luangalila
JF-Expert Member
- Jan 12, 2014
- 6,361
- 6,966
Kuandikiwa Dissertation na mtu sio jambo baya au Kinyume na Sheria hapana. Zipo sababu nyingi zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation au research kuanzia mwanzo hadi final stage.
Sababu zifuatazo zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation 1. Muda ( for inservice people) kufanya kqzi huku na kusoma sometimes inawia vigumu na kupelwkwa mtu kuandikiwa dissertation 2. Uelewa mdogo wa uandishi, hii ni sababu kubwa kuliko zote ni wazi mchakato wa kuandaa proposal ni kipengele na unaitaji uvumilivu na uweledi ktk uandishi.
Kama ulishawahi kuandikiwa dissertation au research don't afraid to share with us your expwrience ya kufanyiwa kazi au kqmanulishawahi kukutana na usumbufu flan au kama ulishawahi kukutana na mtu flan akawa ndo the best yaan
Sababu zifuatazo zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation 1. Muda ( for inservice people) kufanya kqzi huku na kusoma sometimes inawia vigumu na kupelwkwa mtu kuandikiwa dissertation 2. Uelewa mdogo wa uandishi, hii ni sababu kubwa kuliko zote ni wazi mchakato wa kuandaa proposal ni kipengele na unaitaji uvumilivu na uweledi ktk uandishi.
Kama ulishawahi kuandikiwa dissertation au research don't afraid to share with us your expwrience ya kufanyiwa kazi au kqmanulishawahi kukutana na usumbufu flan au kama ulishawahi kukutana na mtu flan akawa ndo the best yaan