kayaman
JF-Expert Member
- Aug 3, 2013
- 4,516
- 10,436
vipi alikua anaweka kidole kwa nyuma?Sio kweli kwamba nilimpenda nilivomuona tu pale mahakamani.
Tangazo la kazi nimelipata siku mbili kabla ya deadline. Na siku niloenda mahakamani ilikuwa bado siku moja tu. Ilibidi niende kama alivoniambia kwamba kuna vitu amesahau kuniandikia kwenye certified copy. Ningekataa kwenda kwake manake ingebidi kesho ambayo ndo deadline niende mahakani then nikirud ndo nianze process za kuapply. Hapo system ya ajira portal haijazingua bado
Kumpenda nilianza kumpenda baada ya kunyanduana maana alijua kuniteka.





