Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ndo hvo mkuu.....na mpaka kesho bado nakula...huyo demu alikuja olewa akazaa mtoto mmoja ila wakaachana na mumewe...hata sijui sababu maana kila nikimuuliza anassemaga yeye hana tatizo bali mumewe...ila demu ni kifaa aisee sijui huyo jamaa anakwama wapi tu...


ebu cheki huo mkia mkuu wangu
View attachment 1513364

yaani ni seven yrs now tuko pomoja....kimsingi tulishashindwa kuachana maana kuna vitu vingi sana anavipenda kwangu na mimi ninachompendea sana nikikutana naye mwili wake wote huwa ananikabidhi niufanye chochote nitakacho...(huwa ananiambiaga...daddy huu mwili ni wako..ufanye utakacho..mkuu acha kabisa) tulishasema tutaachana siku mmoja wetu akifa....hahahaaaaaaaaaa
Katoe mahali..
 
Hii itakuwa ni ya mwisho kuandika hapa:-

Miaka fulani huko nyuma wakati uchumi wangu wa kuungaunga nilipanga mitaa fulani wilaya ya Temeke.
Hapo mtaani kulikuwa na duka la mama wa makamo mnene kiasi, tako lipo, sura nayo si haba na anajitunza sana na ucheshi wa kiwango cha SGR.
Hili ndio duka nilikuwa nikipata mahitaji yangu ya vyakula ninapokuwa nyumbani na huduma za MPesa na Tigopesa.
Kuna Jumamosi moja nikaenda hapo dukani mchana kwa lengo la kununua mayai ili nikafanye mboga kwa ajili ya ugali.
Bahati mbaya mayai yakawa yameisha. Huyu mama akaniuliza mayai mchana huo ni kwa ajili ya nini, kinyonge nikamjibu kuwa ilikuwa mboga kwa ajili ya ugali ambao tayari nimeshasonga.
Mama akitabasamu kisha akasema vijana mnaoishi bila wake mnapata tabu sana. Sikuwa na neno zaidi.
Mama akaniambia kama unahitaji mboga, subiri nikuletee. Mama aliingia ndani na kutoka na bakuli la udongo, kisha akaliweka kwenye mfuko wa Rambo (miaka hiyo rambo ilikuwa huru kutumika).
Nikakabidhiwa nami nikashukuru na kuondoka. Mama alikuwa amepika samaki mkavu, Mixer bamia na nyanya chungu, mboga ilikuwa
Imepikwa vyema sana.
Jioni nikarudisha bakuli lake likiwa kwenye mfuko. Nilipofika akaniambia, ningetuma mtoto kuja kufuata hilo bakuli. (huyu mama alikuwa na mabinti kadhaa hapo kwake.) nikahisi labda mama anataka kunipa binti yake mmoja.
Usiku nikiwa nimejilaza nikitafakari maisha sms ikaingia.
"mayai yamekuja" huyu mama huwa namuachia namba kwa ajili ya miamala ya pesa, hivyo alikuwa namba yangu.
Nikamjibu "nitanunua kesho, leo nimeshiba"
Nikaona nimsifie kidogo " mama mboga ilikuwa tamu sana". Jibu la mama sasa " vipo vitu vitamu zaidi ya hivyo" nami nikajitoa ufahamu, "natamani kuonja na hivyo pia"
Asubuhi yake siku ya Jumapili, familia ilipoenda kanisani nikapewa mwaliko rasmi, nikaenda kula tunda.
Asikwambie mtu kuna wamama watu watu wazima lakini mashine bado zipo vizuri kabisa.
Namshukuru huyu mama alinirahishia maisha sana.
Lile penzi lilikuwa tamu sana mpaka mama alipohama hapa mjini.
 
Hiki kisa hakiingii akilini mkuu,kitendo Cha yeye kukaa beach mpaka usiku alafu eti aogope kugonga mlango,alafu aende kulala na jamaa hv hapo kitu gani ni risk Zaid? Kwenda kulala kwa jamaa ili kesho aulizwe ulilala wapi? Au aogonge mlango afungulowe aseme alikua bichi?
Ukijifanya kufikiria sana, sometimes unaonekana kichaa. Siyo kumeandikwa Home of great thinker, ndiyo ujioneshe unajua kutumia sana akili. Mengine yanawaziwa kawaida tu, ukizidisha akili na sababu za kukariri, watu wanakuona chenga
 
