Ulishajiuliza maswali haya??

KakaKiiza

JF-Expert Member
Feb 16, 2010
11,578
8,600
Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!!
 
Jinsi yangu naifurahia sana, hivyo sitamani kabisa jinsia pinzani kwangu.
 
Kwakuwa nafaham mambo yanayoikwaza jnca yangu ya ss,km ningekuwa tofaut na jnca ya ss nicngewakwaza+wa2 wa jinsia hii
 
BAK popote ulipo,hebu tupe lyrics za 'if I was a boy' wa brandy...
Natanguliza shukrani
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom