Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Ulishawahi kula tunda kimasihara?

Najiuliza hizi story ziko biased sana.
Kwani upande wa pili wao huwa Hawali tunda?
Mbona Eva alianza kula eye halafu Adam akala baadaye?
Kuna mmoja pale juu alisema akitulia, ataleta uzi namna alivyoliwa kimasihara.
 
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
 
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
Aisee, mbona sisi hatukuwahi kupata hizi golden chances! Kweli sura nzito tuna tabu sana...from nowhere utamu unaliwa yani.
 
Oa huyo usichelewe
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
 
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
Vipi kodi unalipa lakini!? Usije ukafanya mama wa watu ashindwe kupeleka watoto wake shule
 
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
Natamani nipate mjeda Nile kwa kweli. Polisi nisha wala sana

Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
 
karibia watu wote wameamia uku ....hongereni mods wote kwa kurudisha uzi najua mli mic sana kula tunda na nyiee...
Angalia @moderators wasikupige ban kwa kuwahusisha na ulaji wa tunda kimasihara.

Wao wanakula wa njia ya conduction 😂😂🏃🏻
 
TAREHE 8/1/2021 IJUMAA

Wiki Moja Baada Ya Mwaka Mpya Ilikuwa Majira Ya Saa Tano Asubuhi Kuelekea Saa 6 iv. Kikawaida Mi Si Mtu Wakutembea Tembea Sana Kama Nikiwa Sina Ishu Mahalumu

Huwa ni mtu wa kushinda Ndani tu Nakuchek Movie,Ila cku iyo Nikasema Wacha Nikatembee tembee Hasa Maeneo ya Stend Angalau Nicheki cheki Magari Yanavyoingia na Kutoka.Basi Mdogo Mdogo Mpka Stend Kuu Ya Mabasi,Baada Yakufka pale Nikakaa Kwenye Mabench ya Abiria ya Basi Moja Maharufu Nchin Uku nikiendelea Kushangaa Kilichonileta

Pembeni yangu Alikuwa kuna Dada Mmoja iv Mwenye Umri Wa Kuanzia Miaka 23-26 iv Sikuwa Na Story Nae Yule Dada Zaid ya Salamu Pale Nilipofika.Nilikaa Muda Kidogo Kama Dakika 15 au 20 iv Dakika Zote Izo Yule Dada Alikuwa Anajifyonza Fyonza Sana,Mwanzoni Nilipuuzia Ila Kadri Muda Ulivyokwenda Nikaona Anajidisha Ile hali So Nikaona Nimuulize Vipi Mwenzangu Kulikoni Mbna Unajifyonza Sana Kuna Mtu Kakuudhi au Kuna tatizo Gani!?
Yule Dada Akanijibu "Nimekuja Kukata Tiketi Natakiwa Kesho Niende Iringa Lakin Wameniambia Nauli Haitoshi Na Sina Hela Nyingne yakuongezea Na Sijui Nitaitoa Wap Nimejarbu kuwaomba wanisaidie Wamekataa"! Daah Nikamuuliza tena Vipi Umeenda Kujarbu Labda Kwenda Kwenye Oficn za Mabasi Mengne Labda Kuwaomba Wakusaidie Pengne,,,

Akanijibu tena " Nimejarbu Kama Sehemu Mbili na hii ya 3 pote Imeshndkana" Basi Nikamwambia Aina haja Ya Kusikitika ivyo Pia nikamuuliza Katokea Sehem gan Hapa Akanitajia Sehemu moja Iv Mbali kidogo Na Mji Nauli kama 3000 iv Na akaniambia Anakaa na Dada yake. Ikabidi nimuulize Tena Yeye Anawaza nn Hapo Akaninibu Itabidi Arudi tu Kwa Akamwambie Dada Ila Ataakirudi ajui kama Iyo hela ya Kuongezea itapatikana,!
Nikamwambia Basi Dada ucjal Naomba Nikusaidie Kama Hutojal Ili Uondokane Na Usumbufu huo wote.....

