sibbonnobo
JF-Expert Member
- Aug 24, 2019
- 720
- 895
Hapa mkuu naona tu bora wazungu watutengenezee ving'amuzi kisha serikali na bunge lake tukufu watengeneze sheria ya kuturuhusu kuwafunga ving'amuzi wenza wetu. Inauma sana wewe unatoka jasho kuhudumia kisha bararia.mmoja anakula mbususu kirahisi kisa tu kamuonyesha lodge ya kulala akiwa mkoa.mwengine kikazi. Tena sio siku moja anajipigia siku zote atakazo kaa huko.Noma sana mkuu, kila nikisoma jinsi wana wanavo watafuna watoto wazuri tena bila hata kinga duh! Ndo nazidi kumuwaza bebi wangu kwa intelejensia ya hawa wahuni labda Mungu atende muujiza otherwise hawezi kuchomoka [emoji16]
Issue ya msingi na ya sekondari mabaharia tu tuoneane huruma.. Mambo ya kupigiwa hayavumiliki wala hayazoeleki tena maskini upigiwe halafu wewe mwanaume uwe umetulia hutaki michepuko wala nini, roho hua inauma sana.
Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app