Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hahaha share tu mkuu,we do make mistake(s) as a human beings
Nilisema kuna siku nitaleta story ya mke wa staff wa TRA. Uwa naandika hii kimasihara halafu nafuta sikuwahi kufikiria kula mke wa mtu Mungu anisamehe.

Siku moja mwaka jana 2021 nilipeleka gereji gari moja ndogo ilikaa sana bila kutumika so ilikufa AC na pia nikaenda kufanya normal services ili irudi kwenye mstari.

Nimefika gereji kwa fundi wangu Sinza namkuta yuko busy na Harrier matako ya nyani ya dada mmoja ana shepu la kuvunja chaga sura imeenda mileage kidogo ila mzuri na kapiga jeans t-shirt na miwani full tinted. Sikumjali kivile nikamweleza fundi matatizo ya gari akawaita vijana wake wakaanza kufungua mfumo wa kiyoyozi.

Wakati kazi inaendelea mie nikaenda kwenye benchi nikakaa na yule dada wakati magari yanatengenezwa

Tulisalimiana na kuendelea kuperuzi mitandao ya kijamii kila mtu na simu yake.

Muda umeenda nikamuuliza fundi chimbo niende kugonga kongoro, fundi bila shida akaniambia niende Corner Bar ndio kuna kongoro bora kabisa. Nikainuka kutaka kwenda kutafuta bajaji yule dada akaniomba twende wote kukill time. Nilistuka ila nikasema leo namla huyu

Tukaenda Corner Bar tukapata kongoro safi yule dada kwenye story akawa analalamika usiku wa jana yake alilala late sana walienda kwenye send off so akawa anasinzia sinzia. Nikamuuliza ulikunywa akasema yes alikunywa wine basi nikamshauri apige glass moja arudi kwenye mstari akakubali

Ile kunywa glass moja akachangamka na kuanza stori mara sijui mme wangu ananichunga sijui nini mie namcheki tu huku napiga maji kubwa. Baadae akaongeza glass ya pili akachangamka zaidi akawa kanizoea sana mara ooh me wine zinanipa nyege. Nikamwambia tukachukue room nikutoe hizo nyege. Akaniambia fundi si atastukia maana ni fundi wao wa familia miaka mingi na ni rafiki ya mme wake. Nikampanga kuwa hawezi kujua nikaita bajaji nikampeleka hotel moja ipo karibu na Lion inaitwa Mkomilo.

Tulipoingia demu akaingia bafuni kapiga maji kurudi kajifunga taulo anasikia baridi maana niliweka kiyoyozi chini kabisa hapo me nishasaula nguo mnara unasoma 5G. Yule manzi akatupa taulo kabaki kama alivyozaliwa akanivaa kitandani analalamika baridi. Nilimkubatia nikawa napitisha mkono mgongoni manzi full vipele vya baridi nilibambia kwa sana na madenda ya hapa na pale kisha nikapiga sana mashine peku piga bao la kwanza tuka break nikamuuliza kuhusu mme wake na familia akanipa mkanda mzima wa maisha yake akidai mmewe ana nyumba ndogo hivyo wanagombana mara kwa mara (ingawa nilihisi ni fix ya kujustify ujinga wake).

Baadae tukarudi ulingoni wakati natafuta bao la pili naona fundi ananipigia akauliza yule dada nimempeleka wapi gari yake tayari, nikamdanganya tuliachana kona bar alikutana na rafiki zake. Nikamfunga kamba me niko Mwenge napoteza muda. Fundi akaelewa akasema anamtafuta hapokei simu. Kucheki simu ya manzi kuna missed call kama 10 hivi za fundi alikuwa ameweka silent.

Tukamalizia bao la pili tukapiga maji kila mtu akaondoka kivyake. Demu akaenda gereji mie nikazuga kitaa kama nusu saa nikaenda kuchukua gari. Fundi wala hakustukia mchezo

Demu alinitafuta mara mbili tatu nikawa nampotezea mpk akakata tamaa. Tumeishia ku-like status insta tu. Ilikuwa bahati mbaya na sitarudia kula mke wa mtu tena maishani mwangu
 
Hiyo bar kama sio shetembaa basi itakuwa cheers
Hapana. Shetembaa si mlimani pale karibia na darajani. Mi nazungumzia kona pale pale, nadhani ni cheers. Kama unapandisha, unaivuka toroka uje (chipsi) sijui kama bado ipo hiyo toroka uje.
 