Ebana Wadau yule Dada Alionesha Mshtuko na Kama Kutokusikia Ile Kauli Mpka ikanibidi Nirudie Tena,Yule Dada alinishukuru Mpka Kupelekea Watu Waliokuwa Karbu yetu Kumshangaa Hahaha
Muda Wote Naongea Nae ila ukweli Yule Mtoto Alitokea Kunivutia Sana Wazee C mchezo Maana Anailo Zigo uko nyuma Alikuwa Kakaa Kwenye Bench Lakn Unaona Kabsa Tako halijaenea Yan Bench ni Dogo ,Mapaja Manene Na Mdomo Mmoja Wa Denda Daah
Basi Pale Ikanibidi Nimwambie Inabidi Twende Napoishi Kwnza Ili nikachukue Kadi Ya Bank Nikakutolee Icho Kiasi Kilichopelea nikamuuliza Ni Shingap Akanijibu ni 15,000
NIkainuka pale Tukaanza Kuongoza Safar ya Getto Njian ni Shukran tu Kama zote Mi hata Simzingatii Nawaza Tapigaje hii PISI mbna ipo kiutamu iv Tako linacheza Kinoma Daah Asee Nipo njian nilidindxha Sio Poa MPKA Ikanibidi Niwe naingza Mkono Mfukoni Niizuie zuie Hahaha

Mdogo Mdogo Mpka Getto Kufka Nikamkaribisha Nikamtania kidogo Nyumba yangu Aijaingiliwa na Mgeni Wa Jinsia Kama Yako Muda Mrefu Sana, Nikamwambia Mgeni Wa Mwisho Mwanamke Alikuwa ni Mama Yng na Nimiaka Miwili imepita Ivyo Nitafurahi Tukikaa kaa Kidogo Angalau Ukanipikia Maana Nishachoka Kwenda Migahawani Afu Tuimaliza Twenzetu Maana Tiketi Haina haraka Sana Hata Ucku Unakata tu

Akachekacheka Pale Then Akaniambia "Aina Shida Bro ila Naomba Nikajimwangie Maji Tumetembea Nahc joto Sana" nikamwambia Ucjal nikatoka Nikamuonesha Bafu Na ndoo ya Kuogea then Nikabak njee Ili Avue Nguo,,,Muda Wote Nawaza Nitamuanzaje Uyu!! Maana Kama Kudindixha nishandindixha Mpka Misuli Inauma Daah!
Basi Bana Mtoto Kumbe Alibeba Kanga Kwenye Mkoba Wake Ile Kutoka Njee Na Kanga Moja Na Lile Tako Mamamama Asee Lile Tako sijawah Kuona lilizidi Kunesa Nesa Afu Linaonekana nilaini Kinoma Yan Daaah!!!
Asee Uzalendo Ulinishinda ikabidibi Nimkodolee Macho Laivu Laivu Pind Aliponigeuzia Mgongo,Nilidindisha Raundi Hii Sio Poa Mpka Boxer Ilitaka Kutoboka Wazee Kama Nae Alijua Alivyokaribia Kufka Bafuni c Akageuka Bana Tukagongana Macho Hahahaha Ikabidi Nizuge Narekebisha Pazia Mlangoni

ITAENDELEA.....
 
TAREHE 8/1/2021 IJUMAA

Wiki Moja Baada Ya Mwaka Mpya Ilikuwa Majira Ya Saa Tano Asubuhi Kuelekea Saa 6 iv. Kikawaida Mi Si Mtu Wakutembea Tembea Sana Kama Nikiwa Sina Ishu Mahalumu

Huwa ni mtu wa kushinda Ndani tu Nakuchek Movie,Ila cku iyo Nikasema Wacha Nikatembee tembee Hasa Maeneo ya Stend Angalau Nicheki cheki Magari Yanavyoingia na Kutoka.Basi Mdogo Mdogo Mpka Stend Kuu Ya Mabasi,Baada Yakufka pale Nikakaa Kwenye Mabench ya Abiria ya Basi Moja Maharufu Nchin Uku nikiendelea Kushangaa Kilichonileta

