Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Wanawake wa kiAsia wana maumbile ya siri madogo pengine ni kwa ajili ya kuendana na wanaume wao...

Sasa sijui hii imekaaje kwa wanawake kama hao wa Ghana, DRC na Afrika kwa ujumla!!!
Duniani,
Wanawake wa kiAsia ndio wanaongoza kwa kuwavutia wanaume wengi Duniani.

Ilo la maumbile madogo sana ya UKENI inawezekana likawa sababu,
Waliowai kudate nao inabidi waje watupe sababu nini kinawavutia
images-124.jpg
 
Hizo tafiti upande wa tanzania haziko sawa, mbona hawajaja kupima ub00 wangu?

Hiyo sensa irudiwe, irudiwe!
Tafiti imechukua uwiano wa walio wengi.

Hata Congo,
vibamia wa inchi 3 wapo wengi sana tu
(hasa hasa wale wanaume mapimbi)

Ila hivyo vibamia vya inch 3 wanasitiriwa zaid na Wanaume wengi wa nchi 11

Ukitafuta wastani: inch 3+ inchi 11= inch 14.

Ukigawa kwa 2 unapata wastani wa inch 7 kwa kila mwanaume wa congo.

WAKISEMA,
MAPIMBI WOTE CONGO WAONDOLEWE, usishangae wastani ukisoma 10inch plus
 
....Kwa hiyo Duniani hakuna Taifa lenye wastani wa Inchi 8 ???
Wapo baadhi ya watu wana zaidi ya inch 8,

Ila linapokuja suala la idadi ya wanaume, wanaume wenye maumbile madogo ni wengi zaidi ya wenye makubwa.

hivyo unapotafutwa wastani,
wenye kubwa wanamezwa zaidi na wenye ndogo.

Wanaume wenye inch 8+ hawazidi 5% tu ya wanaume wote duniani.

Check hii takwimu duniani
2021-06-05-09-41-13.jpg
 
Tambua kuwa,huko kwenye wenye uume mkubwa hata wanawake nao wana maumbile makubwa yaani vina virefu,na kwa wale wenye maumbile madogo na wanawake zao pia wana vina vifupi,hakuna kiumbe alieumbwa kwa kukosea ili amtaabishe mwenzake.....
 
Tambua kuwa,huko kwenye wenye uume mkubwa hata wanawake nao wana maumbile makubwa yaani vina virefu,na kwa wale wenye maumbile madogo na wanawake zao pia wana vina vifupi,hakuna kiumbe alieumbwa kwa kusoea ili amtaabishe mwenzake.....
Kiasi flan Nakubaliana na wewe,
images-8.jpg
 
Back
Top Bottom