Culture Me
JF-Expert Member
- May 24, 2017
- 10,447
- 21,160
Manji ilikuaje??Ulinzi ulikuwa mdogo sana hadi yule stranger akamsogelea Rais.
Ila body language ya Samia ina suggest hana shida na Mange, issue itabaki kwa maafisa vipenyo, nadhani hao ndio Mange ahakikishe anapiga nao picha wengi iwezekanavyo.
Hata Manji hakutegemea yale yaliyomkuta alivyorudi Tz.
Ilinipita hiyo bro.