KakaKiiza JF-Expert Member Feb 16, 2010 11,578 8,600 Nov 18, 2011 #1 Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!!
Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!!
Binti Magufuli JF-Expert Member Apr 2, 2011 7,484 5,142 Nov 18, 2011 #2 Mhhhh hili nalo neno, ngoja waje wenyewe wataalam jukwaa wamwagike
Likwanda JF-Expert Member Jun 16, 2011 3,910 1,131 Nov 18, 2011 #3 Jinsi yangu naifurahia sana, hivyo sitamani kabisa jinsia pinzani kwangu.
M Myn17 Senior Member Nov 17, 2011 100 31 Nov 19, 2011 #4 Kwakuwa nafaham mambo yanayoikwaza jnca yangu ya ss,km ningekuwa tofaut na jnca ya ss nicngewakwaza+wa2 wa jinsia hii
Kwakuwa nafaham mambo yanayoikwaza jnca yangu ya ss,km ningekuwa tofaut na jnca ya ss nicngewakwaza+wa2 wa jinsia hii
Washawasha JF-Expert Member Aug 7, 2006 16,652 13,077 Nov 19, 2011 #5 nimetuma wakusalimie,barua pia nimetuma usome... Nalog off
Bujibuji Simba Nyamaume JF-Expert Member Feb 4, 2009 74,883 155,856 Nov 19, 2011 #6 KakaKiiza said: Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!! Click to expand... Kamuulize Nazjaz ndo anayaweza hayo maswali ya kizushi
KakaKiiza said: Mfano ungezaliwa mwanaume je ungewafanyia nini wanawake??au ungezaliwa mwanamke ungekuwaje kwa wanaume kutokana na tabia uliyonayo!! Click to expand... Kamuulize Nazjaz ndo anayaweza hayo maswali ya kizushi
Kongosho JF-Expert Member Mar 21, 2011 35,999 24,175 Nov 19, 2011 #7 Ningekula vichwa kama ndumilakuwili.
King’asti Platinum Member Nov 26, 2009 27,823 24,786 Nov 19, 2011 #8 BAK popote ulipo,hebu tupe lyrics za 'if I was a boy' wa brandy... Natanguliza shukrani