Pembeni yangu Alikuwa kuna Dada Mmoja iv Mwenye Umri Wa Kuanzia Miaka 23-26 iv Sikuwa Na Story Nae Yule Dada Zaid ya Salamu Pale Nilipofika.Nilikaa Muda Kidogo Kama Dakika 15 au 20 iv Dakika Zote Izo Yule Dada Alikuwa Anajifyonza Fyonza Sana,Mwanzoni Nilipuuzia Ila Kadri Muda Ulivyokwenda Nikaona Anajidisha Ile hali So Nikaona Nimuulize Vipi Mwenzangu Kulikoni Mbna Unajifyonza Sana Kuna Mtu Kakuudhi au Kuna tatizo Gani!?
Yule Dada Akanijibu "Nimekuja Kukata Tiketi Natakiwa Kesho Niende Iringa Lakin Wameniambia Nauli Haitoshi Na Sina Hela Nyingne yakuongezea Na Sijui Nitaitoa Wap Nimejarbu kuwaomba wanisaidie Wamekataa"! Daah Nikamuuliza tena Vipi Umeenda Kujarbu Labda Kwenda Kwenye Oficn za Mabasi Mengne Labda Kuwaomba Wakusaidie Pengne,,,

Akanijibu tena " Nimejarbu Kama Sehemu Mbili na hii ya 3 pote Imeshndkana" Basi Nikamwambia Aina haja Ya Kusikitika ivyo Pia nikamuuliza Katokea Sehem gan Hapa Akanitajia Sehemu moja Iv Mbali kidogo Na Mji Nauli kama 3000 iv Na akaniambia Anakaa na Dada yake. Ikabidi nimuulize Tena Yeye Anawaza nn Hapo Akaninibu Itabidi Arudi tu Kwa Akamwambie Dada Ila Ataakirudi ajui kama Iyo hela ya Kuongezea itapatikana,!
Nikamwambia Basi Dada ucjal Naomba Nikusaidie Kama Hutojal Ili Uondokane Na Usumbufu huo wote.....

Ebana Wadau yule Dada Alionesha Mshtuko na Kama Kutokusikia Ile Kauli Mpka ikanibidi Nirudie Tena,Yule Dada alinishukuru Mpka Kupelekea Watu Waliokuwa Karbu yetu Kumshangaa Hahaha
Muda Wote Naongea Nae ila ukweli Yule Mtoto Alitokea Kunivutia Sana Wazee C mchezo Maana Anailo Zigo uko nyuma Alikuwa Kakaa Kwenye Bench Lakn Unaona Kabsa Tako halijaenea Yan Bench ni Dogo ,Mapaja Manene Na Mdomo Mmoja Wa Denda Daah
Basi Pale Ikanibidi Nimwambie Inabidi Twende Napoishi Kwnza Ili nikachukue Kadi Ya Bank Nikakutolee Icho Kiasi Kilichopelea nikamuuliza Ni Shingap Akanijibu ni 15,000
NIkainuka pale Tukaanza Kuongoza Safar ya Getto Njian ni Shukran tu Kama zote Mi hata Simzingatii Nawaza Tapigaje hii PISI mbna ipo kiutamu iv Tako linacheza Kinoma Daah Asee Nipo njian nilidindxha Sio Poa MPKA Ikanibidi Niwe naingza Mkono Mfukoni Niizuie zuie Hahaha

Mdogo Mdogo Mpka Getto Kufka Nikamkaribisha Nikamtania kidogo Nyumba yangu Aijaingiliwa na Mgeni Wa Jinsia Kama Yako Muda Mrefu Sana, Nikamwambia Mgeni Wa Mwisho Mwanamke Alikuwa ni Mama Yng na Nimiaka Miwili imepita Ivyo Nitafurahi Tukikaa kaa Kidogo Angalau Ukanipikia Maana Nishachoka Kwenda Migahawani Afu Tuimaliza Twenzetu Maana Tiketi Haina haraka Sana Hata Ucku Unakata tu

Akachekacheka Pale Then Akaniambia "Aina Shida Bro ila Naomba Nikajimwangie Maji Tumetembea Nahc joto Sana" nikamwambia Ucjal nikatoka Nikamuonesha Bafu Na ndoo ya Kuogea then Nikabak njee Ili Avue Nguo,,,Muda Wote Nawaza Nitamuanzaje Uyu!! Maana Kama Kudindixha nishandindixha Mpka Misuli Inauma Daah!
Basi Bana Mtoto Kumbe Alibeba Kanga Kwenye Mkoba Wake Ile Kutoka Njee Na Kanga Moja Na Lile Tako Mamamama Asee Lile Tako sijawah Kuona lilizidi Kunesa Nesa Afu Linaonekana nilaini Kinoma Yan Daaah!!!
Asee Uzalendo Ulinishinda ikabidibi Nimkodolee Macho Laivu Laivu Pind Aliponigeuzia Mgongo,Nilidindisha Raundi Hii Sio Poa Mpka Boxer Ilitaka Kutoboka Wazee Kama Nae Alijua Alivyokaribia Kufka Bafuni c Akageuka Bana Tukagongana Macho Hahahaha Ikabidi Nizuge Narekebisha Pazia Mlangoni

ITAENDELEA.....
Kwa uandishi huu bora isiendelee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mwezi wa tatu mwaka 2020 kipindi cha corona nili hama nyumba nikaenda nyumba fulani mitaa ya jiji la dar, nilimkuta mwenye nyumba ni mjeshi hana mume ila ni bonge moja la mdada tukafahamiana pale basi nikawa mpangaji wake, nilimpa kodi kadhaa ingine nikaahidi kumalizia miezi miwili badaye, yaye alikuwa anaishi sehemu nyingine aliko na nyumba yake nyingine.

Mda wa kulipa ulipofika nikamwambia nataka nikutumie hela yako akaniomba niipeleke kwake nisiitume kwenye simu, sikuwahi kufika kwake akanielekeza mpaka nikafika ana watoto wawili wote wako boarding schools. ilikuwa jumapili mchana by saa 6 hivi nilimkuta mama kafunga kitenge tu anapika aisee yule mama kabarikiwa hata uwe mwanaume vipi huluki hakyanani! akanikaribisha sebuleni nikaakaa akaivisha nikala tukapiga story za corona paleee nakumbuka corona ilikuwa hot sana na kulikuwa na msiba wa mama Rwakatale, basi mda ukafika nikaaga kuondoka ilikuwa mida ya saa kumi hivi akaomba nimsubili na yeye anaenda mjini anipe na lift akaoge kwanza, Basi tulikuwa tumekaa kochi moja alikuwa amevaa kitenge kifuani na na chup.. tu aisee sijui nilitoa wapi ujasri nilijikuta namla mate tu pale pale kwenye kochi na akatoa ushirikiano mkubwa nikala tunda pale pale kimasihara badae kazi ikahamia chumbani mpaka asubuhi kabisa...Bado ni mpangaji wake mpaka sasa maisha yanaendelea poa tu. Big up kwako Commander.
Fresh mkuu ila siku ingine usirudie kula kamanda ni kuridhalilisha jeshi la wananchi
 
TAREHE 8/1/2021 IJUMAA

Wiki Moja Baada Ya Mwaka Mpya Ilikuwa Majira Ya Saa Tano Asubuhi Kuelekea Saa 6 iv. Kikawaida Mi Si Mtu Wakutembea Tembea Sana Kama Nikiwa Sina Ishu Mahalumu

Huwa ni mtu wa kushinda Ndani tu Nakuchek Movie,Ila cku iyo Nikasema Wacha Nikatembee tembee Hasa Maeneo ya Stend Angalau Nicheki cheki Magari Yanavyoingia na Kutoka.Basi Mdogo Mdogo Mpka Stend Kuu Ya Mabasi,Baada Yakufka pale Nikakaa Kwenye Mabench ya Abiria ya Basi Moja Maharufu Nchin Uku nikiendelea Kushangaa Kilichonileta

Pembeni yangu Alikuwa kuna Dada Mmoja iv Mwenye Umri Wa Kuanzia Miaka 23-26 iv Sikuwa Na Story Nae Yule Dada Zaid ya Salamu Pale Nilipofika.Nilikaa Muda Kidogo Kama Dakika 15 au 20 iv Dakika Zote Izo Yule Dada Alikuwa Anajifyonza Fyonza Sana,Mwanzoni Nilipuuzia Ila Kadri Muda Ulivyokwenda Nikaona Anajidisha Ile hali So Nikaona Nimuulize Vipi Mwenzangu Kulikoni Mbna Unajifyonza Sana Kuna Mtu Kakuudhi au Kuna tatizo Gani!?
Yule Dada Akanijibu "Nimekuja Kukata Tiketi Natakiwa Kesho Niende Iringa Lakin Wameniambia Nauli Haitoshi Na Sina Hela Nyingne yakuongezea Na Sijui Nitaitoa Wap Nimejarbu kuwaomba wanisaidie Wamekataa"! Daah Nikamuuliza tena Vipi Umeenda Kujarbu Labda Kwenda Kwenye Oficn za Mabasi Mengne Labda Kuwaomba Wakusaidie Pengne,,,

Akanijibu tena " Nimejarbu Kama Sehemu Mbili na hii ya 3 pote Imeshndkana" Basi Nikamwambia Aina haja Ya Kusikitika ivyo Pia nikamuuliza Katokea Sehem gan Hapa Akanitajia Sehemu moja Iv Mbali kidogo Na Mji Nauli kama 3000 iv Na akaniambia Anakaa na Dada yake. Ikabidi nimuulize Tena Yeye Anawaza nn Hapo Akaninibu Itabidi Arudi tu Kwa Akamwambie Dada Ila Ataakirudi ajui kama Iyo hela ya Kuongezea itapatikana,!
Nikamwambia Basi Dada ucjal Naomba Nikusaidie Kama Hutojal Ili Uondokane Na Usumbufu huo wote.....

Ebana Wadau yule Dada Alionesha Mshtuko na Kama Kutokusikia Ile Kauli Mpka ikanibidi Nirudie Tena,Yule Dada alinishukuru Mpka Kupelekea Watu Waliokuwa Karbu yetu Kumshangaa Hahaha
Muda Wote Naongea Nae ila ukweli Yule Mtoto Alitokea Kunivutia Sana Wazee C mchezo Maana Anailo Zigo uko nyuma Alikuwa Kakaa Kwenye Bench Lakn Unaona Kabsa Tako halijaenea Yan Bench ni Dogo ,Mapaja Manene Na Mdomo Mmoja Wa Denda Daah
Basi Pale Ikanibidi Nimwambie Inabidi Twende Napoishi Kwnza Ili nikachukue Kadi Ya Bank Nikakutolee Icho Kiasi Kilichopelea nikamuuliza Ni Shingap Akanijibu ni 15,000
NIkainuka pale Tukaanza Kuongoza Safar ya Getto Njian ni Shukran tu Kama zote Mi hata Simzingatii Nawaza Tapigaje hii PISI mbna ipo kiutamu iv Tako linacheza Kinoma Daah Asee Nipo njian nilidindxha Sio Poa MPKA Ikanibidi Niwe naingza Mkono Mfukoni Niizuie zuie Hahaha

Mdogo Mdogo Mpka Getto Kufka Nikamkaribisha Nikamtania kidogo Nyumba yangu Aijaingiliwa na Mgeni Wa Jinsia Kama Yako Muda Mrefu Sana, Nikamwambia Mgeni Wa Mwisho Mwanamke Alikuwa ni Mama Yng na Nimiaka Miwili imepita Ivyo Nitafurahi Tukikaa kaa Kidogo Angalau Ukanipikia Maana Nishachoka Kwenda Migahawani Afu Tuimaliza Twenzetu Maana Tiketi Haina haraka Sana Hata Ucku Unakata tu

