Iyerdoy
JF-Expert Member
- Nov 17, 2023
- 2,300
- 2,540
🙏Mikataba ya hovyo isiyowanufaisha Watanzania mzee code ndogo tu hii nimetumia
🙏Mikataba ya hovyo isiyowanufaisha Watanzania mzee code ndogo tu hii nimetumia
Nyoka anapigwa mbele na Nyuma,kadri nyoka anavyokasirika wahuni ndio mate yanawatoka😀😀😀Kuna documentary moja niliona kama hawa vile kama sijasahau jinsi wanavyokula nyoka kama wanakula maembe, ni wakorofi nao kwenye mambo kama hayo, nyoka unamuonea huruma.
Wazee wa kazi Hawa....nyoka hupata taabu sana akikutana na hao wazee