Huko miaka ya nyuma, nikiwa mfanyakazi katika ofisi fulani barabara ya Ali Hassan Mwinyi . Kuna dada mmoja alikuwa akinipa lift maana yeye alikuwa anakaa mbele kidogo na ninapoishi. Alikuwa mchangamfu sana yule dada wa Kipare maana ilikuwa ni stori na kucheka tu kwenye ile gari yake.
Ijumaa moja jioni tukiwa tunatoka akaniambia kuwa anatakiwa kupita hospitali hivyo akaniuliza kama tunaweza kwenda wote kisha turudi nyumbani. Nikafikiria adha ya usafiri na shati yangu nyeupe nikamwambia sawa twende tu huko hospitali pamoja.
Kweli tulifika hospitali fulani , yeye akaenda kuonana na daktari na mimi nikabaki mapokezi.
Baada ya muda akawa ametoka na wakati huu alionekana mwenye furaha usoni. Safari ya kurudi ikaanza, ikabidi niulize sababu ya ile furaha baada ya kutoka chumba cha daktari.
Binti akajibu, '' nina furaha sana, nina mimba'' huku akicheka. Nikampa hongera zake huku nikimtania kuwa kwa kuwa mimba bado changa inabidi walau niongeze masikio. Binti wa kipare alicheka sana huku akiniambia kuwa sihitaji mwanangu awe na masikio kama yako labda hapo kwako achukue ucheshi tu.
Nikamjibu sawa acha nimuongezee mtoto mtarajiwa huu ucheshi ili awe anakufurahisha mama yake. Nilifika nilipokuwa naishi na yeye akaendelea na safari.
Jumamosi asubuhi napokea meseji ''vipi leo una ratiba gani?'', nikamjibu ''nipo tu, labda kufua nguo baadaye'' binti wa kipare akajibu kuwa '' utafua siku nyingine, njoo unitembelee''
Nilishawahi kufika kwa huyu binti mara kadhaa, hivyo nikajiandaa na kwenda kwa dada wa kipare.
Nilifika na baada ta stori kadhaa nikaona binti anakumbushia juu ya suala la mimba yake, huku akiniuliza sijui nitazaa mtoto wa namna gani? Nikamwambia atakuwa mtoto mzuri ila kama ukitaka awe mcheshi inabidi nimwongezee ucheshi. Binti akacheka kisha akaniambia , upo siriasi?

Nilimkariba na kuanza kupapasa tumbo, alikuwa ananiangalia kwa mshangao huku akitoa mkono wangu.
Wakati nikapeleka mkono mgongoni, binti akasema kwa upole, this is not RIGHT, Nikamjibu I know.....
Nikamgeuza shingo mtoto hakubisha, tukaanza kula mate......
Mwisho nikamla.......
Mpare alikuwa mtamu yule.
Baadaye ndio nikagundua kuwa jamaa aliyempa mimba alikuwa pasua kichwa sana, so binti alikuwa anahitaji faraja tu.
Madem wa kipare wanapenda Sana mgegedo mkuu.. Sijui Wana nini na io kitu
 
Ukijifanya kufikiria sana, sometimes unaonekana kichaa. Siyo kumeandikwa Home of great thinker, ndiyo ujioneshe unajua kutumia sana akili. Mengine yanawaziwa kawaida tu, ukizidisha akili na sababu za kukariri, watu wanakuona chenga
uwezo wako wa kufikiri ni mdogo Sana ndo Mana unatoa mapovu
 
Hii itakuwa ni ya mwisho kuandika hapa:-

Miaka fulani huko nyuma wakati uchumi wangu wa kuungaunga nilipanga mitaa fulani wilaya ya Temeke.
Hapo mtaani kulikuwa na duka la mama wa makamo mnene kiasi, tako lipo, sura nayo si haba na anajitunza sana na ucheshi wa kiwango cha SGR.
Hili ndio duka nilikuwa nikipata mahitaji yangu ya vyakula ninapokuwa nyumbani na huduma za MPesa na Tigopesa.
Kuna Jumamosi moja nikaenda hapo dukani mchana kwa lengo la kununua mayai ili nikafanye mboga kwa ajili ya ugali.
Bahati mbaya mayai yakawa yameisha. Huyu mama akaniuliza mayai mchana huo ni kwa ajili ya nini, kinyonge nikamjibu kuwa ilikuwa mboga kwa ajili ya ugali ambao tayari nimeshasonga.
Mama akitabasamu kisha akasema vijana mnaoishi bila wake mnapata tabu sana. Sikuwa na neno zaidi.
Mama akaniambia kama unahitaji mboga, subiri nikuletee. Mama aliingia ndani na kutoka na bakuli la udongo, kisha akaliweka kwenye mfuko wa Rambo (miaka hiyo rambo ilikuwa huru kutumika).
Nikakabidhiwa nami nikashukuru na kuondoka. Mama alikuwa amepika samaki mkavu, Mixer bamia na nyanya chungu, mboga ilikuwa
Imepikwa vyema sana.
Jioni nikarudisha bakuli lake likiwa kwenye mfuko. Nilipofika akaniambia, ningetuma mtoto kuja kufuata hilo bakuli. (huyu mama alikuwa na mabinti kadhaa hapo kwake.) nikahisi labda mama anataka kunipa binti yake mmoja.
Usiku nikiwa nimejilaza nikitafakari maisha sms ikaingia.
"mayai yamekuja" huyu mama huwa namuachia namba kwa ajili ya miamala ya pesa, hivyo alikuwa namba yangu.
Nikamjibu "nitanunua kesho, leo nimeshiba"
Nikaona nimsifie kidogo " mama mboga ilikuwa tamu sana". Jibu la mama sasa " vipo vitu vitamu zaidi ya hivyo" nami nikajitoa ufahamu, "natamani kuonja na hivyo pia"
Asubuhi yake siku ya Jumapili, familia ilipoenda kanisani nikapewa mwaliko rasmi, nikaenda kula tunda.
Asikwambie mtu kuna wamama watu watu wazima lakini mashine bado zipo vizuri kabisa.
Namshukuru huyu mama alinirahishia maisha sana.
Lile penzi lilikuwa tamu sana mpaka mama alipohama hapa mjini.
"Asikwambie mtu kuna wamama watu watu wazima lakini mashine bado zipo vizuri". MKUU samahan unasema uyo mama alikuw na mashine na ilikuw vizur.sihaelewa apo
 