Akachekacheka Pale Then Akaniambia "Aina Shida Bro ila Naomba Nikajimwangie Maji Tumetembea Nahc joto Sana" nikamwambia Ucjal nikatoka Nikamuonesha Bafu Na ndoo ya Kuogea then Nikabak njee Ili Avue Nguo,,,Muda Wote Nawaza Nitamuanzaje Uyu!! Maana Kama Kudindixha nishandindixha Mpka Misuli Inauma Daah!
Basi Bana Mtoto Kumbe Alibeba Kanga Kwenye Mkoba Wake Ile Kutoka Njee Na Kanga Moja Na Lile Tako Mamamama Asee Lile Tako sijawah Kuona lilizidi Kunesa Nesa Afu Linaonekana nilaini Kinoma Yan Daaah!!!
Asee Uzalendo Ulinishinda ikabidibi Nimkodolee Macho Laivu Laivu Pind Aliponigeuzia Mgongo,Nilidindisha Raundi Hii Sio Poa Mpka Boxer Ilitaka Kutoboka Wazee Kama Nae Alijua Alivyokaribia Kufka Bafuni c Akageuka Bana Tukagongana Macho Hahahaha Ikabidi Nizuge Narekebisha Pazia Mlangoni

ITAENDELEA.....
Endelea mkuu
 
TAREHE 8/1/2021 IJUMAA

Wiki Moja Baada Ya Mwaka Mpya Ilikuwa Majira Ya Saa Tano Asubuhi Kuelekea Saa 6 iv. Kikawaida Mi Si Mtu Wakutembea Tembea Sana Kama Nikiwa Sina Ishu Mahalumu

Huwa ni mtu wa kushinda Ndani tu Nakuchek Movie,Ila cku iyo Nikasema Wacha Nikatembee tembee Hasa Maeneo ya Stend Angalau Nicheki cheki Magari Yanavyoingia na Kutoka.Basi Mdogo Mdogo Mpka Stend Kuu Ya Mabasi,Baada Yakufka pale Nikakaa Kwenye Mabench ya Abiria ya Basi Moja Maharufu Nchin Uku nikiendelea Kushangaa Kilichonileta

Pembeni yangu Alikuwa kuna Dada Mmoja iv Mwenye Umri Wa Kuanzia Miaka 23-26 iv Sikuwa Na Story Nae Yule Dada Zaid ya Salamu Pale Nilipofika.Nilikaa Muda Kidogo Kama Dakika 15 au 20 iv Dakika Zote Izo Yule Dada Alikuwa Anajifyonza Fyonza Sana,Mwanzoni Nilipuuzia Ila Kadri Muda Ulivyokwenda Nikaona Anajidisha Ile hali So Nikaona Nimuulize Vipi Mwenzangu Kulikoni Mbna Unajifyonza Sana Kuna Mtu Kakuudhi au Kuna tatizo Gani!?
Yule Dada Akanijibu "Nimekuja Kukata Tiketi Natakiwa Kesho Niende Iringa Lakin Wameniambia Nauli Haitoshi Na Sina Hela Nyingne yakuongezea Na Sijui Nitaitoa Wap Nimejarbu kuwaomba wanisaidie Wamekataa"! Daah Nikamuuliza tena Vipi Umeenda Kujarbu Labda Kwenda Kwenye Oficn za Mabasi Mengne Labda Kuwaomba Wakusaidie Pengne,,,

Akanijibu tena " Nimejarbu Kama Sehemu Mbili na hii ya 3 pote Imeshndkana" Basi Nikamwambia Aina haja Ya Kusikitika ivyo Pia nikamuuliza Katokea Sehem gan Hapa Akanitajia Sehemu moja Iv Mbali kidogo Na Mji Nauli kama 3000 iv Na akaniambia Anakaa na Dada yake. Ikabidi nimuulize Tena Yeye Anawaza nn Hapo Akaninibu Itabidi Arudi tu Kwa Akamwambie Dada Ila Ataakirudi ajui kama Iyo hela ya Kuongezea itapatikana,!
Nikamwambia Basi Dada ucjal Naomba Nikusaidie Kama Hutojal Ili Uondokane Na Usumbufu huo wote.....

