Yoav Gallant
JF-Expert Member
- May 23, 2023
- 2,816
- 6,086
Hawa jamaa nyoka kwao ni mshikaki
Kidogo waka simama mbele wakasimamia miguu. Nilihisi nimeona mashetani.😀😀😀Hivi hawa si ndo nguchiro?, mara ya kwanza nawaona hao wapuuzi, ilikuwa morogoro. Naendesha baiskeli, mara nikaona kundi la wadudu kama panya wanakimbia. Kidogo waka simama mbele wakasimamia miguu. Nilihisi nimeona mashetani. Ilikuwa nipo speed ila baiskeli iliweza lala chini, nikarudi nilipotoka
KILA KITU KINACHOLIKA WANAKULA.... MADUDU MAROHO SANA!Wanakula Nini?
Kama wanakula majani basi ni kwa sababu ya dawa... HUWAJUI WEWE HAWA MBUSUSU 🙂🙂🙂Majani ni familia ya mamalia
All MONGOOSE ni CARNIVOROUS.... Usitake watu wajue hujui ndugu mtaalam🙂Hata binadamu ni familia ya mamalia lakini anakula nyama..hapa nimeangazia main course
Huyo anaecheka inaomekana anapenda sana utani hata kwenye issue serious
Waafrika?Wangekua na vidole vitano wangekua sawa na wale binadamu wanaogawa mali zao nje kila kukicha..
Watanzania si ndio wenye mali nyingi ila wanagawa bure tu.Waafrika?
Mtoa uzi hajasema herbivores. Mbona binadamu tunakula majani? Hao ni omnivores - hula vitu mchanganyiko. Hao waheshimiwa hula majani, wadudu e.g. mchwa, funza wa kwenye mbolea esp. ya ng'ombe, nyoka na mayai ya ndege n.k n.k Mbwa hana ujanja mbele yao. lazima agute.Hawa mbona kama sio herbivores
Haka Kako CHADEMA maana naona mambo ya pipoz na no reform(joking)
Ni mshikaki unaotembea. Nyoka akijichanganya halafu akaonekana, basi atakuwa amejitangazia umauti. Lazima aliwe haraka sana.Hawa jamaa nyoka kwao ni mshikaki
Wapi wanagawa bure aisee?Watanzania si ndio wenye mali nyingi ila wanagawa bure tu.
Huo ni uchokozi ilhali leo ni Id el fitri siku ya amani. (jock)Waafrika?
Yawning - kupiga mwayo.Huyo anaecheka inaomekana anapenda sana utani hata kwenye issue serious
Mikataba ya hovyo isiyowanufaisha Watanzania mzee code ndogo tu hii nimetumiaWapi wanagawa bure aisee?
Wana nidhamu ya hali ya juu sana. Mbwa akijaribu kuwafuata, humchen'njia na wote pamoja humwendea kama wimbi- mbwa lazima arudi fasta huku mkia katikati ya miguu.Hawa ukimuona mmoja mbele ujue wazi anasoma ramani hapo utakuta kuna ukoo mzima umejificha kwenye machaka unasubiri amri ya usalama kutoka kwa kiongozi mkuu aka Geordavie wao ili wasonge mbele