Story Ya Ovyo
 
Hujui ulisemalo. Unajua dini yangu? Ya Sr yananihusu nini? Madhara ya mtindio wa ubongo!

Bazazi!
 
uzi huu haukufai mkuu....nenda jukwaa la Siasa!

Nimekuwa hapa toka hujaja ku-comment mzee,

Wengi tumewaambia wajirekebishe na wakafanya hivyo,

Wewe ni Ndebile kwetu ndebile ni mtoto ambaye alizaliwa kabla ya wakati,

Yaani wewe mkuu ulizaliwa kabla hujatimiza miezi tisa,

Pole sana nahisi tatizo ndo lilipo anzia

Am out na huu mjadala wako

Naondoka nitarudi kusoma comments
 

Majina ya watoto wa mbagala hayo, Oti,Oto,hop
 
Asante jimmy Gongo 😂 😂
 
Hatimaye nimefanikiwa kula tena tunda kimasikhara

Wanangu Juzi kuna dem alikuwa anaenda sehem kwahyo akashuka sehem niliyopo ili siku ya pili aendelee na safar kwakuwa waliingia usiku na mimi nilitangulia kuingia hivyo nikampokea na kumpekeka Lodge kufika Lodge nikamwambia si tuchukue chumba kimoja kuokoa gharama akasema hapana hatuwez lala chumba kimoja bas nikafika Lodge nikaomba funguo kwa muhudum nikampaleka chumba chang akaniukiza mm nalala hyo lodge pia nikasema ndio akasema poa, baada ya mda nikamwambia m natoka akasema poa yeye analala nikamwmabia utanifungulia akasema hapana nikamwambia hicho n chumba changu akasema bas nimchukulie chake nikaenda kwa muhudum nikauliza chumba akasema kimebakia cha 60 nikamrudia akaguna kuwa bei kubwa ....nikasepa nikarud mida ya saa nne mtoto kalala na khanga....kilichoendelea nadhan mnajua
 
Wacha ni m ni wape hii

Walikuja watoto wa field mzigoni

Kama mnavyojua watu wa vibes lazima wawe wacheke na kila mtu,

Mmmoja huyo sio mkali wala nini wa kawaida tu akawa anaongeza mazoea na ukaribu,

Sasa siku moja natoka mzigo na wao wakawa wanatoka nikamkuta kituoni kajitenga na wenzake

Nikamwambia twende ukanitembele akasita kimtindo halafu akaingia laini,

Basi nikaenda nae

Ile tunaingia ndani tu nikamshiaka kiuno akagoma goma kimtindo nika-insist akalegea

Nilimpelekea moto yule mtu sijawahi kufanya hivyo
 
Uzi huu umepitishwa kuwania 5 Bora ya "Kula Tunda Kimasihara" umenyoosha mkuu, kubutua kitu special kwny mazngira special na kigori special!!! ILA ULIPATA FAVOR TU COZ MTOTO ALIKUZIMIA MWENYEW otherwise leo usingesema hayo hapa [emoji16] big up Sana mkuu[emoji109]
 
Yani bado na weweseka mpka leo yani jana mpka nikatafuta danga maana nyege zilipanda sana yan scol one day we will meet again
 
Jana nimekula wife ya mtu kimasihara walahi.. nilikuwa na kajimvua halafu tumekutana nikamuelekeza kwenye Baraza ya guest house tujikinge mvua... Nikaanza kulililia tunda walahi nimelia Hadi tukajikuta tumechukua chumba na kupeana majotrooo!
Siku ukijikuta unavunjiwa yai huku kamera zinafanya kazi yake usije pata wazo la kuji RIP maana bado mchango wako katika jamii unahitajika
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…