Ulishajiuliza maswali haya??

Ulishajiuliza maswali haya??

KakaKiiza

Platinum Member
Joined
Feb 16, 2010
Posts
11,948
Reaction score
9,465
Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!!
 
Jinsi yangu naifurahia sana, hivyo sitamani kabisa jinsia pinzani kwangu.
 
Kwakuwa nafaham mambo yanayoikwaza jnca yangu ya ss,km ningekuwa tofaut na jnca ya ss nicngewakwaza+wa2 wa jinsia hii
 
nimetuma wakusalimie,barua pia nimetuma usome... Nalog off
 
BAK popote ulipo,hebu tupe lyrics za 'if I was a boy' wa brandy...
Natanguliza shukrani
 
Back
Top Bottom