pia kula kimasihara kwanamna yako na mwanamke ameniganda hadi hivi leo licha ya kupuuzia txt zake na kumdanganya sana.

Wakati namgegeda alikuwa hajafanya mapenzi siku nyingi tangu atolewa bikra kwahiyo ilikuwa ni kama anaanza upya...sa sijui aliyemtoa bikra hakuwa na mboo kubwa??
 
Basi nyingi sio masihara, mpaka unakula pisi ujue tayari alikua keshakubali kuliwa ni ile tu kwamba anakua tayari kishingo upande mpaka umpe motisha alegee, kaa uhamin unaweza mset akaja eneo la tukio ukaparangana na mzigo usile Ila makofi na matusi utakula ya kutosha.
Uhamin???
 
Back
Top Bottom