Hii itakuwa ni ya mwisho kuandika hapa:-

Miaka fulani huko nyuma wakati uchumi wangu wa kuungaunga nilipanga mitaa fulani wilaya ya Temeke.
Hapo mtaani kulikuwa na duka la mama wa makamo mnene kiasi, tako lipo, sura nayo si haba na anajitunza sana na ucheshi wa kiwango cha SGR.
Hili ndio duka nilikuwa nikipata mahitaji yangu ya vyakula ninapokuwa nyumbani na huduma za MPesa na Tigopesa.
Kuna Jumamosi moja nikaenda hapo dukani mchana kwa lengo la kununua mayai ili nikafanye mboga kwa ajili ya ugali.
Bahati mbaya mayai yakawa yameisha. Huyu mama akaniuliza mayai mchana huo ni kwa ajili ya nini, kinyonge nikamjibu kuwa ilikuwa mboga kwa ajili ya ugali ambao tayari nimeshasonga.
Mama akitabasamu kisha akasema vijana mnaoishi bila wake mnapata tabu sana. Sikuwa na neno zaidi.
Mama akaniambia kama unahitaji mboga, subiri nikuletee. Mama aliingia ndani na kutoka na bakuli la udongo, kisha akaliweka kwenye mfuko wa Rambo (miaka hiyo rambo ilikuwa huru kutumika).
Nikakabidhiwa nami nikashukuru na kuondoka. Mama alikuwa amepika samaki mkavu, Mixer bamia na nyanya chungu, mboga ilikuwa
Imepikwa vyema sana.
Jioni nikarudisha bakuli lake likiwa kwenye mfuko. Nilipofika akaniambia, ningetuma mtoto kuja kufuata hilo bakuli. (huyu mama alikuwa na mabinti kadhaa hapo kwake.) nikahisi labda mama anataka kunipa binti yake mmoja.
Usiku nikiwa nimejilaza nikitafakari maisha sms ikaingia.
"mayai yamekuja" huyu mama huwa namuachia namba kwa ajili ya miamala ya pesa, hivyo alikuwa namba yangu.
Nikamjibu "nitanunua kesho, leo nimeshiba"
Nikaona nimsifie kidogo " mama mboga ilikuwa tamu sana". Jibu la mama sasa " vipo vitu vitamu zaidi ya hivyo" nami nikajitoa ufahamu, "natamani kuonja na hivyo pia"
Asubuhi yake siku ya Jumapili, familia ilipoenda kanisani nikapewa mwaliko rasmi, nikaenda kula tunda.
Asikwambie mtu kuna wamama watu watu wazima lakini mashine bado zipo vizuri kabisa.
Namshukuru huyu mama alinirahishia maisha sana.
Lile penzi lilikuwa tamu sana mpaka mama alipohama hapa mjini.
Hakuna Mama Boya Kiasi iki😏😏😏 Story Unaisoma tu Unajua hii Chai Mbichi Kabisa
#TOKOMEZA CHAI# Kwenye uzi wetu
 
1978 Nilikuwa kijana barobaro shababi sina hata mawazo ya kuoa.

---
Chini nilivaa 'safari boot', na soksi nzuri za dukani, suruali ilikuwa ya matirio ya mpirampira (crimpring) rangi light blue, mkanda mweuzi wa ngozi wenye 'backle' kubwa, juu nilivaa fulana nyeupe yenye mistari (ngazingazi) ya bluu.

