tejateja
JF-Expert Member
- Feb 26, 2015
- 1,619
- 968
Reli inayoongoza maisha yao inaelekea huko kwenye zaka na sadaka.Dah..... Wahubiri huwa Wanajichanganya sana...... Ukifikiria kwa utulivu utaona dini ni zaka na sadaka tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Reli inayoongoza maisha yao inaelekea huko kwenye zaka na sadaka.Dah..... Wahubiri huwa Wanajichanganya sana...... Ukifikiria kwa utulivu utaona dini ni zaka na sadaka tu
Sure, life is not pre planned! Ninachokubaliana na mshana ni kuwa hakuna jambo lolote linalokutokea kwa bahati mbaya, hii ni kweli. Kila jambo unalofanya ni kwa ajili yako mwenyewe liwe baya au jema, ni kwa ajili yako mwenyewe. Ndio maana hata kusamehe ni kwa ajili yako mwenyewe sio kwa ajili ya yule aliyekukosea. Ulimwengu wa rohoni una kanuni zake, upo preplanned kwa matendo yako mwenyewe na mawazo yako ya kila siku. Mwenyezi MUNGU kaweke uhuru wa kila mtu kufanya atakacho na ametufundisha kila ufanyalo hatima yake ni nini. Kwa maana hiyo kesho yako imepangwa na ww mwenyewe. Kitu pekee ambacho hakijapangwa na mwanadamu ama matendo yako ni uwepo wa mauti.Ulimwengu wa kiroho hauna makosa kabisa. Hii Nikweli isiyopingika. You can not pretend (huwezi kuigiza) kuwa wewe ni mwema wakati sio. Ulimwengu wa kiroho unasheria zake ama kanuni. This life is not pre-planned at all.
Asante kwa uwasilishaji mzuri wenye kueleweka kwa urahisi mno ....barikiwa zaidi na zaidiUjamuelewa vizuri na Mimi nilipoanza kusoma nikabaki nashangaa nimefuatilia reply zake zote anamaanisha kuwa kabla ujazaliwa Mungu anakuwa amekupangia njia yako utayopitia hadi utakapo kufa na njia hii ni njema maana mwishowe tutauona ufalme wa Mungu.
Tatizo linakuja pale tunapoacha kuufuta mchoro hule ( njia) mana njia hii ina up and down ila ni kwa mapenzi ya Mungu ili mwishoni tufikie destination ya kuuona ufalme wa Mungu think about Yusufu alifungwa hadi gerezani ila ilikuwa kwa mpango wa Mungu think about Samson hizi njia zilikuwa katika mchoro ili wamtukuze Mungu na kumbuka ukifuta mchoro wako lazima ufikie mwisho mwema mana Mungu anatuwazia mema.
Sasa tatizo ni pale ambapo tunaishi nje ya mchoro looh hapo inaitwa kukengeuza unaweza pitia magumu ukamwacha Mungu kumbe ilikuwa ndio pathway yako kuuona ufalme wa Mungu basi tukapanic tukaanza kutafuta nguvu za ibilisi zitupatie maisha mazuri totally wrong.
Cha msingi tusiache kuomba pia na shukuran regardless tunapitia mazingira gani Mungu anatuwazia mema.
Kwa maneno haya huwa nayapinga sana lakini sina uhakika pia kuwa ni sawa au si sawa. Naomba kujuzwa hapa mkuu ikiwa kabla sijazaliwa uwepo wangu unajulikana anayejua ni mungu nadhani, kwamba nitazaliwa na nani,nitaishije,mema na mabaya gani nitafanya na kila kitu na kila kitu na kila kitu mpaka mwisho wangu kama ulivyosema,Hauna makosa! Hauna mawaa kwa kizungu tunaweza kusema no errors no faults. ...najua utasema kuwa Mungu kasema hakuna mkamilifu!
