Kuna hii PISI moja nilikutana nayo Bar nikajua "ipo location" (mafundi wamenielewa)
basi nikaiomba namba ikazingua simu imezima na haijakariri kidume ikabidi niiandikie namba yangu and it was my first day kuwepo kwa ule mkoa nilienda kikazi,.....,.
demu nilimwelewa cuz"fuso ilikuwa imefunikwa lakini mzigo unaonekana"



Basi bhana mimi nilipiga bia zangu nikarudi hotelini nilipofikia, asubui demu akanitafuta kama masiara nikaforce anitembelee hotelini badae kakubali but she didn't show up ilipofika jioni nikamtext mbona 'ulinidanganya" and her response was like "sorry I think you mistook mimi sijiuzi" nikamjibu tu mamaa Mimi sijasema unauza na ndiyo maana sijauliza dau lako
Hapo akawa mpole ila kanipa conditions atakuja kwa muda wake so nisimsumbue

Na kweli ilipofika jioni akanipigia bado upo hapo?I said yes akaja room tukapiga story za hapa na pale though hakutaka kuongelea maisha yake binafsi in the mid of story nikajikuta napitisha mkono mgongoni kwake mara nashika vidole vyake bila resistance yoyote amekaa kimya tu
Nikaendelea kuchezea vidole na shingo



Baadae nikahamia kwenye miguu na mapaja kidogo nikasikia vaa mpira



Nilipiga show moja ya adabu maana nilikua nimepaka vya kuteleza tayari
Baada ya demu kusepa in the next two days hatukuongea kanitext"fanya hatujawai kuonana na tusitafutane'
Nikajibu'poa"