Nilikuwa nadhifu kulingana na umuhimu wa safari yenyewe...

Nilikuwa nina ahadi ya kupata 'lift' ya gari ya Serikali Idara ya maji, namba ya usajili ST XXXX, landrover 109 Station wagon iliyokuwa inaenda Masasi...

Mpango ilikuwa atufikishe mji fulani (sikumbuki jina) ili tena nipate lift ya gari za Jeshi kwenda Nachingwea.

Enzi hizo magari ya Serikali kama yalikuwa na nafasi yalikuwa yanasaidia kama utaisimamisha kuomba lifti, bure.

Nikiwa duka la ushirika, barabara kuu ya kuelekea Kilwa, Lindi hapo jirani na Wapiwapi, gari tarajiwa ilifika na nikawa mtu wa mwisho kujaza nafasi ya abiria. Nilikuta abiria wanne tayari ndani ya gari, nami nikawa wa tano siti ya nyuma pamoja abiria wenzangu niliowakuta.

Nyuma kabisa kulikuwa na vifaa vya ujenzi kuhusiana na mambo ya maji.

Ndani ya gari wote tulikuwa wanaume, tukiongozwa na dereva makini na muongeaji sana.

Tuliacha lami maridadi ya wakati huo Lindi na kuanza barabara ya vumbi. Eee ni vumbi kwelikweli, tena huko mbele likabadirika rangi na kuwa jekundu.

Gari ilikuwa mpya hivyo hatukuli 'koga' vumbi.

"Ingekuwa ile 108, mbona leo tungefika tukiwa kama vinyago!..."
Alisikika dereva.

Baada ya muda mchache tukafika mji ambao nilitakiwa nishuke ili niende kambi ya jeshi iliyopo jirani kujuwa kama gari za kwenda Nachingwea mjini zimeshaondoka ama la.

Getini pale nilimkuta Afande Polisi Jeshi wa zamu akiwa amesimama imara akinisubiri maana nilikuwa namuelekea yeye.

Baada ya salamu na kujitambulisha na madhumuni yangu ya kufika pale, alinikaribisha na kuniambia niungane na wenzangu walioketi chini ya muembe, kumbe na wale walikuwa wanasubiria usafiri huohuo.

Usafiri wa mabasi ulikuwepo lakini kutokana na changamoto ya barabara mabasi yalikuwa ya kusubiri sana.

Niliwasalimia wale niliowakuta chini ya muembe na waliitikia. Hakika watu wa maeneo ya ukanda huo wanapenda sana kuongea na kubishana sana, maana nilikuta wakibishana ambapo salamu yangu ndiyo ilikatisha mazungumzo yao.

Kusini ya huko wakati huo hakukuwa salama sana kutokana na hali ya vita iliyokuwa ikiendelea Msumbiji, maana ndege vita zao wakati mwingine zilikuwa zinavuka hadi nchini kwetu...

Bahati nzuri Wanavijiji walikuwa wameshaelekezwa cha kufanya mara wasikiapo king'ora cha jeshi.

Eee kwa vijana wa sasa, king'ora ninachozungumzia hapo siyo cha gari kama haya mnayoyajuwa, ni kama vile ving'ora vinavyosikika maeneo ya bandarini (sijui siku hizi bado vinapigwa!?). Anyway, king'ora siyo mada kuu.

Naona msomaji bado unatafuta 'kula tunda kimasihara' ilianzia wapi.

Wale abiria wenzangu niliowakuta pale muembeni walikuwa jinsia tofauti, wanaume walikuwa wawili tu na wengine sita walikuwa wanawake.

Kila mmoja alikuwa na vurushi lake la mzigo, wamama walikuwa wamefunga kaniki wengine vitenge kama kibebea mzigo wake, na wanaume walikuwa na vikapu maridadi na mie nilikuwa na sanduku dogo chapa 'smata" yenye picha licha za eropleni kwa ndani.

Tuliendelea kupigwa na vumbi pale hadi mida ya saa nane na robo hivi tukasikia kitu kama tarumbeta hivi ikipigwa. (Bigula)

Kumbe muda wa kupata chakula cha mchana uliwadia. Sisi hatukuwa na shea yetu hivyo tuliendelea 'kula stori' za hapa na pale.

Baada ya kama dakika thelathini hivi tukaona karandinga limekuja hadi jirani na geti la kutokea kambini. Sikumbuki hata jina la gari lenyewe lakini lilikuwa na difu kwenye ekseli zote tatu na tairi zilikuwa kubwa moja moja kila habu jumla zilikuwa tairi sita.

Tukaelekezwa tupande kwenye gari hilo, akina mama walipewa kipaumbele kisha tukafuatia sisi wanaume watatu na mie nilionekana kijana kuliko wenzangu nilikwea wa mwisho ingawaje baadaye kidogo ndio walikuja wanajeshi wakiwa wamevalia kombati na kujaza gari yote.