Hapana. Shetembaa si mlimani pale karibia na darajani. Mi nazungumzia kona pale pale, nadhani ni cheers. Kama unapandisha, unaivuka toroka uje (chipsi) sijui kama bado ipo hiyo toroka uje.

Hiv cheers pub bado ipo maana ni kitambo sana toka 2000’s huko
 
Luchelele Mzunguko fanya kuchukua hao wa hapo SAUT
Sema nipo na kazi sana mkuu hafu Nisha achana na mambo za kukimbizana na awa mabinti nikujipa stress tu mkuu, hao tunawala sana pale Nyegezi kwenye danguro wakicharara uwa wanakuja pale kuuza
 
Booooh boooh yani kiulaini sanaa huu uzi unatibu malazi mengi sana kwa hiyo dawa iongezeke

Baada ya kumaliza chuo nilipata kazi wilaya fulani morogoro uko ndanii sana kwanza nilipofika sikuamini kama kule ni moro ,nilijua dar moro karibu alafu weekend bata batani dsm weeh nilichoka kwanza ilichukua masaa 12 kufika tuuh ,yani nilitamani nilie mazingira ovyoo sana alafu ilikuwa masika barabara mbovuu kishenzi

Kesho nikaripoti job kishingo upande sana ,wakanionesha mazingira kwa kuwa nilifikia guest ,kuna jamaa akaniambia tukakae geto kwangu kwanza kipindi unacheki mazingira ya kupata nyumba daah nikasema poa tulivyotoka job tukaenda mpka alipokuwa anaishi nikaoga nin jioni misele kama kawaida kitaa lakin mazingira ovyoo ayakunishawishi kabisa

Weekend mi uwa napenda kutoka yani club kama kawa si unajua ukizoea mambo ya chuo nin mitoko kama kawa ,akanipeleka pande fulani bush bush madem ovyoo niliboreka saa 5 tukarudi geto yani nilikonda kishenzi .Ikapita miezi kadhaa nikanunua vitu nikaamia kwangu na kazi ikawa inaendelea

Kuna siku moja mchana nikaenda bank kucheki salary mdogo mdogo sina habari mala napigwa bonge la ngumi la mgongo mmamae nilimind kugeuka nijibu mapigo kucheki kumbe mdada, ila anaonekana kama chizi chizi na gunia lake alafu ana fimbo sasa nikasimama saa ngapi fimbo ilo nikatoka nduki nikaingia bank kwa kuwa haikuwa mbali na pale bank.Nikaingia bank nikacheki balance zangu nikasepa sasa natoka askari akaniambia yule kichaa anakusubiria pale pita kwa uku mkwepe mhmh nikamjibu hapana ngoja nimpe chochote labda anashida .Kweli nafika pale nikatoa noti ya elfu 10 nikampa alifurahi aliruka ruka kagala gala mi nikasepa zangu

Sasa nikajiuliza uyu kichaa niaje mbona ana cheza pale karibu na bank na awamfukuzi aaah buushit nikapotezea .Bana bana toka siku ile akiniona ananikimbilia mpaka uwa namkwepa ,kuna siku tunapita na mshikaji usiku saa 2 kakusanya kuni kawasha moto nikajificha kwa mshikaji saa ngapi asinione alinirukia akatoa ndizi mfukon akanipa , nikampa elf 2 alifurah sis tukasepa njiani mi nikamenya ile ndizi nakula mshkaji alicheka yani we unakula uchafu uyo anaokota dampo kule mi nakutana nae kila siku .Tukaachana mi nikaenda home ,kumbe bana yule kichaa anatufata nyuma nyuma akajua napoishi sas ndio ilikuwa kero nikiludi job yupo nje ya getin ananiita mpenz wangu mwaaah anakimbia.

