Dark mode
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 732
- 859
Da mkuu hii umeandika kwa huzuni sana sana kwa niaba ya mabaharia wengine wote waiongozwa na intergrity na carlos tunakupa pole.sema kuna mahala ua tunaingia kwa kutaka kupita lakini unakutana na kilicho bora.KAKA TAFADHALI NAOMBA USINIPIGIE SIMU.
Niliamka asubuhi na mapema nikajiandaa kwenda kwenye kibarua changu ambacho kimsingi ni hands to mouth tu. Lakini nitafanyaje! HKL imeniacha na Visasili na Vigano tu, imeshindwa kuniongoza vyema kuufikia uchumi wa kuweka akiba.
Baada ya kumaliza kujiandaa, nilianza mwendo wa kuelekea kituo cha daladala ili nipate kujisogeza kibaruani. Na hapo ndipo nilipo muona binti mrefu, umbo wastani mwenye rangi nyeupe akielekea ninako elekea. Kwa namna alivyokuwa ameniacha ilikuwa ni