Safari ikaanza, njia ilikuwa mbaya, vumbi ndio tuliligoka haswa, Hatukukwama sehemu bali mwendo kasi ndio ulipungua kiasi cha kufanya kufika Nachingwea usiku.

Sisi raia tulishushwa stendi kisha gari likatokomea tusispojua na wale wanajeshi.

Usiku, giza, hakuna simu, hakukuwa na wa kunipokea, hakuna umeme bali sehemu chache sana tena ikifika mida fulani huzimwa!

Nikapata Mzalendo Mtanzania, Mmakonde mwema akaniambia...

"...Mwanangu, usiku huu usihangaike kutafuta pa kulala, karibu nyumbani sikai mbali na hapa..."

Ni mama mtu mzima, mwenye nguvu zake na alikuwa na mwenzake safari moja, wote watu wazima walionizidi umri wangu mara mbili hivi.

Dakika kumi ni nyingi, tukafika nyumbani kwa "mama".

Nikapokelewa sanduku langu na kupelekwa banda la uani ambapo kuna vyumba vimejegwa kuzunguka nyumba kuu kwa nyuma.

Nyumba ilikuwa ya kienyeji iliyoezekwa kwa makuti (majani ya miti ya minazi), sakafu ni ya udongo na nguzo kuu za nyumba ni miti iliyofungwa vyema na kamba kama za katani na kukandikwa kwa udongo mwekundu.

Hali ya hewa ilikuwa murua ndani, ka ubaridi fulani hivi ukilinganisha na nje.

Yule mama mwingine akaja kunielekeza chumba changu na maliwato ilipo.

Baada ya kuoga, kwa msaada wa mwanga wa koroboi, nilikaribishwa uani (yaani baina ya nyumba kubwa na mabanda ya uani) ambapo palitandikwa jamvi na paliandaliwa chakula. Nilikuwa nina njaa kwelikweli tangia chai ya mkandaa asubuhi.

Ugali wa muhogo, mbaazi na kipande cha ng'onda (wa nguru / king fish) ilifanya nione siku yangu inaisha vizuri nisijuwe kuwa baadaye itaisha vizuri zaidi...

Hapo sina hili wala lile katika ishu ya tunda, nilikuwa nawaza tu jinsi ya kuupishisha usiku huo hadi asubuhi niendelee na harakati zangu za kutafuta riziki.

Kwenye maakuli sikuwa peke yangu, bali wamama wale wawili, bibi mmoja, mzee mmoja , vijana wa kiume chini ya miaka 16 wawili, na mmoja wa kike hini ya miaka 10 na wadada wawili juu ya miaka 25.

Lakini pia kulipelekwa chakula chumba fulani jirani na chumba nilichooneshwa kuwa nitalala hapo, ila sikujuwa nani yupo humo ndani.

Wakati narudi kulala nilisika kama sauti za watu zaidi ya mmoja wakiongea (wote wakike)

Usiku, (siyo usiku sana) baada ya kutoka kujisaidia haja ndogo, si nikakosea mlango!

Ugeni 'buana', haikuwa makusudi, na giza lile palikuwa panafanana sana...

Kurupu! Nikasukuma mlango wa bati na kuingia ndani, hee! si nikapigwa na butwaa kukuta mabinti warembo wawili wamelala kwenye vitanda viwili tofauti.

Vitanda vya chaga za kamba (teremka tukaze), mwanga hafifu wa koroboi ndio ulifanya niwaone wale warembo. Walikuwa wamejifunga khanga tu wamejilaza lakini wakainua shingo zao nilipousukuma mlango . Sifa zote wanazo za kumfanya rijali asisimkwe.

Si nikasukuma mlango kuufunga nikiwa niko ndani na wale mabinti wakiwa kimya lakini wakiangaliana na kuniangalia kwa mshangao.

".. wewe huruhusiwi kuingia humu, sisi ni wari..." Alisikika mmoja akisema kwa kunong'ona

"...Nimeshaingia sasa na mie leo ni mgeni wenu..." Nami nikajibu kwa kunong'ona kama hivyo.

Wakaangaliana na kila mmoja akawa anajiweka (kujihifadhi) vizuri ili kusitiri maungo yake.

Nikawaambia nimekosea chumba, nafikiri cha kwangu kinachofuata...

Nikaanza kuwaelezea safari yetu na wale wamama hadi sababu ya kufikia hapo, yani wakawa interested kweli kusikiliza simulizi ya safari na habari za mjini Lindi.

