Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Kwangu imetokea mara mbili.
December hii nilisafiri from dsm kuja mkoani kula sikukuu na familia yangu. Mke wangu na Mimi tumetoka wilaya moja. Actually distance kutoka kwetu na kwao ni mwendo wa kama km 15. So wife akaomba kwenda kula sikukuu kwao. Nikampeleka nami nikarudi kula sikuu kwetu. Sasa jioni kama kawa nikatoka out kupiga mitungi. Nimerudi home mida mibovu. Sikumbiki nilianzaje ila nilijikuta katikati ya game Kali na msaidizi wetu wa ndani ambae alibaki kwetu. Huyu dada ni wa kawaida sana na sikuwahi kumtamani. Sasa najuta najisikia vibaya kweli.

Yan ushakula utamu kunoga saiv unajisikia vibaya
 
Mwaka 2010 kuna mwana alikuwa na Nokia E75 nadhani tukiwa O level yani ile simu hadi leo huwaga inanijia akilini ilikuwa Best phone miaka ile kupata kuiona so haya mambo ni Exposure tu wengine wamechelewa kuona vitu kama hivi.

1640797389321.png
 
Nakumbuka nikiwa nimepanga chumba kuna binti mpangaji nilimkuta bafuni anaoga halafu hajafunga vizuri mlango, nilidhani hamna mtu nikazama moja kwa moja nikamkuta kasimama ,akasema Mungu wangu imeona kila kitu hujabakiza hata kidogo ,kama utani nikamwambia nishaona vyote kama vipi nionje ,utani utani nikamshikisha ukuta
 
Ulitaka niWeKE Na video Au vipi? Ndo SHIDa YA kUishi Kwa mume Wa dada yaKo. Masenge mengine bhana
9
Part 2
Nilivyokula kimasikhara msafiri mwenzangu. (KAHAMA TO KILIMANJARO)
Baada ya kumaliza shughuli Kahama siku ya J3 nkaagizwa na ofisi niwahi Moshi nahitajika mapema asubuhi. Nkawahi stand ya kahama nipande gari zinazotoka Kigoma to arusha

Part 2 Nilivyomla kimasikhara msafiri mwenzangu (kahama to Kilimanjaro)
Baada ya kumaliza shughuli Kahama j3 nkapewa taarifa kuwa j4 nahitajika mapema Moshi.saa sita nikaelekea stand ya kahama. Nikakata ticket ya bus linaitwa Coast line inatoka kigoma. Nikatulia niisubirie ifike nipande nianze safari yangu. wakati naisubiria akaja msafiri mtoto maji ya kunde kazuri kinoma alafu kako ki sista duh hivi...kako busy tu... Nili yokaona tu nikajisemea kuwa haka naishi nacho. Bus likafika saa tisa tukapanda bahati nzuri tukakaa seat moja. Huyu binti kila nikimsemesha mashauzi mengi sana. Baadae nikaona jina lake Ruby (siyo jina lake halisi ila amefanana na Ruby msanii) na alikuwa anashukia babati. Basi kuanzia hapo nikawa namsemesha kwa kutumia jina lake...mtoto Ruby baadae akaona anipe ushirikiano tu katika story mbili tatu.
Baada ya nusu sasa safari ikiwa inaendelea katoto kakaanza kusinzia na mimi nikajifanya kusinzia then nikakashika mkono..nkakaona kametulia..nikawanakatekenya mkono naona kametulia tu..nkawa nakachezea mkono na kenyewe kananishika...baadae nikaambia kasinzie kwenye bega langu..kakakubali... Saa 12 jion gari ikaharibika hapo tupo igunga.. abiria tukashuka kusubiri gari lirekebishwe. Nkashuka nako nikaanza kukapigisha story nyingi... Kumbe katoto kabisa miaka 19.. bus ikakaa sawa saa 4 na nusu usiku. Tukiwa kwa gari nikakaomba tukifika babati kasiende home tulale lodge asubuhi ndo kaende home. Na mimi nika risk kibarua nikasema potelea pote yalimshinda Ngoswe ni mimi.nikaamua kuwa nashukia babati nkapige mbupu asubuhi niendelee na safari. Katoto kakakubali. Tukiwa kwa gari tukiitafuta Singida kakaanza kulalamika joto..kakaniambia kanataka kuvua sidiria nkakavua humo kwa bus nakapiga tou h za kutosha... Saa nane tukaingia singida deree akasema tunalala hama asubuhi safari ndo iendelee...nkasema alhlahula mbona jambo jema hili..nkakachukua nkakapeleka lodge moja hivi iko jirani na stand... Nkachukua zana tukazama ndichi. Kakaenda kuoga kakarudi kwa bed...nkakapiga bao zangu mbili tukalala asubuhi nkakaambia hapa tunaondoka saa nne hiyo gari acha iende tu nitakulipia nauli mpk babati. Asubuhi tukapata chai..nkauza show tukaendeleza show mpaka saa nne.kwa ufupi kale katoto ka 2002 kalikuwa kanajua kutiana balaa.. saa nne tukatoka zetu lodge tukaendelea na safari nikakashisha babati nikaendelea na safari to moshi.
Sasa kale katoto ni kasumbufu kila dk kana ni video call...
Nikirudi dodoma sina ujanja nateremkia babati nakatia tena ila itategemea kama nitapata msafiri mwingine tena mwenye kueleweka.
Ndy maana nikisafiri sipendagi mazoea na mtu hasa jinsi me... Asa mambo gan haya ya kulana.

