Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Dah,

Ahsante Utumishi.

Nimeenda kupiga pepa Dodoma, intavyuu ya TRA tuko mtu nyomi. Kusema ukweli hili nyomi nililitabiri tu, hivyo nikakata kabisa gari ya kwenda na kurudi, na kuna binamu yangu mmoja anaishi Dodoma nikamuomba anifanyie booking ya room. Ingawa alitaka nilale kwake.

Niliingia Dodoma ijumaa saa kumi na moja jioni nkamkuta binamu stand ananisubir. Alimaindi why sikutaka kulala kwake nkamwambia niko poa tu, gharama asijali, alinichukua mpaka lodge aliyonifanyia booking nkapumzika hapo nimechoka hoi. Lodge iko nyuma ya Pub ya Platnum pale opposite ghorofa za NHC.

Saa moja usiku nkasema ntoke nkatafute mlo ili nirud nije nisome "possibles" za pepa ya kesho yake. Wakati natoka mapokezi nkakutana na mdada anashuka kwenye bodaboda, yule dereva anamwambia wajaribu pale labda watapata. Yule dada akaanza kulalamika why Utumishi wameamua kuleta pepa huku Dom, hapo nkajua kumbe yule dada ni "mwenzangu".

Nlimwambia Mimi pia ni mpiga pepa mwenzie, hivyo kama hatojali basi aniamini tu tuwe kampani asiendelee kuzunguka, mji umejaa. Alinielewa, nikarud nae ndani kuweka begi lake kisha nikatoka nae. Pale lodge ni karibu na Chako ni Chako ambako tulienda kupata menu tukarud kujadili pepa la kesho. Tulionyeshana vitambulisho ili tutambuane na kuaminiana zaidi, aliniambia katokea Tanga.

Pepa tumejadili weeee, mpaka saa saba usiku tukaamua inatosha. Tulikua free tu kujadili kana kwamba ni watu tunaojuana kitambo. Tulipeana uzoefu mbalimbali juu ya pepa za TRA zinavyokua. Dodoma wakuu ni barid sana usiku, yaani utadhani umeweka AC mpaka ile lowest temperature 15°. Kwakua ilikua usiku sana tuliamua tulale tu Sasa tusubir hiyo asubuhi. Kwenye kuoga kila mtu alioga kivyake, kuvaa unajitanda shuka kisha unageukia ukutani ndo unavaa. Kulala ilikua ni Mzungu wa Nne.

Sintoeleza ya kwenye pepa maana yapo humu, ila jioni tulikutana tena pale lodge. Hapa sasa hatukua na obligation yoyote zaidi ya kujiandaa kwa kesho kurud makwetu. Tulisema tuzunguke tuone mji ulivyo tukaingia viwanja kadhaa. Vinjwaji pia havikukoseka huko viwanjani. Tulirud kwenye saa nane hivi usiku, Pombe hazina adabu na Dodoma ni baridi hivyo kimasihara masihara tunda likamegwa. Sikumtongoza, hakunitongoza bali automatically tu tukajikuta tunajiliwaza kwa kumaliza pepa.

Zilipigwa game kadhaa usiku huo ili kujaribu kushindana na baridi, lakini mwishowe tuliamua tupumzike tu, maana ni ngumu kushindana na nature. Mtoto alikua "fundi" Sana nkasema nitaenda tu Tanga one day kwa ajili ya Mechi ya marudiano. Gari yangu ilikua saa tisa mchana, yeye saba mchana. Hivyo tulipata wasaa wa kupiga story hiyo asubuhi.

Ahsanteni Tena Utumishi.
Naaam naaam. Ndom ulikumbuja kiongozi??
 
Aisee mim mwenyew imenitokea hii ilikuwa mwaka 2014,huko madaba songea,tulienda kwa ajili ya kulima maharage,tumefika kule kuna mdada akawa ananizoea sana yaan inafika kipindi anakuja kusaidia kulima kwa rafiki yake na analala huko tulipo sisi maana pale tulikuwa na mdada ndo rafiki yake.

Sasa bhana kuna siku alilala kulekule tunakolala sisi na kule shambani tulikuwa tunalala wote sehemu moja wake kwa waume,sasa yule dada wakati tunalala akawa amebana upande wangu,imefika usiku nilisogeza mkono tuu nikamgusa nayeye akasogea kwangu daah kazi ikaisha aisee sitasahau,siku nyingine tumekutana tunashangaana ivi pale ilikuwaje,haya mambo haya!
 
Jaman wanawake shkamoooooooo
2010 nlikuwa nadate na mdada hivi alikuwa anasoma saut, nlianza naye 1009 alivomqliza six, basi bwana akaja kuolewa na jamaa miaka ya 2014 sijui

Ok Good,Mnatumia Kinga?
Unajua Afya yake?
Mmepima?
 