Weekend moja tukaenda bush part na jamaa angu kulikuwa na kipaimara alialikwa,tulipiga pombe sana dadeki niko chakari sanaa kufika saa 7 nikamwambia aisee jomba twende hom .Kule job kuna mdada nilikuwa namind sema akawa analeta mizinguo ooh mpaka unioe alikuwa anakujaga hom mala moja moja .Ile tunaludi mshikaji akaniambia leo umelewa sana aisee mpaka unayumba utafika hom kweli , nikamjibu nifikishe mpaka pale kwenye njia ya hom alafu we uludi , jamaa akanifikisha pale mi mdogo mdogo mala nashikwa mkono mpenzi wangu kugeuka yule kichaa, nikajikwaa nataka kuanguka akanidaka uku namsikia kwa mbali leo una nin mpenz jamani akanikokota mpaka hom nikafungua mlango yey akabaki nje uku mlango sijafunga mi kwenye kochi tiii .Sasa nikastuka nikaenda kufunga mlango nikamkuta akaniambia unanifungia mpenzi sasa na pombe nikamwambia ingia.Mala nikapepesuka nikampalamia wote chini ,ile chini pale joto joto la mwili tukagusana nikaona alaah na tungi mmboo hiyo nikamgusa chuchu ana cheka cheka tuuh nikapandisha gauni juu alafu lilikuwa chafu kishenzi navuta chupi akanishika mkono mhmh mhmh usifanye hivyo ,mi nikaendelea tukavutana nika win chupi kulee sas akabana mapaja nilishangaa alikuwa na nguvu sana ,si unajua wa jando tunajua wapi pakugusa mapaja yaachie akaguswa sehem 3 ngumu napanua tena nikakuta pwaaa mi uyo alikuwa na vvuzi dadeki ila nikapeleka mmboo ikakubali aisee kchaa kilitulia mbona

Dadeki alinikaba shingoni kwa nguvu mpaka pombe iliniisha ,baadae akatulia na mim nikajikamua lile bao lilikuwa zitoo sana nilihema ile naegemea kochi usingizi pale pale .Nastuka asubuhi lile dem la job linaniita nacheki pembeni hamna mtu kumbukumbu zina nijia dadeki nilijutia nikawaza uyu dem akumwona kweli .Nikaeka mazingira fresh lile dem likaingia tukapiga story mpaka mchana akasepa .Juma3 job jamaa akanivuta pembeni akasema jana umefanyaje sas nauliza kwa nin ,akajibu nanii kamwambia dem wangu, kafika kwako kamkuta yule kichaa ana toka ndani kwako alafu kavaa shati lako

Iliniuma kwa sababu ilienea sana kazini yani niloona bonge la noma ,Ila nikajiuliza maana machache nakumbuka alivaa chupi alafu ndani akuwa ovyo kama nilivyofikiria .Ikapita wiki 3 jamaa akaniambia mbona yule chizi simuoni tena shem wangu yule nilimind sema utani nin.Nikamwambia lakini mtam yani jamaa akasema tukitoka twende tukamcheki ,tulivyofika pale hamna uchafu wala nin tukawauliza wale maaskari wakasema ana karibia mwezi hawajamuona tena pale.

Wazee hii itaendelea.................. hofu itakuwa ndefu mnoo maana kuna kisa kingine mbelee yake xoooooo stay waiiiiiiiiit

Mr jjjjjjjj
Ulimwagia ndani mzee?
 
Apite huko. Dem singo maza maanina mi nimpeleke wapi. Halafu siku namkula alikua analalamika anaumia.
Mzee mara ya kwanza ulipiga show mbovu ndo maana ya pili alikukazia ila ungepiga show vizur angekuwa anakutafuta mwenyewe
 