Waiiiiiiiiiiii
 
Nakumbuka nikiwa nimepanga chumba kuna binti mpangaji nilimkuta bafuni anaoga halafu hajafunga vizuri mlango, nilidhani hamna mtu nikazama moja kwa moja nikamkuta kasimama ,akasema Mungu wangu imeona kila kitu hujabakiza hata kidogo ,kama utani nikamwambia nishaona vyote kama vipi nionje ,utani utani nikamshikisha ukuta
mzee wa mikeka upo na huku?
 
Kwanza nitangulize samahani kwa mabaharia wote wa kula kimasihara maana nimekosea sana
STORI ILIKUWA HIVI;
Jana nimepanda zangu mjini hapa dodoma mjini akatokea mdada mmoja yani ana bonge la tako!!... yani ni wale ambao hata akiwa amekupa kifua unaona kabisa nyuma palivyotuna.... yani hizo hips sio za nchi hii!!... Nakamfata kwa confidence maan hiyo ndo silaa ya kum-win dem akupe no....nikamuomba no akasema nitajie zako nikamwambia nipe simu yako niandike,,,...kweli akanipa nikaandika na akanitext instant kabla hata sijatoka eneo hilo!!!.... Nikamuuliza mda gan utakuw free tuchati maan nilimkuta yuko busy,,,....ila akachuna hakunijibu!!..Leo asubuh nikamcheki tukachat nikamtumia ile text ya bwana CARLOS kweli akajibu!... Nlimwambia yani nna ham ya kukuona hapa nakuwaza tu wewe,,,, akajibu pole kwa kuniwaza..... nkamwambia njoo basi kwangu upajua akasema hawez!...Nikambembeleza wee akasema anatoka job saa 4 usiku so ataangalia,,,, Mida ya saa 1:30 hivi usiku Niko zangu napiga misosi tena hata nilikuwa nishamsahau kabisa maana mimi kwa siku nachukua hata no 5 za mademuAkanipigia kwamba leo amewah kutoka kwahyo nimuelekeze ashuke wapi daah sikuamini!!! Mtoto kaja kapiga top nyeupe na trouser nyeupe yani hips zinamwagika nkasema leo najilia mali safi!!...Hao tukaanza safari ya kwenda geto,,, tumefika getini mtoto anasema nimeshapaona siingii ndani daah sikuamini aisee!... Kibaya zaid ninapokaa nje ya geti kuna frame kama 4 hivi na watu wapo kwahyo nkashindwa hata kumbembeleza isije kuwa aibu kwangu! Aisee sijui kwann badilisha mawazo ghafla! Yani ikabidi nimsindikize nikawa nabaki nyuma niangalie lile tako na zile hips! Samahanini wakuu nimewaangusha!!
 
Hivi vitu vikisha jikoroga kwenye ubongo ubinadamu hutoweka. Kuna ki masihara moja nilipiga, iko huko juu hata sijui page gani. Baada ya hapo tukanogewa. Yeye kanifanya mme sasa wakati wote mmewe hayupo, anaendaga site hata miezi sita hajarudi.

Siku moja nikasema leo nakuja kukutafuna kwenye kitanda cha mmeo. Kwani alikataa sasa? Nikaenda nikachakata goli moja tena nilimwacha njiani huyo nikasepa. Nilifanya kama mara tatu lkn kila nikimaliza, akili ya utu inakuja, najiuliza, hii nini nafanya? Mbona nimekuwa kichaa sasa? Nikaona nimwache mazima. Mwezi wa tatu huu. Natafutwa nikachakate nimegoma
Weweee unatafuta kuliwa...

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom