King Jody
JF-Expert Member
- Oct 8, 2022
- 914
- 1,704
Leo tupige story kidogo, siyo muda wote kuwa serious sana.
Mimi nilioa nikiwa na umri wa miaka 27 nikajaaliwa kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 28, hiyo ilikuwa 2011, hadi leo nipo kwenye ndoa, nina watoto wanne Mwenyezi Mungu anasaidia tunaishi kwa amani life linasonga.
Wewe je? Ulioa/kuolewa ukiwa na umri gani?
Mimi nilioa nikiwa na umri wa miaka 27 nikajaaliwa kupata mtoto wa kwanza nikiwa na miaka 28, hiyo ilikuwa 2011, hadi leo nipo kwenye ndoa, nina watoto wanne Mwenyezi Mungu anasaidia tunaishi kwa amani life linasonga.
Wewe je? Ulioa/kuolewa ukiwa na umri gani?