Leroy Tiyane
JF-Expert Member
- May 22, 2021
- 280
- 386
IGWEEEEEEENgoja na mimi nishare visa vyangu vya kula tunda kimasihara ila mabaharia mtatoa marks maana inaweza isiwe masihara kumbe kawaida 2,mwaka flan hivi nimeingia zangu SAUT Mwanza niliapa kutokutongoza mwanachuo kwani kuna bro alinitahadharisha sana kuhusu hao viumbe wanavyomaliza maboom ya masela so nikasema wasinichezee mie nitatafuta wananzengo 2 ,bc bhn nimekaa miezi 5 bila kufanya mapenzi mie kazi yangu ni asubh zoezi jioni nikipata muda naenda zangu kucheza mpira,maisha yakawa hivyo so Kuna siku naend zangu kununua mboga mchicha karib na hostel yetu nakuta bustanini Kuna kaka na dada wanashughulika kucheki mtoto anafaa kwa matumizi nikaanza ucheshi pale jamani dada unaitwa nani?naitwa Anita nikakumbuka wimbo wa matonya na jide nikapiga mistari miwili mi tatu mtoto akaanza kunisifia oooo unajua kuimba nikamwambia hapa nina harak ningekuimbia sana ila waweza kuja kunitembelea siku yoyote dirisha lilie chumba namba flani mtoto anacheka 2,ile najiandaa kwanda kwenda zoezi nakuta mlango unagonga kufungua ni yule mtoto ananiambia nimekuja uniimbie nikasema isiwe kesi nikarudia song lile anafurahi balaa kilichofuata baada ya hapo ilibidi zoezi lifanyikie kitandani shoo ya kibabe kwl kwl kutoa hasira za kukaa miezi yot bila kufanya mapenzi nilimalizia kwake mtoto wa kihaya alikuwa mtamu ila sema ana pigo za demu wa gwajima,bc akawa demu wangu kuanzia happy ule ukame ukawa haupo Tena nikawa najilia taratibu muda wowote nikitaka,nilikuwa napiga shooo za mwendo Kasi kumbe anaenda kuwasimilia rafiki zake kwamba amekutana n mwanaume wa kwle so Kuna mda akija kulala gheto ananipa niongee na hao rafiki kumbe nao wanataka wampindue mwenzao,baada miezi kukaa na yule manzi ulitokea mtafarukunflani hiv nikaamu nipige chini niendelee na maisha yangu so alilia sana akawaomba rafiki zake wamuombee msamaha rafiki zake wakaona hii ni fursa nao kuliwa. kisa kinaendelea
Sent using Jamii Forums mobile app