Na simu ukatoa bure!
Ngoja niwaletee hii

Ilikuwa 2017, mwaka wa pili chuo. Kipindi hicho ilikujiongezea kipato niliona fursa kwenye kuuza simu. Classmates wangu wengi walifahamu biashara niliyokuwa naifanya. Mmoja wa Classmate dada yake alikuwa anahitaji simu so akaniunganisha naye. Alikuwa anataka iphone 6+. Yule classmate akanipa contacts za dada yake tukawasiliana akaniambia kuwa hiyo simu anaitaka lakini mpaka mwisho wa mwezi. Baada ya hapo tulikuwa tunawasiliana kawaida tu kwa kweli yupo charming. Nakumbuka siku nipo tu chuo akanipigia simu na kuniambia kuwa tayari anayo hiyo hela lakini nimfanyie delivery kwake alikuwa anaishi Sinza kipindi hicho. Ila akaniambia kuanzia saa mbili ndio atakuwa nyumbani so akanielekeza vizuri tukakubaliana. Basi bwana mdogo nikafurahi sana kwa kuwa naenda kupata kahela kidogo kakuenjoy. Mida ilivyofika around saa moja hivi na madakika yake mengi nikampigia simu akaniambia yupo nyumbani naweza mpelekea. Kijana nikachukua boda mpaka sinza kizuri kwake hata kwa kuelekezwa tu unafika kirahisi. Nikafika kwake alikuwa amepanga sehemu flani imetulia alikuwa na sebule, kijiko kidogo ambacho ndio nilichoingilia mpaka sebuleni. Nilikuta kuna Chips yai na wine ( dompo) vilikuwa mezani . Basi nikakaa akanikaribisha ni nikamwambia nipo okay. Akanipa pole kwa kunitembeza usiku basi tukawa tunapiga stori mbili tatu hapo bado sijampatia simu yake. Sasa simu ikawa inaita room. Akaenda kuipokea. Nikawa nasikia kama anakwaruzana na mtu kwenye simu. Hasa nilisikia yeye akilalamika kuwa walikubaliana leo watoke so kichwani nikajua tu ni mtu wake. Alitoka room sura imebadilika kidogo. Akaketi ukimya ukatawala kidogo baadae akaniuliza wewe hutumii wine mimi nikamwambia hapa hiko kinywaji laini sana. Akacheka akaniambia sasa na umri wako huo unakunywa nini nikamwambia labda konyagi akaguna akasema basi ngoja nimwagize mtu akuletee nikamwambia awe na amini mimi nipo poa akesema hapana nimpe company. Basi akampigia mtu simu akamuugiza konyagi na kuniuuliza tena nakula nini safari hii hata sikukataa nikamwambia. Nikampa simu yake basi akafurahi kweli sasa nilikuwa nimeketi kwenye kochi jingine baada ya kuiangalia simu yake na kuiwasha akaniambia sasa naomba uset kila kitu. Mimi nikanyosha mkono ili anikabidhi akaniambia jamani kwani mimi nang'ata si uje hapa uiset huku mimi naona siku nyingine nifanye mwenyewe nikawa sina kipingamizi nikasogea mpaka alipokaa nikaanza kuiset. Sasa akaanza kulalamika jinsi bwana wake hana muda na yeye na kila wakipanga kutoka mara nyingi anazingua. Na mimi naweka maneno yangu hapo kama stori tu. Basi jamaa wa msosi akaja na msosi na konyagi yangu. Stori ziliendelee mimi na nakula na kunywa nyagi yangu yeye wine. Muda unazidi kusogea sasa mwenye nyagi imeanza kuingia kichwani na yeye wine imeanza kumkolea nakumbuka ilikuwa trace music alikuwa ameweka muda wote. Kusema ukweli huyu manzi alikuwa mkubwa kwangu ila alikuwa mzuri na kashape flani hivi. Mara akanyanyuka na kuanza kucheza mimi nimekaa tu napiga nyagi yangu asije kunikalia na kuanza kupiga mauno mtoto wa watu nikashikilia kiuno yeye anakikata. Nikaona usiwe tabu nikamgeuza nakuanza kumla mate ushirikiano kama wote chezea matiti sana kupima oil mtoto yupo wet balaa. Show ikaanzia hapohapo kwenye kochi the next thing tupo bed show ikaendelea ilikuwa ya muda mrefu na ilikuwa tamu sana wote tulikuwa tayari tulishachangamka. Asikwambie mtu hakuna show tamu kama ile wote mmelewa. Sitakuja kusahau ile show. Na ndo the only mchagga ambaye nilimla akasquirt. Alisquirt sana yule mdada ilitabidi mpaka tulibinue godoro upande mwingine na ulikuwa na wenyewe ulishaanza kuwa wet ila sio sana. Asubuhi kila mtu anamcheka mwenzake matani kama yote umewezaje kulala na dada yako😂😂. Basi vikaishia hapo. Hatukuendelea tena na huo mchezo alikuwa engaged. Na kwa kweli aliomba sana nisije kuropoka kwa ndugu yake
Nilikuja kujua anafanya kazi kwenye moja ya insurance companies kwa sababu aliniconnect kumuuzia simu bosi wake.
Ila wakuu sasa hivi huyu mdada ana mtoto mmoja wa umri wa kama miaka mitano hivi huyu mtoto anafanana sana na mimi hata ndugu yake my former Classmate ananiambiaga nafanana na mtoto wa dada yake niliyemuuzia simu. Kuna siku alikuwa amepost status ya family photo yake yeye mumewe na mtoto. Nikascreenshot nikamtumia tu dada angu mimi akaniuliza hao ni kina nani huyo dogo mmefanana naye sana. Na mpaka leo sijawahi muuliza muhusik
 
kimasihara leo imegoma dadeki, nilimbananisha kibonge mmoja mke wa .mtu kidogo nimle, akanambia tuahirishe mazingira hayaruhusu, heebadae akaniruka kwamba nisahau kumtafuna .dadeki,
hii tamu, hebu tupe ramani ilikuwaje hadi kuja kuchana karatasi ya mchoro mazima
 
Wimbo wa

Ruger - snapchat umenipatia tunda safii nikitulia nitakuja na mkasa
 
Back
Top Bottom