Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

NIMEINGIA LINDI MJINI SASA HIVI. HAKUNA MWENYE CONNECTION HAPA KWA LEO?



Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Daah, nilipoteza simu ngoja nimchek mdau wangu yupo mtwara hauwezi kosa au ukiona kimya, mchek bodaboda mjanja mchane mwambie nataka totozi haukosi hapo kuna waarabu koko wanajificha ila wanalika kama kawa
 
Nimemaliza zangu form 4 mwaka 2010 matokeo yametoka fresh nasubiri kuingia advance, kitaa sifa kibao aisee cz tulikuwa ndo form 4 wa kwanza hizi shule zetu za kata,so muda mwingi nilikuwa nashinda home kulala sana jioni ndo nitatoka kwenda uwanjani kucheza mpira siku zinaenda
Kuna jilani yetu alikuwa amesafiri kuna mdogo wake alimwambia aje kukaa pale ili awe mlinzi wa ile nyumba,huyu dogo kipindi hicho alikuwa form 3 shule niliyomaliza mie ila hatukuwa na urafiki wowote wala kulikuwa hatuna stori nae wala nn cz shuleni nilikuwa naonekana mtu flani busy sana na mambo yangu hata alivyoamia kitaa nilikuwa ni salamu 2 kila mtu na zake
Chumba changu kilikuwa upande wa njiani so naweza kukaa chumbani kwangu nikifunua pazia naona kila mtu anayepita,na kioo cha dirishani kwangu watu wengi walikuwa wanapenda kujiangalizia,so mie utakuta nipo ndani nawachora 2 wanavyojiangalia,
Kuna Siku nimekaa ndani nakuta kale kasichana kamekuja pale dirishani kanajitengeneza nywele,,nikaamka nikaenda,kalishtuka balaa,mie nikaanza kukaongelesha pale"aisee naona unajiweka vizuri wakubwa waende wakafaidi",jibu lake sasa "sio wakubwa 2 hata ww unaweza kufaidi"
Hapo hapo nikauliza ko sahizi unaenda wapi? nikaambiwa narudi home? Uko na nani? Peke yangu, basi nakuja!,pw
Baada ya dakika 10 hv nipo gheto kwa mtoto nafanya yangu,kakawa kapenzi kangu rasmi mpk naenda zangu advance,
Nikaja kukakuta kameolewa na broo wangu wa kitaa aisee na kuna siku nimekutana nako kako saloon kwake napita kakaniita,kanaanza kushika shika ukuni wangu eti kameumic hatr nikakapotezea mpk leo
Wacha weeeh hii masikhara sasa.
 
AMBAVYO NIMEMLA KIMASIHARA MPANGAJI MWENZANGU LEO 13/2/2021


NAANDIKA KISA HIKI NIKIWA NIMEJIFUNIKA PAZIA BADALA YA SHUKA, utaelewa kwanini huko mbele...
Pia mtanisamehe ikiwa kutakuwa na typing errors katika kisa hiki maana huwa sina kawaida ya kupitia nilichokiandika.

Ok tuendelee.

Leo tar 13/2/2021, baada ya Jana Simba kunifurahisha nikaona nijipe likizo ya siku 1 nisiende kazini.

Asubuhi nikaona nifanye usafi, wa kufua nguo na kusafisha geto. Nikanunua sabuni, nikaloweka nguo (nguo Kama zote mixer mashuka). Baada ya kuloweka nguo, nikaona nifanye usafi wa kusafisha geto mixer kudeki.

Baada ya kumaliza kufagia, nikataka nideki ila nikakosa dekio (of course sinaga dekio, nayegemea la wapangaji wenzangu. Nikaamua nianze kufua.

Nimefua Kama dakika 15, wingu zito likatanda. Baadae kidogo bog la mvua Hili hapa. Nikaahirisha kufua nikazama geto kulala. Mvua imenyesha Kama saa 1 hivi (SAA 5-6 mchana) ikapunguza.
Nikakaa mlangoni nikaanza kufua. Sasa wakati nafua, mpangaji mmoja (wa kike) akatoka. Baada ya muda kidogo, mama mwenye nyumba nae akatoka na wageni wake akawa anawasindikiza. Nikabaki mwenyewe pale nje, na huyo mpangaji mwenyewe aliekuwa amebaki ndani

Kama dakika 2 mbele akatoka, akaanza kunisemesha

YEYE; P kazi ya kufua ni ngumu mno
MIMI: Yaani noma Sana, kwaiyo unashauri nini?
YEYE: Uoe!
MIMI: Hapo hapana, labda uhamie humu kwangu tuish wote!
YEYE: Akacheka.

Basi akasogea karibu na pale mlangoni nilipokuwa bafulia. Nikaendelea kumtania aje kunitembea kwangu ndani akasema hapana kwa sababu kesho ana safari, halafu anaumwa (period), kumbe muongo! Akasema labda akirudi atakuja ndani mwangu. Nikamwambia Aingie basi japo dakika 1, akasema haoana, Basi tufanye usiku!! (Ameshanasa)


Nikamuuliza Sasa usiku itakuwaje? Akasema nitaenda ndani mwake! Nikatoa pendekezo, au tukuchukue chumba guest? Akauliza tutalala? Nikamwambia tutaenda jioni saa 11 turudi usiku 3/4 akakubali.

Nisiwachoshe msinichoshe..nimefua nimemaliza, nikaanika ila manyunyu Hadi Hadi kesho, imefika SAA 11 nikampanga akasema yupo tayari, nikatangulia akaja.

Nimemtafuna viwili Aiseee!!

Nguo hazijakauka, net haijakauka, mashuka hayajakauka!! Nimejaribu kujifunika khanga niliyopewa na ex naona mbu wananitwanga

Hapa nimevaa jeans, shati, gloves mikononi, soksi minguuni na nimejifunika PAZIA
Duuuuuuh hatareeeeh sana.
 
Tunawaza sana ngono kuliko mambo ya maendeleo

"Hauwezi kulikomboa taifa ikiwa vijana wenye nguvu wanawaza ngono pombe na starehe" akaondoka zake Congo ile Zaire ya zamani
Naona umekosea platform mkuu
 
Tunawaza sana ngono kuliko mambo ya maendeleo

"Hauwezi kulikomboa taifa ikiwa vijana wenye nguvu wanawaza ngono pombe na starehe" akaondoka zake Congo ile Zaire ya zamani
zote hizo ni njia za wenzako kujikomboa kiuchumi, unafikiri kila kaajiriwa kama ww, wenzako pombe nda kazi, starehe ndo kazi, ngono ndo kazi
 
Daah, nilipoteza simu ngoja nimchek mdau wangu yupo mtwara hauwezi kosa au ukiona kimya, mchek bodaboda mjanja mchane mwambie nataka totozi haukosi hapo kuna waarabu koko wanajificha ila wanalika kama kawa

Mkuu ukipata namba nipasie na mimi mkuu hao warabu koko ndo rangi safii
 
Back
Top Bottom