Ebana Wadau yule Dada Alionesha Mshtuko na Kama Kutokusikia Ile Kauli Mpka ikanibidi Nirudie Tena,Yule Dada alinishukuru Mpka Kupelekea Watu Waliokuwa Karbu yetu Kumshangaa Hahaha
Muda Wote Naongea Nae ila ukweli Yule Mtoto Alitokea Kunivutia Sana Wazee C mchezo Maana Anailo Zigo uko nyuma Alikuwa Kakaa Kwenye Bench Lakn Unaona Kabsa Tako halijaenea Yan Bench ni Dogo ,Mapaja Manene Na Mdomo Mmoja Wa Denda Daah
Basi Pale Ikanibidi Nimwambie Inabidi Twende Napoishi Kwnza Ili nikachukue Kadi Ya Bank Nikakutolee Icho Kiasi Kilichopelea nikamuuliza Ni Shingap Akanijibu ni 15,000
NIkainuka pale Tukaanza Kuongoza Safar ya Getto Njian ni Shukran tu Kama zote Mi hata Simzingatii Nawaza Tapigaje hii PISI mbna ipo kiutamu iv Tako linacheza Kinoma Daah Asee Nipo njian nilidindxha Sio Poa MPKA Ikanibidi Niwe naingza Mkono Mfukoni Niizuie zuie Hahaha

Mdogo Mdogo Mpka Getto Kufka Nikamkaribisha Nikamtania kidogo Nyumba yangu Aijaingiliwa na Mgeni Wa Jinsia Kama Yako Muda Mrefu Sana, Nikamwambia Mgeni Wa Mwisho Mwanamke Alikuwa ni Mama Yng na Nimiaka Miwili imepita Ivyo Nitafurahi Tukikaa kaa Kidogo Angalau Ukanipikia Maana Nishachoka Kwenda Migahawani Afu Tuimaliza Twenzetu Maana Tiketi Haina haraka Sana Hata Ucku Unakata tu

Akachekacheka Pale Then Akaniambia "Aina Shida Bro ila Naomba Nikajimwangie Maji Tumetembea Nahc joto Sana" nikamwambia Ucjal nikatoka Nikamuonesha Bafu Na ndoo ya Kuogea then Nikabak njee Ili Avue Nguo,,,Muda Wote Nawaza Nitamuanzaje Uyu!! Maana Kama Kudindixha nishandindixha Mpka Misuli Inauma Daah!
Basi Bana Mtoto Kumbe Alibeba Kanga Kwenye Mkoba Wake Ile Kutoka Njee Na Kanga Moja Na Lile Tako Mamamama Asee Lile Tako sijawah Kuona lilizidi Kunesa Nesa Afu Linaonekana nilaini Kinoma Yan Daaah!!!
Asee Uzalendo Ulinishinda ikabidibi Nimkodolee Macho Laivu Laivu Pind Aliponigeuzia Mgongo,Nilidindisha Raundi Hii Sio Poa Mpka Boxer Ilitaka Kutoboka Wazee Kama Nae Alijua Alivyokaribia Kufka Bafuni c Akageuka Bana Tukagongana Macho Hahahaha Ikabidi Nizuge Narekebisha Pazia Mlangoni

ITAENDELEA.....

IMG_4023.jpg
 
Nina kama wiki nne nipo bush kwa shughuli za kilimo. Mwenyeji wangu hapa ni mdogo wangu ambaye ni daktari kwenye hospitali ya Kijiji. Maisha hapa ni mazuri, Kijiji kimechangamka Sana. Nilikuwa nahitaji vibarua wa kunisaidia kazi za shambani ndipo mdogo wangu akanikutanisha na binti mmoja na akaniambia nikihitaji vibarua niongee na huyo huyo binti ana connection zote za hapo kijijini.

Mambo yalienda vizuri, mwanzoni binti aliniletea vibarua kumi Mara ya pili ishirini na kazi ya shamba ilienda vizuri Sana! Taratibu Yule binti akaanza mazoea ya kupenda Sana kuchati na Mimi hasa wakati wa usiku na nikichelewa kujibu au nisipojibu analalamika sana. Kwa kuwa yeye ndio msaada wangu niliamua kutokumkwaza nikaamua kuwa nae tu karibu, sikuona shida katika hilo. Akawa anakuja hata nilipofikia anapiga story na kurudi kwake.

