Baba_Enock
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 7,078
- 2,443
Yeah -
- Ni familia ya ya watu sita
- Nyumba ina geti la chuma na milango yote ya nje na madirisha yamewekewa nondo
- Nyumba ina uzio wa Umeme (Electric Fence)
- Nyumba ina CCTV camera 15
- Nyumba ina mlizi wa Ki-Masaai
- Nyumba inalindwa na Ultimate Security
- Ndani ya uzio kuna Mbwa watatu
- Pia mtaani kuna ulinzi wa Sungusungu (Ulinzi shirikishi)
- Familia hii wote ni waumini safi wa dhehebu fulani na Kikristo
Hapa ningependa kufahamu, huu ni ulinzi au ni woga?
- Ni familia ya ya watu sita
- Nyumba ina geti la chuma na milango yote ya nje na madirisha yamewekewa nondo
- Nyumba ina uzio wa Umeme (Electric Fence)
- Nyumba ina CCTV camera 15
- Nyumba ina mlizi wa Ki-Masaai
- Nyumba inalindwa na Ultimate Security
- Ndani ya uzio kuna Mbwa watatu
- Pia mtaani kuna ulinzi wa Sungusungu (Ulinzi shirikishi)
- Familia hii wote ni waumini safi wa dhehebu fulani na Kikristo
Hapa ningependa kufahamu, huu ni ulinzi au ni woga?