Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Leo ni siku ya tatu tangu nianze PEP mbona sikutani na shida yeyote kama wengi wanavyolalamika?? Au nimepewa panadol???
Umepewa ipi Kati ya hizo....???

Hiyo Aina tunaiita TLD ,,,Kulikua na TLE yenye Efivarenz unaweza kujinyea ndotoni
IMG_20210929_071934_404.jpg
 
Thubutuuuuh yako wangoni unawajua unawasikia?
Waulize wenzio, hakuna wa kutufikia ktk ulimwengu wa mapenzi,
Mtuache jaman, yaan wayao, wamwera, wamakua, na wamakonde watuzidi sisi? Kwa lipi?
Wangoni are just overrated hamna kitu,wanaume mnawashika na uchawi mnaochukua nyasa mnawawekea kwenye chakula hamna lolote.Yaani wangoni mjue mapenzi kuliko wamakonde na mabinti wa tanga?
 
Hapana yeye sexual desire yake ipo chini Sana anatosheka na kamoja maana nae huwa analala Sana.

Hivi kwanini ipo hivyo tulikua na conference na washkaji bar moja juzi same situation ndani kimoko ukiweza sana tena kwa lazima viwili afu hawataki kuendelea wakati nje mzee ni mkesha wa kutosha.
 
Mkeo kuna kitu alijichanganya ila kama ni mtu wa maono lazima aje kushtuka one day. Yeye mwenyewe ndiye wa kujilaumu!

Na Kibaya zaidi wanakaa ntaa mmoja...
Lazima tuu huyo shemela atataka mkeo ajue na Lazima atakuja kujua aiseee Mkeo hatokuamini kamwe...Ipo siku nae atagawa tuu kwa watu wanaimkomalia kila siku!
 
Mk

Mkuu, ulichakata kimasihara ndani ya nyumba yako na mkeo?! Aisee ulikua na guts kwelikweli. Ungetafuta japo Guest House ya karibu. Next time usirudie. Japo wanaume tunachepuka tujaribu kupunguza makosa tunayowafanyia wenzi wetu

Huu ni mtazamo wangu wa kiutu uzima lakini. Inawezekana kimasihara ni popote. Inategemea mtu na mtu na mazingira ya tukio lenyewe

Daaa yaani Kafanya Mbaya mwana,
Hapo Huyu shemela atakuja tuu Kumfanya Mke wake ajue..
Tena ni Mtaa mmoja duuu!
Ipo siku atajua tuu...
 
Back
Top Bottom