A girlfriend turns lesbian
Muda hubadilisha watu, muda huongea. Kuna wakati tunaokota dodo kwenye mwarobaini
Arusha 2012, Rastaaaaaaaa haile
Nlikua nafanya kazi mbili tofauti ili mkono uende kinywani. Ilikuw ngumu lakini nlizoea, kutokana na asili ya kazi yangu nkawa najua kila chocho yenye cafe nzuri maana ndo sehemu nafanya vikao or kumaliza muda nikifanya kazi za watu.
Moja ya masiku, nmekaa icecream shop nna stress za mwaka. Wakaingia wadada wawili, weupe, mmoja mwembamba mmoja mnene, wakiwa wana furaha mno. Saa nzima wamekaa wakipiga story na kutabasamu, nkawa najiuliza mbona mimi sina furaha?! Nkawa namalizia ice cream nlizoagiza huku nkiwaza kuwaingia na kuwala.
Nlikua nna wallet moja ya ngozi, ikiwa ina card moja ya bank pamoja na business cards. Nkaona hapa lazima niwale mmoja wao, plan yangu ikiwa ni yule mwembamba. Nkainuka pale, nkaacha wallet nkijua wazi wakigeuka wataiona, hata wasipoiona akiona mtu wa cafe angeiona.
Nkaondoka nkiwa nna 20% za mafanikio. Mpaka nafika home bado sijapata lolote. Nkawa nmekaa nabadili channels za tv nkiwa sina a wala b. Saa 5 hivi usiku simu ikaita, "bro ulisahau wallet yako" Nkamuitikia asante.
Siku ya pili nkamwambia achukue pikipiki aniletee, nitalipia. Muda huo sijui ni yupi kati yao atakuja au nnaongea nae. Bodaboda nkamuelekeza nlipo, kwakua nyumba zilikuwa zimepangwa vema mtaa nnaoishi, haikua vigumu kunielewa.
Nkatoka kupokea namuona ni yule mnene. Nkasema si mbaya sana, kumbe mtego ule unaeza fanya kazi. Nkamkaribisha ndani, nikafungua friji nkamtolea ice cream ya ½kg. Nikamwambia sina la kukulipa, japo ice cream ule ujisikie raha. Nkatoa vijiko na tukawa tunakula huku tukupiga story za kujuana.
Namuangalia usoni, naona ice cream kwenye mdomo wake, ikasababisha nione vile midomo yake ilivyo laini na midogo. Kisura chake kipolee, akitabasamu nawe unalazimika kutabasamu.
Nikamwambia hebu nkufute, alivosogeza mdomo sikufuta kwa mkono, bali mdomo. Out of nowhere we kissed, na shughuli ya kula ice cream ikaishia hapo. Nkamla, and she was so sweet, ana mashine laini sijawahi ona yaani ni well kept and maintained. Akawa my +1, na hata akinikuta na girlfriend wangu hakuwa aki-mind, na kuna siku alisikia girlfriend wangu anatoka na mtu. Aisee bibie alimuwashia moto ni kinyama. Tukapoteana 2014.
2019 Dec, tukakutana ndani ya jiji la Makonda. Tukapiga story mbili tatu, nkaja jua now kawa lesbian, na ana furaha huko pale anavowasaga wenzie. Kwa kua ni rafiki nkawa nmepokea vile alivonambia, na kuchukulia ni hali ya kawaida. Ujinga ni kuwa mke wake wa sasa namjua, na akizinguliwa anakuja kusema kwa shemeji. Moja ya masiku kaja omba 3some, demu amtafute yeye ili tukamtie tu...
See you when am free, a few left, will type as I remember them. Nyingine naacha codes zake ni rahisi kukunjuka