Ile siku bana kuna mambo kadhaa,
1) uchovu wa safari,
2) Uchovu wa discussion,
3) kimuhe muhe cha pepa ya kesho yake
4) Ugeni wa kila mmoja kwa mwenzie
5) Kuoneana Aibu
6) Kipindi namshawishi akubali kulala nami nilimpa matumaini mimi ni mtu mwema
7) Aliniambia ana siku 2 pale, nkajua huyu wangu tu
8) Muda Kama ulikua hautoshi ku discuss, kulana, kulala na kesho yake tulitakiwa asubuhi sana
9) etc
Hio sababu ya kwanza na pili sikubaliani nayo kbs,labda hio ya 3 kimuhemuhe cha pepa tofauti na hapo na ww utakuwa na matatizo yako
 
Heheeehee ..kuna jamaa ni mpangaji mwenzangu alikuja na goma lake wametoka huko walikotoka sijui wapi saa 10 alfajiri, nimestuka nasikia milango inafunguliwa kwa fujo wameingia ndani kwake ( hapo tulipopanga ni self bed-sitters)...wamepiga stori kama zinahusu mambo ya ofisini kwao hivi nikalazimika tu kusikiliza maana wanazungumza kwa sauti as if ni mchana yaani, mara ndoo zinapigwa mateke mara vijiko vinadondoka ..hapo wanaendelea tu na mastori yaani..kukawa na kama ukimya fulani mida ile ya adhana ya alfajiri...kwa mbali kiusingizi kikawa kinanirudia sababu ukimya umetamalaki hivii..heee! ghafla naanza sikia ilee Mmhh mmmhhh mhhhh mihemo ya bibie ..baana baana jamaa sijui alikuwa amekamia kumchenjua mfanyakazi mwenzake toka mida hiyo ya adhana ni miungurumo tu na sauti mbalimbali mara za kitanda zikiambatana na paagh paaah paaah ..huku oooh uuuuhhh yeeees ...jamaa anaunguruuma tu oooughhhh asee alichenjua mpaka saa 12 na dakika zake nasikia mwanamke anasemaa basi baaasi bebi imetosha jamaa hazungumzi kuna vitu tu anafanya bibie anahemka oooh yeees raitii zeeea zeeeaa !..nadhani jamaa alipiga show ya lisaa zima na dakika kadhaa... Asubuhi bibie ametoka anatembea upande nywele kama alikutana na combine harvester ikapita vuluuvuluu yaani alimvyomfanya haki ya nani sijui kama yule bibie akiitwa atakataa, mwamba jirani ile asubuhi nikamsalimia saluti mingi mheshimiwa,akajibu kawaida tu kawaida bro . Jamaa alitupigisha chabo ya lazima dadeeki. So mimi naweza amini show isiyopungua lisaa ..though za dakika tano zipo ,kumi etc...wengine huwa tunaenda 30 hadi 45 hapo depending na mazingira na mood .
Ukiona hivyo ujue jamaa ametumia mkongo dust,ila nusu saa ni kawaida zaid ya hapo ujue ametumia mkongo
 
Wakuu wanguuu

Nipo hapa nasogeza muda kidogo na kundi la vikosi(K vant) nipate stim nikale mbususu yangu mdo mdo maana mbunye taam sanaa ukiipatia stim za kiuni kama hizii.

Hivyo nisha tega ndoano yangu hapa kuna ka dem kameshaniaidi hapa katanipa mpaka nichoke mwenyeweeeee.

Huku akibetua tako zake misili ya mbwa alie na Joto huku akinitambiaa leo lazima niite maji Mmaaaa...!!!?

Sasa hapa najiuliza ni tembeee na Mkongo ama kilemba au ni mkaushiee nisiingie kwenye paper na nondo yoyoteee...????.

Ila ntawapa Mrejesho mudaa....!!!!

Sent from my SM-A125F using JamiiForums mobile app
 
Ni huzuni mnooooo inaumiza na kufikirisha sana.mwisho wa siku anamtia mimba,anamfukuza kwake,mtoto wa watoto anaanza Katanga tanga na kichanga tumboni,maisha yanapoteza muelekeo kabisa.mtoto anazaa mtoto na wote wawili wanakuwa watoto wa mitaani

Inajeruhi mno na ndo mana wanalogwaga na kutiwa kiberiti baadhi ya wanaume wanaofikiri kutumia magololi ya kwenye suruali.
Kumbe huu uzi mnaupitia kimya kimya mkikutana na tukio la kuwaumiza ndio mnajitokeza kucomment
 
yule jamaa alikuwa amekaa kaunta anakunywa na yule demu mwingine asa huyu alienda toilet nikakumbana nae huko nikamkandamizia huko huko aisee
Umedai wakati unaondoka alimtuma mhudumu akakuita then akakuomba no zako,ss mdau anauliza ina maana ulimfuata pale counter mkapeana no?
 
Baada ya kuachana na uyo ndo nikadate na lecture sijui unaelewa ndo maana ukifatilia uo Uzi nimesema nataka kutulia kwasababu najiona sijatulia Mara nipo na lecture ambaye ni mume wa mtu uyo ni mwingine ivyo saiz nahitaji mwanaume nitulie,mnakera mnaotag Uzi zilizopita,kwasababu nilikuambia nimekaa mda mrefu bila mpenzi em jichanganye mi binadamu kwani sina hisia,mpenzi ninaemaanisha hapo wa kudumu ya wa kwangu uyo x wa mtu!! Uwe unaelewa
Usijali,naamini hili tangazo lako hapa watakuja pm
 
Back
Top Bottom