Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hii ndio kimasikhara yenyewe!

Hapa ninapoishi kulikuwa na nafasi ya chumba kimoja cha kupanga, jana usiku nilisikia kwamba kuna mtu atahamia ameshalipia kodi na kila kitu, mpangaji huyo mpya amehamia usiku hata sikupata muda wa kumuona

Leo nimeamka alfajiri kama ilivyoada nikawahi kanisani misa, nimetoka mida ya saa nne kufika geto ndio nakutana na huyo mpangaji mpya
Kitu single maza na mtoto wake kama wa miaka minne mitano hivi, Mama amejaa nikamkaribisha na kumuelekeza baadhi ya mambo maana tumekuwa wapangaji wawili sasa
Katika kumuelekeza ndio nikamkaribisha ndani kwangu kimasihara naye akaingia bila pingamizi lolote

Geto lenyewe kitanda ndio sofa, amekaa hapo muda mfupi tu akili ikabadilika kichwa cha chini kikaanza kutoa muongozo, kumwambia sogea karibu mtu naona anasogea
Fasta sana nikamtoa nguo kimasihara na kumyooosha kimoja cha salamu kwanza...baada ya hapo ndio tukaulizana majina na kufamiana kijuujuu tu

Hapa naandika hivi anaosha vyombo na apike msosi wa usiku kimasihara kwelikweli
kfup baharia umepaisha nanga Yan ww ndio umeoa tayar

Sent from my SM-G935F using JamiiForums mobile app
 
Hii ndio kimasikhara yenyewe!

Hapa ninapoishi kulikuwa na nafasi ya chumba kimoja cha kupanga, jana usiku nilisikia kwamba kuna mtu atahamia ameshalipia kodi na kila kitu, mpangaji huyo mpya amehamia usiku hata sikupata muda wa kumuona
Imekula kwako..anza kuandaa matunzo kwa mama na huyo mtoto..otherwise uhame hapo
 
Back
Top Bottom