Kumbuka kasema hakuna mkamilifu la hata mmoja akimaanisha mwanadamu sio roho. Makosa ya kiutendaji,makosa binafsi, makosa ya kukusudia na kutokusudia , habari za bahati mbaya na maneno kama heri ningejua....! Haya yote si ya kiroho ni ya kimwili
Ukisoma habari za jicho la tatu, machale ,ndoto taarifa ufunuo na maono unaona kwa usahihi kabisa ulimwengu wa roho ulivyotutangulia kufahamu yajayo kabla ya nafsi zetu kupata taarifa rasmi
Kila tukio liko preplanned. Hakuna bahati mbaya, ni limitations za ufahamu tu wa kibinadamu ndio umezuiwa kuona haya
Maisha yako na yangu yako kwenye mchoro kamili tangu kuzaliwa mpaka kufa...........
Utazaliwa lini na nani utapitia nini na wapi utakutana na nani! Utakuwa nani, utafanya nini, utaanguka wapi na kusimama wapi! Yote haya hayatokei kwa bahati mbaya
Jee huu ni ubaguzi?
Kwamba mmoja tangu kuzaliwa mpaka kufa yeye ni mafanikio tu?
Kwamba tangu kuzaliwa mpaka kufa ni yeye na matatizo matatizo na yeye?
Kwamba wengine husimama na kushamiri kisha huanguka na kupotea kabisa?
Kwamba wengine hukulia kwenye shida nyingi na matatizo lakini huja kutoboa na kutoka kimaisha?
Ulimwengu wa roho hauyumbishwi...formula zake ziko kama zilivyo michoro yake ni kamili na kamilifu unapojaribu kuisahihisha na ishu za waganga nyota na ngekewa unajitafutia dhahama usiyoiweza
Utafanikiwa kwa kipindi tu lakini asili itakurudisha kwenye shina lako kiroho..pale ulipotakiwa kuwa na hapo ni sawa na kujaribu kunyoosha bati lililopinda na kupondeka
Ulimwengu wa roho hauna modifications! Ishi maisha yako ukijibidiisha na ufanyayo katika mstari sahihi...usijaribu kutoka nje ya mstari kwa kuchanganya ya rohoni na ya kidunia ...hutafika mbali
Unazipozaje?.Soma tena nilichoandika unaweza kuzipoza tu ili zisilete madhara na usumbufu lakini sio kuzitoa
Ni kwakuwa unakiona wewe kwa mtazamo wa kimwili ila sio mpango wa MunguUkisoma Isaya 39 unamuona mfalme Hezekia aliyeugua kiasi cha kufa, alijua kabisa anakufa, akamlilia sana Bwana kwa kutubu ndipo Bwana akamwambia amemsamehe na akamuongezea miaka 15 ya kuishi, nachotaka ufahamu ni kuwa, unachokiona kwenye ulimwengu wa roho Bwana aweza kukibadilisha.
Ujamuelewa vizuri na Mimi nilipoanza kusoma nikabaki nashangaa nimefuatilia reply zake zote anamaanisha kuwa kabla ujazaliwa Mungu anakuwa amekupangia njia yako utayopitia hadi utakapo kufa na njia hii ni njema maana mwishowe tutauona ufalme wa Mungu.
Tatizo linakuja pale tunapoacha kuufuta mchoro hule ( njia) mana njia hii ina up and down ila ni kwa mapenzi ya Mungu ili mwishoni tufikie destination ya kuuona ufalme wa Mungu think about Yusufu alifungwa hadi gerezani ila ilikuwa kwa mpango wa Mungu think about Samson hizi njia zilikuwa katika mchoro ili wamtukuze Mungu na kumbuka ukifuta mchoro wako lazima ufikie mwisho mwema mana Mungu anatuwazia mema.
Sasa tatizo ni pale ambapo tunaishi nje ya mchoro looh hapo inaitwa kukengeuza unaweza pitia magumu ukamwacha Mungu kumbe ilikuwa ndio pathway yako kuuona ufalme wa Mungu basi tukapanic tukaanza kutafuta nguvu za ibilisi zitupatie maisha mazuri totally wrong.
