Ulishawahi kuandikiwa Dissertation na mtu?

Ulishawahi kuandikiwa Dissertation na mtu?

Mkuu mfano muda ukakubana, kuwasiliana na supervisor kwamba kuna hiki na hiki ni swala gumu sana?
Swala sio kiwasikiana na supervisor .. swala ni time ya kukaachini na kuanza kuandika ..kumbuka unna concept yako tayari + objectives + statement of problem now a time to write down is the challenge
 
Hakuna sababu yeyote inayo halalisha kuandikiwa dissertation na mtu. Kwangu mimi huu ni upumbavu uliotukuka. Nikiwa supervisor wako au kwenye examination panel yako ujue nitakushika tu. Tukiacha hayo ya kushikana, kuandikiwa au kufanyiwa utafiti na mtu mwingine inaonyesha hujui kile unafanya zaidi ya kutafuta yale makaratasi na hapo kuna tatizo kwenye supervision-supervisor mzuri atajua kinacho endelea.

Wenzetu wana masters ambazo dissertation sio lazima unaweza instead ukafanya courses za ziada kutimiza graduation requirements au internship na kuandika report. Hizi zinawafaa zaidi wale ambao hawana ulazima wa kufanya utafiti kutokana na malengo yao. Bahati mbaya hapa Tz masters zetu karibu zote tunatanguliza dissertation.
Take home: Sifagilii kufanyiwa au kuandikiwa research-hii ni sawa na wizi/udanganyifu wa hali ya juu.
Umeongea kitu kikubwa sana.... Natamani watu wenye mamlaka na dhamana ya elimu ya juu au wadau wa vyuo vikuu kwa post graduate courses kwa nchi yetu waone haya maandishi yako. Masiya
 
Swala sio kiwasikiana na supervisor .. swala ni time ya kukaachini na kuanza kuandika ..kumbuka unna concept yako tayari + objectives + statement of problem now a time to write down is the challenge
Niseme tu watu tunatofautiana. Mimi ishu kama hiyo nilikesha nilijizuia kuzurura nikashindia mkate na maji.

Anyway sijui labda kila mtu na mzuka wake linapokuja swala la kudeal na kazi zake.
 
Mkuu mfano muda ukakubana, kuwasiliana na supervisor kwamba kuna hiki na hiki ni swala gumu sana?

Kama ulishawahi kuandika Andiko lolote, utanielewa..

Nb: Sio kila anae andikiwa research kuwa ni mzembe, kuna mambo yapo nje ya uwezo wake, pamoja na mda, hata magonjwa, etc...
 
Kama ulishawahi kuandika Andiko lolote, utanielewa..

Nb: Sio kila anae andikiwa research kuwa ni mzembe, kuna mambo yapo nje ya uwezo wake, pamoja na mda, hata magonjwa, etc...
Kama unamaanisha Research proposal na research jibu ni ndiyo nimeshaandika.
 
Kuandikiwa Dissertation na mtu sio jambo baya au Kinyume na Sheria hapana. Zipo sababu nyingi zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation au research kuanzia mwanzo hadi final stage.

Sababu zifuatazo zinapelekea mtu kuandikiwa dissertation 1. Muda ( for inservice people) kufanya kqzi huku na kusoma sometimes inawia vigumu na kupelwkwa mtu kuandikiwa dissertation 2. Uelewa mdogo wa uandishi, hii ni sababu kubwa kuliko zote ni wazi mchakato wa kuandaa proposal ni kipengele na unaitaji uvumilivu na uweledi ktk uandishi.

Kama ulishawahi kuandikiwa dissertation au research don't afraid to share with us your expwrience ya kufanyiwa kazi au kqmanulishawahi kukutana na usumbufu flan au kama ulishawahi kukutana na mtu flan akawa ndo the best yaan
Nikishawahi kumwandikia mtu desertation ya Masters back in 2018, ila alinipa all his ideas na findings sema shida yake ilikua ni uandishi na mpangilio

Hajawahi kupata tatizo na aligrauduate
 
Naona hapa wote mnasema mliwafanyia wengine. Hao mliowafanyia wako wapi sasa

After all, elimu kibongobongo ni kutafuta cheti tu (natania)


YESU NI BWANA.
Unataka uwajue ili iweje ? Kundi kubwa wanaoandikiwa research ni wadada na wanasiasa.

Na wale wafanyakazi ambao wana mambo mengi halafu wanasoma.
 
Unataka uwajue ili iweje ? Kundi kubwa wanaoandikiwa research ni wadada na wanasiasa.

Na wale wafanyakazi ambao wana mambo mengi halafu wanasoma.
Wajitokeze hapa watupe uzoefu wa kuandikiwa research papers/dissertations
 
Chief tambua kuna vyuo defending imaanzia proposal level. Hapo ndugu you need full commitment kqmq ninmtu wa busy vikaoo zoom unavimaliza saa 1 usiku chief your boat will sink
 
Swala sio kiwasikiana na supervisor .. swala ni time ya kukaachini na kuanza kuandika ..kumbuka unna concept yako tayari + objectives + statement of problem now a time to write down is the challenge
Lala mapema amka say sitaandika hadi saa9 then lala ne da kzn wiki moja tu inatosha halafu hakuna kitu mpya..... kiku wa ufaulu huku kitaa hakuna haha ya elimu kubwa haha kusoma na kuandika sio lazima kikubwa uwe na nguvu na ability zakuzaliwa na uwe na help za bando na smart phone
 
Nchi ya magumashi hii, kusoma, kutafiti na andiko la mtu baki, kufaulu na cheti mtu baki. Ndio maana utendaji ni mbovu licha ya shahada za kila aina.
 
Nchi ya magumashi hii, kusoma, kutafiti na andiko la mtu baki, kufaulu na cheti mtu baki. Ndio maana utendaji ni mbovu licha ya shahada za kila aina.
Kama nchi inaruhusu wajinga waende kwenye maamuzi unaumiza kichwa ili iweje..eti mbunge ajue kusoma na kuandika halafu sheria zitafsiriwe na wanasheria wasomi..si ujinga huu.

Inasikitisha sana.

#MaendeleoHayanaChama
 
  • Thanks
Reactions: Auz
Back
Top Bottom