Taratibu story zikaanza kuzagaa kijijini kuwa Mimi natafuna yule binti na mtu wa Kwanza kuniletea hizo habari ni binti mwenyewe. Akasema anakosa raha maana anasemwa Sana na kinachomuuma ni kwamba Jambo lenyewe sio la kweli. Nikamwambia huwezi kuwazuia watu kuongea chochote wanachoona kinafaa, fanya mambo yako kama kusemwa huwezi kumzidi diamond ila umewahi kumuona analalamika?

Basi binti akaelewa maisha yakaendelea. Hazikupita siku tatu kaja gheto usiku na hoja zile zile eti hali imezidi kuwa mbaya anasemwa Sana! Yaani anakosa raha, moyo unamuuma. Nikamuuliza kama utani tu au tufanye kweli ili wafurahi? Binti hakujibu. Nikasema huyu atakuwa anataka mashine huyu, leo simuachi!

Mzee nikamsogelea karibu mithili ya Mithuni Chakaroboti, nikamtazama usoni kwa macho ya matamanio, nikamshika paja! Nikakohoa kikohozi kisichosikika, muda huo binti anahema juu juu kama kinda la ndege. Muda huo najiona kama Akshey Kumar kwenye kuchi kuchi hotahe, nipo serious kichiz na Jambo langu. Hatimaye binti akanipokea, akazungusha mikono yake shingoni kwangu huku anatazama chini kwa aibu, mambo mseto!!

Sinaga busara kabisa kunako sita kwa sita, nikamfungua kanga aliyokuwa amevaa, nikakutana na sketi, nikaifungua kifungo dadeki mtu anatafunwa leo! Nikapekenyua chupi nikataka nianze kuichezea nanii yake ghafla mlango ukagongwa!

Ndio nikakumbuka nilikuwa na miadi na mdogo wangu (daktari) Kuna hela aliniazima akasema atakuja kuichukua usiku, basi akawa amefika akagonga hodi nikatoka kumpa hela yake. Akashangaa Sana maana hakuzoea kuishia mlangoni akifika pale gheto. Nikatoka kumsindikiza kidogo katika story story ndio nikamwambia gheto nipo na yule binti uliyeniambia nimtumie kupata vibarua.

Akashangaa Sana. Akaniambia yule binti kaathirika na yeye ndio aliyempima Mara ya Kwanza na huwa anampa ARV Mara kwa Mara pale hospitali. Akasema kama siamini kesho yake niende hospitali atanionyesha udhibitisho. Nilitoa macho kinoma! Kwa hiyo nilikuwa nakonektiwa kwenye grid ya taifa kirahisi namna hiyo yaani.

Sikutaka kupaniki niliporudi nikamwambia bi dada nimepata dharura kama vipi aje kesho maana Mimi mwenyewe natoka. Basi nikatoka naye, yeye akaenda kwao Mimi nikaenda zangu bar nikaagiza Serengeti light nne nikanywa weeeh... Nikalewa nikarudi kulala huku nikisali sala ya baba yetu uliye mbinguni.
Ilinitokea story kama yako

Mimi sikuwa home kwa miaka miwili, nilivorudi nikaopoa demu mtaani wakati namuingiza geto kumbe madogo wameona na wanajua ana ngoma,

Wakamfuata bro wakamuambia,
Wakati huo mimi nipo na demu ndani sijui chochote mara simu ikawa inaita mfululizo sipokei nikaizima (walitumia simu ya dogo niliona anataka kuniharibia ulaji)

Ghafla mlango ukaanza kugongwa kwa nguvu dogo unaniita kaka kaka kaka nikakasirika nikasema naenda kumtia vibao ile nimefungua tu mlango nikavutwa na bro fasta wakanitoa kwa nguvu

Ndio kuanza kunihoji vipi umetumia kinga?
Wakati huo hata sikuwa nimemla demu
Yaani ndio ikawa pona pona yangu

Demu aliondoka hata kabla sitarudi ndani

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom