blance86
JF-Expert Member
- Aug 31, 2016
- 2,165
- 5,710
Mic u more loveNambie hubbie, mic u sponsor angu,![]()

Mic u more loveNambie hubbie, mic u sponsor angu,![]()

Bado nipoo naandika!!!Natumai ushaliwa block kabla hujasubmit chochote--- cz kuanzia moment umepost hii comment, chochote unachoandika humu unakiandika kwa screen ya Miss/Mrs Moderator!



Dah yaani nimecheka kwa sauti.Kaeni mkao wa Kula. Namalizia kuandika jinsi nilivyomla kimasihara moderator mmoja wa huku,,,,![]()
Anza wewe kwanza uliliwaje siku ile
Duuh! Ugomvi sasa huuAnza wewe kwanza uliliwaje siku ile
😂😂😂 Umenikumbusha kuzimu duniani hamna huruma sana yaani mimi dume ndo nitoe Tunda 😂😂😂Anza wewe kwanza uliliwaje siku ile
Amenifanyia unyanyasaji wa kijinsia 🤣🤣🤣Duuh! Ugomvi sasa huu
Hadi wenyewe waje wasimulie maana tumewatenga sanaHuu uzi hauna lifespan kubwa.
Tunawasubiri waje tusome vidokezo vyao.Huu Uzi ni wa mademu 100%