Kaka madenge
JF-Expert Member
- Jan 16, 2021
- 312
- 580
Huu Uzi umeniponza pakubwa Sana'a
Najuta yaani
Baada ya kusoma kisa cha mwamba mmoja alietafuna rafiki wa mkewe nami nikajipa umwamba.
Majuzi hapa nikamcheki rafiki wa mama yoyoo home .
Nikmwambia nije kwake nna mazungumzo nae.
Akasema niende.
Basi Baharia nikabeba na kondomu kabisaaa huku moyo ukisuuzika kabisa
Kufika baada ya stori mbili tatu nikamsogela kwenye sofa alipokuwa amekaa .
Nikakumbuka ile tecnic ya yule mwamba wa Uzi ule (kushika paja)
Ile kushika tu naona yupo kimya .
Nikasema mambo yametick Leo kiazi najilia vinono .
Nikapanda mpka kwenye matiti
Kufika hapa ghafla nikastuka bonge la mkibao limetua usoni ..yaani mpaka nikaona mabati yapo sita sita .
Ikabidi nitoke nduki Mimi mwana wa nyange ..bahati nzuri mpka sasa hajasema kwa mama yoyoo.
Kila ninapomuona huyo Dada nakuwa mpole utadhani nimejamba ukweni.
Ulaaniwe huo Uzi
Alaah
Najuta yaani
Baada ya kusoma kisa cha mwamba mmoja alietafuna rafiki wa mkewe nami nikajipa umwamba.
Majuzi hapa nikamcheki rafiki wa mama yoyoo home .
Nikmwambia nije kwake nna mazungumzo nae.
Akasema niende.
Basi Baharia nikabeba na kondomu kabisaaa huku moyo ukisuuzika kabisa
Kufika baada ya stori mbili tatu nikamsogela kwenye sofa alipokuwa amekaa .
Nikakumbuka ile tecnic ya yule mwamba wa Uzi ule (kushika paja)
Ile kushika tu naona yupo kimya .
Nikasema mambo yametick Leo kiazi najilia vinono .
Nikapanda mpka kwenye matiti
Kufika hapa ghafla nikastuka bonge la mkibao limetua usoni ..yaani mpaka nikaona mabati yapo sita sita .
Ikabidi nitoke nduki Mimi mwana wa nyange ..bahati nzuri mpka sasa hajasema kwa mama yoyoo.
Kila ninapomuona huyo Dada nakuwa mpole utadhani nimejamba ukweni.
Ulaaniwe huo Uzi
Alaah