Mazungumzo yoye niliyafanya kwa kunong'ona, nikiwa nafanya kama kuwatania kwa jinsi wanavyonong'ona wao wakiongea, nisijuwe kumbe ni utaratibu wao kwa wana wari kuongea kwa sauti ya chini hadi atakapo 'toka' (kumaliza siku zake za kuwa mwari wa ndani) na kufuzu mafunzo ya unyago.

Msalani nilikuwa nimeenda nikiwa nimevaa fulana ya ndani na bukta, vuta taswira ya bukta za wachezaji wa mpira wa miaka hiyo

Tulinogewa na stori, kumbe na wao (nilijuwa baadaye) hawajapata kukaa na wanaume wasio maharimu wao (yaani wanaume wanaoweza kuwaoa) kwa zaidi ya wiki 6 hivi, hivyo uwepo wangu mle chumbani ulikuwa ni mtihani kwetu sote.

"Nasikia uchovu na usingizi, lakini mie sitoki tena humu hadi alfajiri, nitandikieni kilago nilale hapo chini, maana vitanda vyenu viduchu hatutoshi, tungelala wote watatu mie katikati na nyie huku na huku..." Niliwatania (haya sasa ndiyo masihara, yaani utani)

Kwa utani tena, mmoja akajibu, njoo ulale hapa patatutosha!

Si nikaenda kweli!
Kilichofuata sasa!

Da!

Nilikula matunda mawili hadi usiku wa manane zamu kwa zamu ndio nikarudi chumbani kwangu.

-+++-

Asikudanganye mtu, mabinti wa kusini ni watamu na wanayaweza kweli kweli. Kumbe wale walikuwa ni mabinti pacha wa mdogo wa mwenye nyumba ambaye mke wake ni Mzaramo, Wazazi wa pacha hao hawaishi mbali kutoka hapo. Waletwa nyumba hiyo kwa shughuli hiyo ya unyago. (Kuwekwa ndani)

Wari wale chuchu saa sita, msambwanda wa wastani lakini hodari sana wa kuzungusha kiuno, wote wawili yani kama walikuwa wanashindana vile.

"..We kaka mtamu.." walisikika wakisema wakati wa harakati.

Walikuwa wana utunda kiunoni, hawakuwa bikira lakini hawajatumika sana, yani ile kama ni bikra tu.

Bahati nzuri nami nilikuwa niko vizuri na ukizingatia siku kadhaa sikuwa nimepata, basi wote niliwaridhisha kisawasawa.

Wote walianza kwa kuikalia, akifika anamuachia mwenzake naye aoneshe 'maringo' yake 'bingiribingiri mpaka chini'

Mie sikutumia nguvu nyingi, bali wao ndio walitumia ujuzi wao 'kujikuna' hadi walipopiga mishindo miwili kila mmoja nami wakati wa pili anamalizia mshindo nikawafungulia mabeberu wakaja.

Ikawa zamu yangu sasa kuwasugua, kwa staili pendwa ya kikatoliki, safari hii nikamalizia kwa mwingine alipokuwa naye amefika 'mawenzi'

Baada ya hapo tulipoanza dakika za nyongeza, ilikuwa mtindo wa 'kuvuna karanga', kila mmoja alishika mfumbati wa kitanda chake, niliwasuuza sana, huku kisha huku kwa wakati huo huo, yani kama fujo hivi, kwa kuwa nilijuwa safari hii vyungu vitachelewa sana kukolea...

Kulwa alipokolea nilimkazania hadi magoti yakamlegea na kulalia kitanda, nikachomoa na kuhamia kwa doto na kuanza kuchochea moto ili naye alegee magoti...

Doto alikuwa balaa! Si 'machejo' hayo alionifanyia! Mie wakati huo tayari nilikuwa nataka afike ili nami niruhusu mabeberu nikapumzike lakini wapi! Doto yumo tu, Nikajisemea usinitanie wewe, nikawa nampelekea moto huku namsugua kinanihii, kwani ilichukuwa dakika nyingi! Si nikasikia 'nakojowa bwan wew! nakojoa bwan wew! (in Konde ancient)

Baada ya kumaliza, wakanifuta vizuri kwa khanga zao laini, wakanifuta pia kwapani na usoni kwa khanga tepetepe, wakaniambia haya pole kwa safari, kapumzike sasa na karibu Nachingwea.
**************

Note:-

1. Nimejitahidi sana isiwe nyegeshi (erotic) ili kuleta ladha tofauti na kuonesha dhana nzima ya neno 'kimasihara'

2. Muendelezo upo, lakini haukuwa kimasihara, labda niandike kwenye uzi mwingine.

Kulwa na Doto ahsanteni sana, kama mpo humu endeleni kujifukiza na kuchukuwa tahadhari zote muhimu dhidi ya Covid / Ukovi.

