Black Sniper
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 28,465
- 45,761
Naona wengi wanatetea ulinzi na mama kuwa salama
Hata kama ana maadui wanaomsema humu kila siku na hakuna mtu anaependwa na wote
Rajiv Gandhi aliuwawa akiwa ameshuka kwenye gari wakati wa kampeni tena kapelekewa shada la maua na ndani kukiwa na Bomb
Hata aliempiga risasi Pope hakuna na uadui nae ila alitaka umaarufu tu
Kiongozi ni kiongozi tu na ulinzi amepewa wamlinde ila likitokea la kutokea basi ila wamemlinda
Hapo na simu kabisa mlinzi anaipokea
Wengi watapinga ila najua mengi
Hata kama ana maadui wanaomsema humu kila siku na hakuna mtu anaependwa na wote
Rajiv Gandhi aliuwawa akiwa ameshuka kwenye gari wakati wa kampeni tena kapelekewa shada la maua na ndani kukiwa na Bomb
Hata aliempiga risasi Pope hakuna na uadui nae ila alitaka umaarufu tu
Kiongozi ni kiongozi tu na ulinzi amepewa wamlinde ila likitokea la kutokea basi ila wamemlinda
Hapo na simu kabisa mlinzi anaipokea
Wengi watapinga ila najua mengi