You Judgemental idiot

Kwanini unaita watu wazinzi na waasherati
Tatizo langu mimi na wewe ndo lipo hapo and hujajiuliza kila unapo post kila mtu anakukosoa wewe
Ng'ombe kumpeleka mtoni ni wajibu wako ila kunywa maji ni hiyari yake mwenyewe
Tusiitane wazinzi na waasherati and on top of that tusiharibiane Siku

Cheers
 
Ni mwishoni MWA mwaka Jana siku ya jumapili nikiwa natokea Moro kuja Dom,. Kawaida kuna washkaji tunakuwaga tunakutana jioni Kwa ajili ya kubadilishana mawazo. Nikawapigia simu kujua location waliyopo, wakanijuza, nikasogea. Nikawakuta wako na warembo wawili wakila bia. Kati ya Wale walembo wawili mmoja alikuwa WA mshikaji so alikuja na mwenzie. Tukaliendeleza Kula bia mpaka mida ya SAA nne usiku mwamba akasepa na demu wake, akatuacha na Yule demu mwingine na mshikaji tunaendeleza Kula bia. Sijui kama mshikaji alikuwa kamtongoza demu mwingine ama VP. Ila wakati jamaa anaondoka na demu wake nikamwambia kama VP anisubiri anisogeze mitaa ya home akasema huyo shemeji yangu (Yule demu) atakupeleka home maana ana gari. Baada ya muda muda mshikaji mwingine akasepa akaniacha na demu. Tukaendelea kupiga bia mpaka SAA sita kasoro. Nikamwambia nipeleke home nitalipa mafuta, akakubali. Tumeingia maskani akaishia nje nikamwambia ingia ghetto upaone next time utakuja, akasema hawezi ingia strange person. Nikamwambia basi sawa nikazama ghetto nikafikia kitandani nikazuga nimelala yeye yupo nje. Akakaa baadae akagonga mlango kuulizia ahadi ya kumpa pesa ya mafuta. Nikamwambia ingia basi ndani uchukue, akaingia akasimama pembeni mlangoni. Nikanyenyuka nikaenda kwenye akiba nikachomoa kiasi cha pesa. Kabla ya kumpa nikamcheki mdada WA watu black beauty kainamia ukuta, nikamshika mkono, ghafla kichwa cha chini kikapigwa short. Nikaanza kubembeleza gemu akawa hataki, nikaomba mate akazuga kugoma. Nikapeleka mkono kwenye ziwa kuliminya nikaona ukelele, nikaendelea kupapasa mpaka kwenye eneo la hazina, miguno ikaongezeka. Nikaona hapa tayari nikarusha kitandani, shusha suruari la mrembo, chezea kitumbua, mtoto kalegea. Nikaanza kuperuzi kila Kona. Aise mrembo kumbe bia zilikuwa zimeshuka chini, ilipigwa mechi hapo. Baadae ndiyo kushtuka SAA Saba akakurupuka kuwahi watoto, nikamwambia tujuzane hata majina basi maana tulikuwa hata majina hatujuani. Mpaka Leo ni mshikaji wangu maana ni mke WA mtu dah.
 
Kama hutaki kuitwa mzinzi na muasherati basi acha "uzinzi" na "uashetati" period.

If you choose to be an adulterer and a fornicator you'll be called as such.
 
Reactions: Cyb
Wewe Mchungaji huna msimamo. Wewe ni vuguvugu katika ulimwengu wa roho. Kuwa vuguvugu ni chukizo kwa Mungu.

Soma Ufu 3:15-16

Nayajua matendo yako, ya kuwa hu baridi wala hu moto; ingekuwa heri kama ungekuwa baridi au moto. Basi, kwa sababu una uvuguvugu, wala hu baridi wala moto, nitakutapika utoke katika kinywa changu.

Haiwezekani kila wakati unahubir baada ya kusoma essays, wakati mwingine unatabasamu kimoyo moyo as well as kudindisha kabisa.

Huwezi kupinga ulevi ukiwa umeweka chupa ya bia mdomoni.
 
Kwahiyo ulikula kimasihara hapa?
 
Unachoongea na kuelewa sema huna hekima katika kufikisha ujumbe wako kwa mataifa,tafuta hekima ili tuweze kukusikiliza najua una kitu cha kuturudisha kwa mungu ila huna roho mtakatifu ndio maana neno halipokelewi vizuri hivyo sio mshawishi mzuri

Pili acha kuufutilia huu uzi kwa kuwa na wewe ni walewale tu wazinzi na waesherati

Sent from my MI PLAY using JamiiForums mobile app
 
Mwacheni huyu jamaa msimjibu maana analeta sifa muulize huo mtaa anaokaa amewashawishi wangapi kuokoka na je mitaa hiyo kuna bar ngapi na amehubiria walevi wangapi kuokoa

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…