"Wamakonde wanawake mpo júu, popote mlipo bana msuli wa 'kuvunja yai' kimya kimya kisha agiza kinywaji upendacho, tukionana nitalipa"

JB59
Mzee umepata ruhsa ya bi mkubwa bi Hamida lakini?
 
TAREHE 8/1/2021 IJUMAA

Wiki Moja Baada Ya Mwaka Mpya Ilikuwa Majira Ya Saa Tano Asubuhi Kuelekea Saa 6 iv. Kikawaida Mi Si Mtu Wakutembea Tembea Sana Kama Nikiwa Sina Ishu Mahalumu

Huwa ni mtu wa kushinda Ndani tu Nakuchek Movie,Ila cku iyo Nikasema Wacha Nikatembee tembee Hasa Maeneo ya Stend Angalau Nicheki cheki Magari Yanavyoingia na Kutoka.Basi Mdogo Mdogo Mpka Stend Kuu Ya Mabasi,Baada Yakufka pale Nikakaa Kwenye Mabench ya Abiria ya Basi Moja Maharufu Nchin Uku nikiendelea Kushangaa Kilichonileta

Pembeni yangu Alikuwa kuna Dada Mmoja iv Mwenye Umri Wa Kuanzia Miaka 23-26 iv Sikuwa Na Story Nae Yule Dada Zaid ya Salamu Pale Nilipofika.Nilikaa Muda Kidogo Kama Dakika 15 au 20 iv Dakika Zote Izo Yule Dada Alikuwa Anajifyonza Fyonza Sana,Mwanzoni Nilipuuzia Ila Kadri Muda Ulivyokwenda Nikaona Anajidisha Ile hali So Nikaona Nimuulize Vipi Mwenzangu Kulikoni Mbna Unajifyonza Sana Kuna Mtu Kakuudhi au Kuna tatizo Gani!?
Yule Dada Akanijibu "Nimekuja Kukata Tiketi Natakiwa Kesho Niende Iringa Lakin Wameniambia Nauli Haitoshi Na Sina Hela Nyingne yakuongezea Na Sijui Nitaitoa Wap Nimejarbu kuwaomba wanisaidie Wamekataa"! Daah Nikamuuliza tena Vipi Umeenda Kujarbu Labda Kwenda Kwenye Oficn za Mabasi Mengne Labda Kuwaomba Wakusaidie Pengne,,,

Akanijibu tena " Nimejarbu Kama Sehemu Mbili na hii ya 3 pote Imeshndkana" Basi Nikamwambia Aina haja Ya Kusikitika ivyo Pia nikamuuliza Katokea Sehem gan Hapa Akanitajia Sehemu moja Iv Mbali kidogo Na Mji Nauli kama 3000 iv Na akaniambia Anakaa na Dada yake. Ikabidi nimuulize Tena Yeye Anawaza nn Hapo Akaninibu Itabidi Arudi tu Kwa Akamwambie Dada Ila Ataakirudi ajui kama Iyo hela ya Kuongezea itapatikana,!
Nikamwambia Basi Dada ucjal Naomba Nikusaidie Kama Hutojal Ili Uondokane Na Usumbufu huo wote.....

Ebana Wadau yule Dada Alionesha Mshtuko na Kama Kutokusikia Ile Kauli Mpka ikanibidi Nirudie Tena,Yule Dada alinishukuru Mpka Kupelekea Watu Waliokuwa Karbu yetu Kumshangaa Hahaha
Muda Wote Naongea Nae ila ukweli Yule Mtoto Alitokea Kunivutia Sana Wazee C mchezo Maana Anailo Zigo uko nyuma Alikuwa Kakaa Kwenye Bench Lakn Unaona Kabsa Tako halijaenea Yan Bench ni Dogo ,Mapaja Manene Na Mdomo Mmoja Wa Denda Daah
Basi Pale Ikanibidi Nimwambie Inabidi Twende Napoishi Kwnza Ili nikachukue Kadi Ya Bank Nikakutolee Icho Kiasi Kilichopelea nikamuuliza Ni Shingap Akanijibu ni 15,000
NIkainuka pale Tukaanza Kuongoza Safar ya Getto Njian ni Shukran tu Kama zote Mi hata Simzingatii Nawaza Tapigaje hii PISI mbna ipo kiutamu iv Tako linacheza Kinoma Daah Asee Nipo njian nilidindxha Sio Poa MPKA Ikanibidi Niwe naingza Mkono Mfukoni Niizuie zuie Hahaha

Mdogo Mdogo Mpka Getto Kufka Nikamkaribisha Nikamtania kidogo Nyumba yangu Aijaingiliwa na Mgeni Wa Jinsia Kama Yako Muda Mrefu Sana, Nikamwambia Mgeni Wa Mwisho Mwanamke Alikuwa ni Mama Yng na Nimiaka Miwili imepita Ivyo Nitafurahi Tukikaa kaa Kidogo Angalau Ukanipikia Maana Nishachoka Kwenda Migahawani Afu Tuimaliza Twenzetu Maana Tiketi Haina haraka Sana Hata Ucku Unakata tu

