Mlaji wa kimasihara akamatwa huko Iringa...View attachment 2012591
Masihara baba
Screenshot_20211116-142612.jpg
 
Tafuna karanga mbichi, miogo ,Nazi.

Kula parachichi ,tango,tikitiki.

Au ukipata mbengu za maboga.

Nunua asali, changanya na unga wa mdarasin,na unga wa tangawizi....lamba vijiko viwil, asubuh--jion.

Fanya mazoez ya kuimarisha Misul yabl uume na pumzi.
Hii ya Asali na mdarasini mixer unga wa tangawizi kwa kifua pia sio salama kbs

Sent from my CPH1803 using JamiiForums mobile app
 
Nimekuja kuelewa inawezekana wengi humu wmekula pisi zinazojiuza kule telegram, yaani ukiangalia kule telegram na hizi za kimasihara unaona kuna chance mazee unakua umepiga dada poa bila kujua ukihisi umepata demu. Wanawake wengi wanauza mzigo kule telegram tukumbuke mipira au kujipima.
Sas wanajiuzaje na weng wanaliwa bure humu
 
Maziwa fresh au mtindi? Supplement Vitamin D ndo nn hii mkuuu
Fresh mazuri zaidi mkuu, kama unaweza unatumia sikuzote kama ni gharama ulipo tumia mila baada ya siku 2 au 3 na hapijatikati ndo matunda kama alivyoelekeza jamaa .....vitamin D supplement ni vidonge vya vitamin D Vina zinc na copper ya kutosha....

Kuna jamaa ameweka vitamin D3 na vitamin c ni vyema kutumia maana hazina madhara
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom