Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Hao ndio kawaida yao mtu anataka 130k sio mchezo

Dawa yao nikuwatumia kwa mtandao tu

Mm nkishampaga mtu pesa fake 90k nkalibandua weeee ucku kucha na tigo nkamla

Asubhi nkaliamsha nkamuambia mm naondoka likasema poa,nkamuliza ela zako si nimeshakupa likasema ndio,nkafungua mlango nkasepa nkapanda gari huyo moshi kula zangu mbege

Sitakag ujinga mm nkinitajia dau ndefu
EBU NIfundishe jinsi unavyo mshawishi kuifumua tigo
 
Visa vyangu ni episode za kutosha

Episode 1
Kipindi niko chuo,siku tukatoka na wana kuruka kwanja..asa niko zangu kwa dance floor kuna binti ilipita ikawa ina smile huku ananiangalia...Na Ndovu zangu kadhaa kichwani nikamuita naa karespond freshy kabisa..nikamwbia twende tukaongee njee...hakusita,tukatoka tukaenda kwenye ngazi nyuma ya eneo la tukio...hata sikuongea nikamkiss akawakaa akavua mwenyewe..
Nikapiga pump kama kumi kuna boya likaja kuharibu linajifanya linaangalia usalama..Mtoto akavaa chap na kuondoka...Hatukuachiana contacts

Episode 2
Juzi kati tuu hapa niko na mishe zangu nikaingia Bar moja kula...asa kuna manzi mkali sana alikuwa na jamaa wanagonga vyombo..kumuona nikamkonyeza akasmile..nikasema kimoyoni kaisha huyu ila sijui anaishaje...eeeh ile nanyanyuka tuu napanga mashambulizi naona mtoto kajifanya anaelekea toilet...nikamfuata nikamwambia mi nataka niondoke ila niachie namba..akanipatia kweli..as nataka niingie kwa gari,nikampigia nikamwambia sasa mi nataka nikachukue kitu nyumbani mara moja nisindikize..akasema hayaa nakuja ngoja nizuge naongea na simu..kweli akasogea hadi kwenye parking then nikaenda kumla kirahisi..na kumrudisha hadi kiwanja kingine..

Episode 3
Siku nimetoka zangu mishe mishe saa tano usiku nikamuona mdada na handbag yake anaelekea kituoni nikasimamisha gari na kuopt kumpa lift...akakubali,akashukuru akasema alishawahi kukabwa hapo...asa wakati tuko njiani naona ananiangalia kwa umakini sana..nikawaza tuu huyu nitajaribu nione mwisho wake,eeeh tukafika karibu na alipokuwa achukue boda boda..nikapaki asee,kumhug ili nimuage nikasema nimle mate akajaa,naona anashika ukuni mwenyewe anhaa nikamwambia tutafute sehem ambayo ipo quiet tupaki..kweli akakubali,nikapaki sehemu tulivu..tukafanya yetu ila nilipiga gem mbovu kweli..hadi mdada akanichana...sema nikampanga some other times atafurahi..akajilaumu sana akasema yani hapo kawakimbia work mates wenzake walikuwa wanakula bia wote maana wengi wanamtaka halafu anashangaa kanipa kizembe bila kutegemea...

Episode 4
Nimetoka kula zangu bia mitaa karibu na home...nashuka hivii mdogo mdogo nakutana na mdada ana begi kubwa mgongoni mikamuuliza vipi wewe...akaanza kulalamika kuna mtu anamtafuta ila kwa namna palivyoshona si rahisi kumpata pale na simu yake ikakata charge pale pale..nikamwambia twende ukacharge kwangu si mbali sana..akasita sita ila mwishowe akakubali...tukashuka hadi ghetto kufika kweli nikamchomekea kwa charge...nikamla mate akajaa,nikachojoa vingine then ndo akawa ashaliwa kibingwa hivyo....

Episode 5
Kuna binti mmoja hivii kabla ya kuanza kudate nilimla kiutani utani tuu,siku hiyo nilimcheki kimasihara tuu..twenzetu club,tukaingia zetu maisha basement hapo...asa baada ya vinywaji kadhaaa nikaanza kumake out nae hapo hapo kwa dance floor..kisses na romance za kutosha,mi nikamwambia twende nje kidogo...hakuwaza hata...tukaingia kwenye gari...ye mwenyewe kumbe alikuwa tayari hoi...nikamla,ile nimemaliza akaanza kulia kwamba daaah amemsaliti her guy...nikamwambia mbona hukunambia kuwa u have somebody...akasema jamaa yuko kama hayupo...nikamwambia i respect that,ila gimme a chance when u okaay with it...nikawa mchepuko wake...

Episode 6
Siku hiyo nimeenda swimming kuna this girl namfahamu tuu kwa juu juu wa mtaani alikuja ila hakuswim,nilivyomaliza kuswim niikaenda kuchange...nikamwambia mbona leo u look so beautiful and sexy..akawa na shy smile..nikasema muda ndo huu tena..nikamwambia can we please have a moment nje hapo..akakakubali,tukaenda kwenye gari...nikaanza tena kumsifia kwamba u look so cute hadi naona aibu kuongea na wewe..akawa anasmile tuu...nikamsogelea and kissed her and held her tight.nikaona analegea...kilichofuata ni mechi tamu tuu...

Hizini baadhi tuu ya matukio..yako mengi mnoo hadi jamaa zangu wananiambia nagongaga majini asee....Na nikimuangalia tuu mtoto wa kike najua kuwa huyu naenda kumla kama siyo silu hiyo hiyo then in a couple of days or weeks
Gari imekupa sana tagi kwenye uninja wako
 
tulizoeana tu kiaina....akawa cku moja moja anantumia lunch box, anakuja kazin kwangu twastorishaaa hadi nkamzoea Ila sikuwah kumpenda kingono. Siku moja akanambia ukifunga tupitie mahal flani/ bar tupigepige story. Basi nlipofunga nkapitia hapo nkamkuta yupo na rafiki yake. Akaniagizia st. Anne 2 kwa kuwa situmii bia. Tukakaa sana hadi mida mibaya kwa kuwa kwangu mbali nkaona si mbaya nikilala kwake. Ila napanda kitandani ndo mambo yakabadilika ikawa ugomvi anataka kwa lazima. Akanipanua Miguu kwa nguvu nlipoona nazidiwa nguvu ikabidi nijiachie tu amalize. Akalazimisha km vitatu ...tukalala kulipokucha akapiga na morning glory ya nguvu . Nilipata maumivu miguuni na mwilini ctasahau. Yy Alitaka tena na tena nkakataa mazima na kukataa mazoea. Nilipoona amegeuza uadui hadi kunitumia masela nkashtaki. Nikasubiri baada ya muda nikapimA niko salama nikamshukuru Mungu.
Huyo jamaa kayumba. Huenda angekuelewa, ungeweza kukuza hisia juu yake.

Huenda..
 
Mpumbavu pekee ndo atakayekuacha ulale mpaka asubuhi hajaweka,

na shoo kama hizo mimi nazipigaga kama sitaona tena papuchi usikie maumivu au raha utajua wewe
It needs a gentle from a man to date a lady. Otherwise utakula malaya na pros milele amina.
 
Ukisoma huu uzi huko juu kuna wana wamepiga kimasihara na akaoa na kuna dada piah alitoa story yake aliliwa huko Zanzibar na sasa wamefunga ndoa na jamaa aliyemla kimasihara
Mm mke wangu nilipiga kimasiara ila kakolea na sasa hivi tunamtoto mmoja
 
tulizoeana tu kiaina....akawa cku moja moja anantumia lunch box, anakuja kazin kwangu twastorishaaa hadi nkamzoea Ila sikuwah kumpenda kingono. Siku moja akanambia ukifunga tupitie mahal flani/ bar tupigepige story. Basi nlipofunga nkapitia hapo nkamkuta yupo na rafiki yake. Akaniagizia st. Anne 2 kwa kuwa situmii bia. Tukakaa sana hadi mida mibaya kwa kuwa kwangu mbali nkaona si mbaya nikilala kwake. Ila napanda kitandani ndo mambo yakabadilika ikawa ugomvi anataka kwa lazima. Akanipanua Miguu kwa nguvu nlipoona nazidiwa nguvu ikabidi nijiachie tu amalize. Akalazimisha km vitatu ...tukalala kulipokucha akapiga na morning glory ya nguvu . Nilipata maumivu miguuni na mwilini ctasahau. Yy Alitaka tena na tena nkakataa mazima na kukataa mazoea. Nilipoona amegeuza uadui hadi kunitumia masela nkashtaki. Nikasubiri baada ya muda nikapimA niko salama nikamshukuru Mungu.
Mhhhhh!!!

Sent from my ONE A2001 using JamiiForums mobile app
 
Ofcorse nilifeli sana hata kwa Mungu nilitubia mbaya zaidi brother wangu hajawahi kuniamini mpk leo hii. Hichi kitu kinanitesa sana akilini
Na je!
Bro wako waliendelea na huyo demu wake au waliachana?
 
Paah paah km nakupatia picha
Kilio chako kimefika mbele zng na kimepata majibu!
Miaka kadhaa nyuma enzi za ubaharia wa chuo nilishachakata mbunye kisa sauti ya ushuzi, ndio sauti ya ushuzi
Ilikua ijumaa moja tulivu mno na hali ya hewa ya kawingu cha mvua mlume nimeenda zng toilet nakata gogo tartiiib mara naskia choo cha pili tratatataaaah me ni mkimya sn ila chaming pia so nikajikuta nimeropoka pole, pole sn jmn.
Vyoo vimepangana vipo vitatu km mjuavyo nyumba za kupana bas baada ya kutoa pole nikaendelea na yng ila muda kdg nikaskia choo cha pili maji yanamwagwa mwagwa dalili kua aliemo humo keshamaliza yake anachamba msamba, kisha mlango ukasikika unafungwa komeo kwa njee yan keshatoka .
Nami nikamaliza yng nikatoka kufika uwani namkuta bint jiran yng kajifunga khanga moja anatega ndoo mvua ikinyesha apate maji na hua sina mazoea nae sn zaidi ya salamu na tunaheshimiana kwel nikamsalimia dada mambo, akawa anaangalia chini kwa aibu afu akaitikia poa dume wee kumbe mtundu eeh, nikajua yee ndo alikua chooni nilipotoa pole baada ya sauti ya bomu
Nkamwambia wala sio utundu ni kujali tu ndg yng afu hapo hapo nkachomekea ujaumia lkn? Akacheka sn bas nkamwambia itabidi nije nikukague km umeumia nikupe dawa yee anacheka tu haya, nikamwacha nkazama zng room.
Mda c mrefu mvua ikaanza kunyesha naskia hodi mlangoni kwenda ni yule jiran yng eti kaja kuazima cd akatizame mlume kucheki zile hips na chuchu zilivovimba nkajisemea nikimkosa leo ntakua fala ss, wala sikutumia nguvu nyingi tabasam uson afu kiutan utan nkamshika mkono huku namwambia embu njoo ndan bhana nikukague km hujaumia kule choon maana ule mlio c maskhara, bint aibu nyingi uku anaingia ndan kichwan najisemea kaz kwishey!Aisee km hukwepo shetan wako alikwepo baada ya kumkalisha kwa kochi maskhara yakaendelea mlume km utan kumbe nafanya kweli, romance sn, nyonya embe bolibo sana, pima oil sn mtoto katepeta nikaona ngoja nimchekeshe tena bas nikamshikisha kochi akawa kainama me nikawa kwa nyuma napamp uko napekecha chuchu kdg napekecha kicm aluuu mbona utam kunoga.
Binti alikua na hips na tako la kuning'inia afu lain bas ile kupress njee ndan ule mlio wa paah paah unatia mzuka utadhan mashabiki wanakushangilia, nilivyoona wazungu wanakaribia airport nkapiga zile tako za faster paah pah pah afu nkachomoa, bint akajamba mbwrrrhnikamwambia pole pole jmn alicheka sn akasema hakutegemea km me mwehu vile mlume nikaipachika tena nikamalizia kipindi, eebwanaeeh wahuni wote peponi
 
JIONI HII HII

Nimetoka kazini nikapita dukani kwa jamaa yangu,jamaa yangu ana kiduka cha rejareja yaani mazaga mazaga...jirani na duka lake kuna Barber shop..nilivyofika nikaagiza Juice ya Embe nikakaa nje pale dukani kwa jamaa nikawa nakunywa taratibu huko tunapiga story..Mara hamadi bin vuu akatokea jamaa mmoja mfupi na bonge la demu mrefu black beuaty lina shepu balaa siyo mihipsi na yale matako yamerudi kwa nyuma yamebinuka bia inakaa kwa kutulia yaani..wakaelekea Barber ila wakakuta kuna foleni sana so wakakaa nje ya barber kusubiri foleni ipungue...siyo siri yule demu alinivutia sana alivyobinuka na alivyo mrefu napenda sana mademu warefu maana hawana maneno mengi siyo wakorofi halafu kutongoza simple mno...

Basi bana nikawa namchora tu,mara tunagonganisha macho namuangalia sikwepeshi...anaona aibu anainama...mimi namkazia jicho balaa...Sijui aliwaza nini yule demu akaja dukani kwa jamaa akaagiza soda pineapple..jamaa akamwambia hizo zimeisha..hapo hapo nikadakia mpe juisi kama yangu tufananishe au unasemaje dada?akacheka kwa aibu akasema haya nipe hiyo juice kaka yangu kanichagulia...akataka kulipia nikamwambia kwakuwa nimekuchagulia mimi acha tu nitalipia pia..akafurahi akataka kuondoka nikamwambia subiri basi mbona una haraka au unamuogopa jamaa yako?maana watu wafupi wakorofi hahaaa akatabasamu tu na kusema hana shida yule namuweza tu..mara jamaa yake akaingia ndani..nikasimama nikamsogelea demu nikampa iphone yangu aandike namba huku namwambia wewe mtu muhimu sana chukua namba tuchart maana nikisema tuongee sitaki ugomvi na jamaa yako...akaandika faster akaniambia nitext tuchart akaondoka zake...

Mimi:Baby
Yeye: kaa wewe text ya kwanza tu unaniita baby
Mimi:sasa kwanini nizunguke zunguke..its a free world..halafu sitaki ugomvi na jamaa yako nataka tuelewane chap then tukaushe
Yeye:Haya banaa niambie
Mimi: Nimekuelewa nipange basi
Yeye:Kivipi?
Mimi:Unanipa mzigo huo lini?hata niuguse tu nitaridhika
Yeye:acha basi jamani mbona uko direct sana?
Mimi:Unaishi na huyo jamaa?
Yeye:Hapna,naishi kwangu peke yangu
Mimi:Kwani unafanya nini?
Yeye:Nesi na wewe je?
Mimi:Mimi nitakuambia baadaye tukionana
Yeye:Hatuwezu kuonana tena leo
Mimi:Kwanini?nisipokuona utakuwa umeudhulumu sana moyo wangu
Mimi:Sasa chagua moja baadaye nije nikuhug tu au uje wewe kwangu unasemaje?
Yeye:Nitakuambia
Mimi:Sawa,I trust you mtoto mzuri

Jamaa yangu akabaki anamezea mate tu nikamwambia bro its a free world na maisha ndo haya haya tu..

Baada ya kumaliza juice yangu nikaenda zangu nyumbani nikawaza Home theatre yangu nasikiliza slow music na hili baridi la Dar kw sasa ni shida,kila nikisikia text au simu inaita najua nimekula kimasihara leo....Mida ya saa tatu nasikia simu inaita kucheki ndo yeye napokea swali la kwanza unakuja au nije mimi?nikamwambia ladies first njoo wewe aisee...swali la pili unanifuata?nikamwambia panda bodaboda tu hapo jirani unafika chap..

Kufupisha story,
Hapa nipo nishajilia kwa raha zangu....hapa tupo mapumzika baada ya kazi nzito mtoto mtamu balaa yaani nyie nyie hii kitu ni tamu sana..

Hawa binadamu wameumbwa kwaajili yetu tusiwaogope

Nawasilisha
 
Huu uzi mtamu sana.
Nina visa vingi lakini ngoja nianze na hiki.

Ilikuwa tarehe 5/11/2015 siku ambayo mwendazake aliapishwa kuwa namba 1 TZ.

Siku hiyo nilikuwa na safari ya kutoka Mwanza kwenda Dar es Salaam kwa basi. Wakati huo nilikuwa naishi Mwanza. Katika safari hiyo nilipanga nilale Dom kwakuwa kesho yake nilikuwa na jambo langu la kufanya angalau mpaka saa sita mchana litakuwa limekamilika then nipande gari za saa saba mchana za kwenda Dar. Na safari ilikuwa Dar.

Mwanza nilikuwa naishi karibu na stand ya Nyegezi kwahiyo asubuhi niliwahi vizuri sana nikachukua siti yangu. Binafsi napenda siti za katikati na ambayo siyo ya dirishani kwaajili ya usalama zaidi.

Baada ya kukaa kwenye siti yangu huku ya dirishani nikiwa nasubiri nani atakuja kwa mbaali nikaona msichana mrembo sana but wakati huo bado kama dk 30 kuanza safari na baadhi ya siti zipo wazi. Kiukweli alinichanganya sana yule binti akiwa anaangaza macho kutafuta siti yake (sikumbuki namba ya siti ila basi lilikuwa Super Sami). Nikawa nawaza jamani si aje hapa na nikasema asipokuja hapa nitahakikisha angalau nakuwa na mawasiliano yake hata tukifika Singida wakati wa kula. Basi akazidi kosogea mpaka katikati ajabu akaniuliza natafuta siti fulani ambazo zilikuwa chini kidogo karibu na siti la haula kumbe ndio nakaa naye nikasema Shetani unipe nini tena.

Nikamwambia siti ndio hii hapa. Akasema asante na akasema wewe kaka mustarabu ee nikamuuliza kwanini? Akaniambia angekuwa mwingine angakaa dirishani then unakuwa utata kugombania siti. Yaani baada ya kusema mie mustaarabu nikasema huyu ninaye vyovyote itakavyokuwa.

Baada ya hapo nikamwambia karibu huku akili ya kibaharia nawaza huyu itakuwaje na kuanza kupanga kete zangu ili nimpige force king vizuri. Basi baada ya hapo kukawa na kautulivu safari ikaanza. Mrembo kaingia kwenye kachukua earphone na kuanza kuchomeka kwa simu palepale nikamwambia sasa unachukua earphone halafu mie nitapiga story na nani? Akatabasamu kidogo na kuniambia ahaa story tutapiga tu safari bado ndefu. Nikamuuliza unasema safari bado ndefu kwani wajua mie naishia wapi au mie najua unaishia wapi? Akaniuliza kwani wewe unaenda wapi? Nikamjibu naenda Dar but nitalala Dom then kesho ndio niendelee. Akaniuliza kwanini usiende moja kwa moja nikamwambia kesho nina jambo langu muhimu pale so itanibidi nilale. Akasema sawa. Nikamuuliza kwani wewe unaenda Dar akasema hapana mie naishia Singida.
Nikaguna kidogo akaniuliza mbona waguna nikamjibu ulivyokuwa unaniuliza as if unaenda Dar. Akachukua ticket akanionyesha na kweli alikuwa anaishia Singida.

Basi story ziliendelea za hapa na pale mara na kufahamiana zaidi lakini huku nikiwaza yaani hapa ndio namkosa huyu mrembo hivi. Kiukweli nilikata tamaa baada ya kuona ticket nikamwambia ngoja nisinzie kidogo wakati huo hata Misungwi tumepita na yeye akaanza kula music wake kupitia simu yake. Baada ya kusinzia nakuja kushtuka tupo Shinyanga, tumetoka stand usingizi tena mpaka Nzega wakati nazinduka nikakuta naye kasinzia. Basi mie macho yeye anaendelea na usingizi baadae alivyoelemewa zaidi akalala upande wangu na akaniegemea. Sasa pale ndio akaziamsha hisia zangu upya kabisa akili ikiwa imehama kabisa wakati huo kichwa wazi ameanza ujinga wake. Tumetembea hadi Igunga bidada ndio anashtuka wakati huo nimevumilia kinoma ila raha yake hata sikiuona mzigo mara ananiomba samahani usingizi. Nikamwambia usijali hata mie nime enjoy joto lako akatabasamu na pozi lake la usingizi. Palepale nikamwambia kwa jinsi ulivyomrembo na raha uliyonipa natamani mawili, akasema yapi hayo. Nikamwambia either nishukie Singida ni enjoy na wewe au wewe tuende mpaka Dom tukalale then urudi Singida. Akaniambia yaani nyie wanaume ndio mnawazaga tu hayo. Nikasema kimoyomoyo nakomalia hapohapo. Wakati huo tumekaa upande wa dereva so nikamshika mkono wake wa kushoto na wangu wa kulia kwa kukutanisha viganja as if watu wanasalimiana. Hapo siti ya kushoto kwangu kulikuwa na mdingi anaagalia tu.

Nilianza kumtekenya kwenye kiganja chake kwa kidole cha shahada na alivyoanza kulainika akachukua mtandio wake mdogo akafunika viganja vyetu huku nikiendelea kutekenya kiganja. Kiukweli alisisimka sana hadi akawa anashindwa kuongea huku kainama tu kama vile anatafuta usingizi kumbe anakula raha na hakuna aliyekuwa anaelewa ni kinaendelea.

Baada ya hapo nikamuomba kama hatojali (napenda sana kutumia neno 'kama hutojali' maana kwangu mie limekaa kiuungwana sana) tunende mpaka Dom then kesho arudi. Alikataa lakini niliendelea kubembeleza akasema sasa mie hapa nilipo nina mzigo then hapa Singida sikai kwangu nipo kwa dada yangu. Nikamwambia tumia akili yoyote tuone inakuwaje na nikamwambia kwani dada yako anajua kama unakuja akasema ndio.

Wakati huo safari inaendelea na tumekaribia kabisa Singida ikabidi nikomae sana maana nimebakiza muda kidogo huyu manzi ashuke. Tumefika Singida pale kwenye round about ndio ananiambia ngoja niongee na sister akampigia na kumwambia naenda Dom mara moja nitarudi kesho akaunga na kilugha kidogo sikumuelewa but nilimuuliza lugha gani hiyo akasema Kingoni nikashangaa unafanya nini Singida akanijibu maisha tu.

Basi buana tumefika Stand akasema usihofu tunaenda Dom ngoja nikakabidhi mzigo nikamwambia acha mkoba wako hapa akaacha kweli. Kumbe wakati huo anaongea kilugha pia alimuita mtu kuja kuchukua mzigo. Basi aliukabidhi akarudi kwenye basi. Akamuita konda pale akamueleza kwamba naendelea na safari mpaka Dom na akampa 10K kama nauli ya kuongeza (hiyo 10k nilimpa mimi). Basi safari ikaendelea mpaka Dom huku nawaza nitakavyo enjoy mrembo yule.

Tukafika Dom kitu cha kwanza tukachukua lodge, tukapumzika kidogo, nikatoka kwenda kutafuta ndoms, narudi mtoto nae ndio anatoka kuoga aisee... akaniambia kwa jinsi ulivyonivuruga kwenye basi naomba uoge haraka nami nikaingia kuoga basi baada kuoga nilichezea yule mtoto mpaka akamaliza nami nikaipiga machine kama dk 15 waarabu hao. Wakati huo imefika saa 1 kama na nusu hivi usiku. Tukatotoka pale kwenda kupiga msosi Mitaa ya Chef Asili wakati huo palikuwa panaitwa Master Pub. Piga misosi tukarudi. Kufika gemu ikaendelea aisee alikuwa mtamu sana sana tu. Mpaka asubuhi jumla alipigwa goli 4 na ndoms zikabaki mbili maana nilinunua pakti 2.

Asubuhi nikampeleka stand akarudi Singida huku anashukuru sana kwa raha nilizompa. Tuliendelea kuwasiliana baadaye mawasiliano yakapotea mpaka leo. Ila sitamsahau.

Asante kwa aliyeaanzisha uzi huu.
 
Back
Top Bottom