moyafricatz
JF-Expert Member
- Nov 27, 2015
- 2,905
- 4,928
HONGERA SANAJIONI HII HII
Nimetoka kazini nikapita dukani kwa jamaa yangu,jamaa yangu ana kiduka cha rejareja yaani mazaga mazaga...jirani na duka lake kuna Barber shop..nilivyofika nikaagiza Juice ya Embe nikakaa nje pale dukani kwa jamaa nikawa nakunywa taratibu huko tunapiga story..Mara hamadi bin vuu akatokea jamaa mmoja mfupi na bonge la demu mrefu black beuaty lina shepu balaa siyo mihipsi na yale matako yamerudi kwa nyuma yamebinuka bia inakaa kwa kutulia yaani..wakaelekea Barber ila wakakuta kuna foleni sana so wakakaa nje ya barber kusubiri foleni ipungue...siyo siri yule demu alinivutia sana alivyobinuka na alivyo mrefu napenda sana mademu warefu maana hawana maneno mengi siyo wakorofi halafu kutongoza simple mno...
Basi bana nikawa namchora tu,mara tunagonganisha macho namuangalia sikwepeshi...anaona aibu anainama...mimi namkazia jicho balaa...Sijui aliwaza nini yule demu akaja dukani kwa jamaa akaagiza soda pineapple..jamaa akamwambia hizo zimeisha..hapo hapo nikadakia mpe juisi kama yangu tufananishe au unasemaje dada?akacheka kwa aibu akasema haya nipe hiyo juice kaka yangu kanichagulia...akataka kulipia nikamwambia kwakuwa nimekuchagulia mimi acha tu nitalipia pia..akafurahi akataka kuondoka nikamwambia subiri basi mbona una haraka au unamuogopa jamaa yako?maana watu wafupi wakorofi hahaaa akatabasamu tu na kusema hana shida yule namuweza tu..mara jamaa yake akaingia ndani..nikasimama nikamsogelea demu nikampa iphone yangu aandike namba huku namwambia wewe mtu muhimu sana chukua namba tuchart maana nikisema tuongee sitaki ugomvi na jamaa yako...akaandika faster akaniambia nitext tuchart akaondoka zake...
Mimi:Baby
Yeye: kaa wewe text ya kwanza tu unaniita baby
Mimi:sasa kwanini nizunguke zunguke..its a free world..halafu sitaki ugomvi na jamaa yako nataka tuelewane chap then tukaushe
Yeye:Haya banaa niambie
Mimi: Nimekuelewa nipange basi
Yeye:Kivipi?
Mimi:Unanipa mzigo huo lini?hata niuguse tu nitaridhika
Yeye:acha basi jamani mbona uko direct sana?
Mimi:Unaishi na huyo jamaa?
Yeye:Hapna,naishi kwangu peke yangu
Mimi:Kwani unafanya nini?
Yeye:Nesi na wewe je?
Mimi:Mimi nitakuambia baadaye tukionana
Yeye:Hatuwezu kuonana tena leo
Mimi:Kwanini?nisipokuona utakuwa umeudhulumu sana moyo wangu
Mimi:Sasa chagua moja baadaye nije nikuhug tu au uje wewe kwangu unasemaje?
Yeye:Nitakuambia
Mimi:Sawa,I trust you mtoto mzuri
Jamaa yangu akabaki anamezea mate tu nikamwambia bro its a free world na maisha ndo haya haya tu..
Baada ya kumaliza juice yangu nikaenda zangu nyumbani nikawaza Home theatre yangu nasikiliza slow music na hili baridi la Dar kw sasa ni shida,kila nikisikia text au simu inaita najua nimekula kimasihara leo....Mida ya saa tatu nasikia simu inaita kucheki ndo yeye napokea swali la kwanza unakuja au nije mimi?nikamwambia ladies first njoo wewe aisee...swali la pili unanifuata?nikamwambia panda bodaboda tu hapo jirani unafika chap..
Kufupisha story,
Hapa nipo nishajilia kwa raha zangu....hapa tupo mapumzika baada ya kazi nzito mtoto mtamu balaa yaani nyie nyie hii kitu ni tamu sana..
Hawa binadamu wameumbwa kwaajili yetu tusiwaogope
Nawasilisha
HONGERA SANA
HONGERA SANA



