synthesizere
JF-Expert Member
- Dec 22, 2019
- 882
- 1,264
Mambo mpenzi?Hamna uzi siupend kuuona kama huu..yaan wanaume wanajisifia humu kutembea na wanawake tuuu zinaa imepewa kipaumbele..Akil zao zpo chini tuu .. crazy men
Mambo mpenzi?Hamna uzi siupend kuuona kama huu..yaan wanaume wanajisifia humu kutembea na wanawake tuuu zinaa imepewa kipaumbele..Akil zao zpo chini tuu .. crazy men
Umeletwa humu? Si kiherehere chako fara sana we jamaaHamna uzi siupend kuuona kama huu..yaan wanaume wanajisifia humu kutembea na wanawake tuuu zinaa imepewa kipaumbele..Akil zao zpo chini tuu .. crazy men
TLD ni Bora kuliko TLE ,it's smooth, less maluelueNdio mkuu ni TLD vipi kuhusu ubora kati ya TLD na TLE
ndio maana n recommended dosage for art nowNdio mkuu ni TLD vipi kuhusu ubora kati ya TLD na TLE
ndio maana n recommended dosage for art nowNdio mkuu ni TLD vipi kuhusu ubora kati ya TLD na TLE
Umepewa ipi Kati ya hizo....???Leo ni siku ya tatu tangu nianze PEP mbona sikutani na shida yeyote kama wengi wanavyolalamika?? Au nimepewa panadol???
TLD inakaboresho makubwa Sana,,,TLE ilishaondolewaNdio mkuu ni TLD vipi kuhusu ubora kati ya TLD na TLE
Sawa mkuu, hapo naaminindio maana n recommended dosage for art now
Nilipewa ya kulia(light blue)Umepewa ipi Kati ya hizo....???
Hiyo Aina tunaiita TLD ,,,Kulikua na TLE yenye Efivarenz unaweza kujinyea ndotoniView attachment 2063216
ndo kitu gani tuelimishe na sisi tafadhariLeo ni siku ya tatu tangu nianze PEP mbona sikutani na shida yeyote kama wengi wanavyolalamika?? Au nimepewa panadol???
Wangoni are just overrated hamna kitu,wanaume mnawashika na uchawi mnaochukua nyasa mnawawekea kwenye chakula hamna lolote.Yaani wangoni mjue mapenzi kuliko wamakonde na mabinti wa tanga?Thubutuuuuh yako wangoni unawajua unawasikia?
Waulize wenzio, hakuna wa kutufikia ktk ulimwengu wa mapenzi,
Mtuache jaman,yaan wayao, wamwera, wamakua, na wamakonde watuzidi sisi? Kwa lipi?
![]()
Hapana yeye sexual desire yake ipo chini Sana anatosheka na kamoja maana nae huwa analala Sana.
Itabidi tuwaulize na wao piaHivi kwanini ipo hivyo tulikua na conference na washkaji bar moja juzi same situation ndani kimoko ukiweza sana tena kwa lazima viwili afu hawataki kuendelea wakati nje mzee ni mkesha wa kutosha.
Daud YesseDaudi bashite au daudi gani anayemkusudia hapa?
Nimeacha now, sirudii tena
Unataka tuwaze nini cha zaidiHamna uzi siupend kuuona kama huu..yaan wanaume wanajisifia humu kutembea na wanawake tuuu zinaa imepewa kipaumbele..Akil zao zpo chini tuu .. crazy men
Mkeo kuna kitu alijichanganya ila kama ni mtu wa maono lazima aje kushtuka one day. Yeye mwenyewe ndiye wa kujilaumu!


Mk
Mkuu, ulichakata kimasihara ndani ya nyumba yako na mkeo?! Aisee ulikua na guts kwelikweli. Ungetafuta japo Guest House ya karibu. Next time usirudie. Japo wanaume tunachepuka tujaribu kupunguza makosa tunayowafanyia wenzi wetu
Huu ni mtazamo wangu wa kiutu uzima lakini. Inawezekana kimasihara ni popote. Inategemea mtu na mtu na mazingira ya tukio lenyewe