Thidanganyiki
Member
- Mar 25, 2015
- 47
- 59
Wanaosema mengi ni uongo, jibu ni tembea uyaone. Kuna mambo ya ajabu huwezi amini ni Tanzania hii hii.
Anyways ya kwanza kwa urefu wake, kwangu ni,
2014 hyo nilikuwa natokea mkoani kuelekea kuanza 1st yr chuoni dsm. Nilifikia kwa sista maeneo ya Tabata Baraccuda, kijana nikaandaliwa chumba changu cha nje nikawa ndo nimefikia hapo. Nilikuta kuna watoto wa kike kadhaa pale home, na mwanzoni tu niliwascan haraka haraka nikaona mmoja ananifaa hata kiumri, uzuri na mambo mengine (wanaume mnaelewa naongelea nini).
Ndani ya siku chache hivi ile kuzoea zoea na kuanza story mbili tatu na wenyeji pale, nikawa nipo nipo comfortable kiaina. Jioni moja hivi watu tulikua tunapiga piga story nikaaga naenda dukani. Ile naanza kwenda nikasikia naulizwa "Unaenda duka gani?". Nikamwambia nataka ninyooshe miguu kidogo mpaka barabarani baraccuda kule. Akasema "Nisubiri basi mwenyewe kuna kitu nataka nikachukue."
Basi tukatoka pale home mdogo mdogo tunapanda na barabara ile inatokea tabata chang'ombe mpaka baraccudda kule, pale pana ki mini-supermarket flan hv akasema anataka aende kununua chocolate, nikamsindikiza akachukua alivyotaka tukasepa. Sasa wakati tunarud na barabara ile ile; akaniambia "Hii ndefu tupitie hivi kuna shortcut". Kuichek shortcut yenyewe naona full magiza giza kwa mbele, baharia nikasema hapa litmus test zimekamilika.
Ile tunakaribia karibia gizani mtoto akaanza kupunguza speed. Akasimama. Nilikua nimempita hatua kdogo, kugeuka nyuma hvi, tulivyokutana macho tukaangaliana kama sekunde 2. Kwakua nilikua nishaelewa mchezo mzima, nikapeleka mkono kiunoni; kumvuta akaja bila kusita. Niliinamisha shingo kdogo tu tukaanza kukiss. Alikua na lipsi laini balaa, yani hazina kiu, kama zile zimekauka/ngumu flan hv. Sasa mtoto yule mizuka ilianza kupanda nikaona haya maeneo itakua soo. Tukasitisha pale, tukaelekea home.
Hakuna kubwa lililotokea ndani ya masaa machache baada ya hapo. Baadae watu wameshaenda kulala niko zangu tu nimekaa chumbani, ikaingia sms "Umeshalala?" nikamwambia "Hapana sina hata usingizi. Njoo". Hakujibu SMS. Dakika chache tu, kama 2 hivi, naskia mlango wa nyumba kubwa unafunguliwa. Halaf kama sekunde 20 baadae, mlango wangu na wenyewe ukafunguliwa; huwa si ufungagi mpaka nnapotaka kulala kabisa. Basi moja kwa moja kaingia ndani akaenda kukaa kwenye kochi.
Vikaanza vile vimaswali visivyokuwa na mbele wala nyuma. "Mbona kuna giza hivi, huogopi?" wakati mtu unaona kabisa nimezima taa. Basi wala hata sikupoteza muda, nilimvuta kidogo tu kuja kitandani akaja mazima. Alikua kavaa kanguo flani hv ambako baadae nilikuja kujua hakuwa kavaa chupi. Kukapigwa mgegedo wa kimyakimya. Tulivyomaliza akarud zake nyumba kubwa na kufunga mlango. Baada ya dakika kama tano, Alinitumia sms za ahsante na nini, mpaka leo hii 2019 screenshots zake ninazo.
Kuna siku nyengine, mimi ndo nilikua wa mwisho kwenda kulala akaniambia nimshtue nikiwa natoka aje afunge mlango, tukaishia kugegedana jikoni kwenye process za kutakiana usiku mwema!
Nimeishia hapa.
Narudi baadae nimalize stori zote.
Huu uzi ni Nyoko!!!