Cha msingi tusiache kuomba pia na shukuran regardless tunapitia mazingira gani Mungu anatuwazia mema.
edwin george hebu msome katichiKwa maneno haya huwa nayapinga sana lakini sina uhakika pia kuwa ni sawa au si sawa. Naomba kujuzwa hapa mkuu ikiwa kabla sijazaliwa uwepo wangu unajulikana anayejua ni mungu nadhani, kwamba nitazaliwa na nani,nitaishije,mema na mabaya gani nitafanya na kila kitu na kila kitu na kila kitu mpaka mwisho wangu kama ulivyosema,
Sasa, sisi tuna hatia gani kwa mungu ikiwa tunakamilisha tu mzunguko ambao tayari umeshapangwa ambao hatuwezi kuupindisha au kuuepuka??
Kwa maneno hayo, ni kwamba binadamu hatuna hatia kwa mambo yoyote yanayotokea maishani mwetu
Bandiko lako nadhani linatambua uwepo wa mungu pale unaposema mambo yanakuwa yameshapangwa nadhani mungu ndio anahusika kwenye huo mpango wa mambo kwa nini sisi tuwe na hatia??
How is nothingness attained by us human beings, meditation?The most perfect state is nothingness.
Any deviation from nothingness is deviation from perfection.
By nothingness, I do not mean a perfect vacuum. I mean the absence of anything, even spacetime (henceforth "space").
Space itself has energy which, per quantum physics, causes virtual particles to be created and destroyed all the time. So in space, even a 100% perfect vacuum will create particles and deviate from a perfect vacuum.
So, when we say nothing is perfect, that is very true.
Nothingness is the most perfect state.
Kwa maelezo ya katichi najaribu kuelewa lakini naamini mungu aliacha watu wawe huru kufanya wanachotaka baada ya uasi wa adam na hawa mpaka leo najua kuwa dunia inatawaliwa na shetaniedwin george hebu msome katichi
Kwa muktadha wa kimwili uko sahihi lakini kiroho hapanaKwa maelezo ya katichi najaribu kuelewa lakini naamini mungu aliacha watu wawe huru kufanya wanachotaka baada ya uasi wa adam na hawa mpaka leo najua kuwa dunia inatawaliwa na shetani
Pale adam na hawa walipojua mema na mabaya walikuwa huru kuchagua na kupitia hayo mwisho ndio kuna hukumu yake kwamba wewe ulichagu kuishi vipi duniani
Mshana Jr nafatiliaga sana mada zako, ni mtu makini zaidi unahitaji kuelimisha na kufundisha. Sijawahi sikia umetapeli mtu yeyote. Mtu mzito unamfahamu vizuri tu, mwambie atafute kazi za kufanya, atakuja kuf.irwa namupnea huruma sana bado kijana mdogo uganga hawezi.Kwa muktadha wa kimwili uko sahihi lakini kiroho hapana
Mmh asante lakini hayo ya Mtu mzito ndugu yangu lugha imekuwa kali kidogoMshana Jr nafatiliaga sana mada zako, ni mtu makini zaidi unahitaji kuelimisha na kufundisha. Sijawahi sikia umetapeli mtu yeyote. Mtu mzito unamfahamu vizuri tu, mwambie atafute kazi za kufanya, atakuja kuf.irwa namupnea huruma sana bado kijana mdogo uganga hawezi.
Yule jamaa alinipiga 70k mwez wa 12 mwaka jana, ntapanga siku nkamfanyie suprise na kikosi kazi ili ajue kuna binadamuMshana Jr nafatiliaga sana mada zako, ni mtu makini zaidi unahitaji kuelimisha na kufundisha. Sijawahi sikia umetapeli mtu yeyote. Mtu mzito unamfahamu vizuri tu, mwambie atafute kazi za kufanya, atakuja kuf.irwa namupnea huruma sana bado kijana mdogo uganga hawezi.