Akachekacheka Pale Then Akaniambia "Aina Shida Bro ila Naomba Nikajimwangie Maji Tumetembea Nahc joto Sana" nikamwambia Ucjal nikatoka Nikamuonesha Bafu Na ndoo ya Kuogea then Nikabak njee Ili Avue Nguo,,,Muda Wote Nawaza Nitamuanzaje Uyu!! Maana Kama Kudindixha nishandindixha Mpka Misuli Inauma Daah!
Basi Bana Mtoto Kumbe Alibeba Kanga Kwenye Mkoba Wake Ile Kutoka Njee Na Kanga Moja Na Lile Tako Mamamama Asee Lile Tako sijawah Kuona lilizidi Kunesa Nesa Afu Linaonekana nilaini Kinoma Yan Daaah!!!
Asee Uzalendo Ulinishinda ikabidibi Nimkodolee Macho Laivu Laivu Pind Aliponigeuzia Mgongo,Nilidindisha Raundi Hii Sio Poa Mpka Boxer Ilitaka Kutoboka Wazee Kama Nae Alijua Alivyokaribia Kufka Bafuni c Akageuka Bana Tukagongana Macho Hahahaha Ikabidi Nizuge Narekebisha Pazia Mlangoni

ITAENDELEA.....
Mmmh mchaichai

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
"Asikwambie mtu kuna wamama watu watu wazima lakini mashine bado zipo vizuri". MKUU samahan unasema uyo mama alikuw na mashine na ilikuw vizur.sihaelewa apo
Wewe mtu akiandika mashine unahisi nini?
Muwe mnadadisi kabla ya kuuliza, huko Temeke maana ya mashine ni K......

Ukisikia binti ana mashine mbovu.... Jua "k" hiyo

Sent from my Infinix X650 using JamiiForums mobile app
 
Huku si pakukaa maana pamejaa ufuska tu ngoja niondoke kimyakimya, shida atakuja baharia flani kusimulia alivyomkula dem wang kimasiara dah.
Tushamla demu wako kimasihara we nenda tu tushamalizana na wewe
 
Nimemaliza zangu form 4 mwaka 2010 matokeo yametoka fresh nasubiri kuingia advance, kitaa sifa kibao aisee cz tulikuwa ndo form 4 wa kwanza hizi shule zetu za kata,so muda mwingi nilikuwa nashinda home kulala sana jioni ndo nitatoka kwenda uwanjani kucheza mpira siku zinaenda
Kuna jilani yetu alikuwa amesafiri kuna mdogo wake alimwambia aje kukaa pale ili awe mlinzi wa ile nyumba,huyu dogo kipindi hicho alikuwa form 3 shule niliyomaliza mie ila hatukuwa na urafiki wowote wala kulikuwa hatuna stori nae wala nn cz shuleni nilikuwa naonekana mtu flani busy sana na mambo yangu hata alivyoamia kitaa nilikuwa ni salamu 2 kila mtu na zake
Chumba changu kilikuwa upande wa njiani so naweza kukaa chumbani kwangu nikifunua pazia naona kila mtu anayepita,na kioo cha dirishani kwangu watu wengi walikuwa wanapenda kujiangalizia,so mie utakuta nipo ndani nawachora 2 wanavyojiangalia,
Kuna Siku nimekaa ndani nakuta kale kasichana kamekuja pale dirishani kanajitengeneza nywele,,nikaamka nikaenda,kalishtuka balaa,mie nikaanza kukaongelesha pale"aisee naona unajiweka vizuri wakubwa waende wakafaidi",jibu lake sasa "sio wakubwa 2 hata ww unaweza kufaidi"
Hapo hapo nikauliza ko sahizi unaenda wapi? nikaambiwa narudi home? Uko na nani? Peke yangu, basi nakuja!,pw
Baada ya dakika 10 hv nipo gheto kwa mtoto nafanya yangu,kakawa kapenzi kangu rasmi mpk naenda zangu advance,
Nikaja kukakuta kameolewa na broo wangu wa kitaa aisee na kuna siku nimekutana nako kako saloon kwake napita kakaniita,kanaanza kushika shika ukuni wangu eti kameumic hatr nikakapotezea mpk leo
 
Hakuna Mama Boya Kiasi iki Story Unaisoma tu Unajua hii Chai Mbichi Kabisa
#TOKOMEZA CHAI# Kwenye uzi wetu
inaonekana hujajua kimasihara zikoje..ni ganda la ndizi tu...take easy and enjoy...usicomplicate mkuu...uko deep sana...
 
Back
Top Bottom