Ulimwengu wa roho ni timilifu

Ulimwengu wa roho ni timilifu

Ndio kuna road map very perfect one! Wanaoenda motoni ni wale walioedit ruti zao.. Motoni ni adhabu ya kukengeuka nackuharibu
Ni kweli kabisa Mtu anapozaliwa hakuzaliwa aje kuwa mshirikina, jambazi, muuwaji, mzinzi, mlevi..hayo ni baadhi ya matendo mabovu..Mungu anahitaji tuenende kwenye njia iliyo sahihi( Upendo e.t.c) hao wamekiuka hiyo road map kwa tamaa za mali, tamaa za kidunia e.t.c
 
Kuna watu wanaamini ukifa unazaliwa mara nyingine tena..unaweza kuzaliwa mtu yuleyule na sura ileile au kiumbe kingine. Wanadai maisha uliyoishi ndo yana-determine next life utazaliwa katika mazingira gani. Hili nimelisikia siku nyingi ila sijawahi kulitilia maanani maana mimi kwa imani yangu mtu akifa ndo mwisho wake anasubiria hukumu ni either uzima wa milele au moto wa milele lakini naona kadri siku zinavyoenda natamani kujua zaidi kuhusu hili..hii imekaaje mshana jr
Kwa jinsi ulivyo...Wewe unakwenda moja kwa moja motoni
 
Mshana uzi mzuri ila tofautisha kati ya hizi term "Pre Destination " na " For -ordination "
Nitakurudia Lakini nadhani hizi ni tafsiri zilizoletwa na tamaduni na imani zinazojaribu kukosoa ule ukamilifu wa kiasili wa kiroho.. Ni sawa na kufanya tohara
 
Screenshot_20220429-232319.jpg
 
Mshana uzi mzuri ila tofautisha kati ya hizi term "Pre Destination " na " For -ordination "
manabii walitawazwa kimbele (pre ordination) kuwa watumishi wa Bwana, wote wanaopokea ukuhani walitawazwa kimbele kwa wito huo, na Yesu Kristo alitawazwa kimbele kutunga upatanisho. Tofauti na kuamuliwa kimbele (pre destination), kutabiri kunaruhusu wakala binafsi (uwezo wa kuchagua kutimiza miito ya mtu).
 
Kama uyasemayo ni kweli basi mafundisho yoyote yanayo amini ktk hukumu ya mwisho si yakweli....
Kama tangu kuzaliwa ramani yako ya maisha imechorwa na huwezi badili lolote ktk ulimwengu wa roho, kwa nini kuwe na hukumu???

Najaribu kuwaza tu!
Nadhan kuna mkanganyiko mfano wote tunajua wachawi wanauwezo wa kukuua .je hapo haeajaingilia mchoro? Maisha mm naamin ni kama football mchezaji unaamua matokeo
 
Hapa umeongea kitu cha ukweli sana!na makanisa mengi ya kiroho yanasaidia sana kuvunja haya maroho kwa kutoa muongozo nini ufanye.Unaeza kuta familia ina liroho la kimasikini bila nguvu za Mungu na kuvunja mikataba ya kishetani iliyowekwa na mababu, huwezi kufanikiwa kamwe.
Namshukuru Mungu kwa ajili ya makanisa na wachungaji. Yani ilikuwa balaa shida juu ya shida.
 
Natamani kuelezea kitu Lakini nashindwa namna ya kuelezea. ila kiukweli kila unachofanya I we kibaya kwa namna ya ufahamu wako, ama iwe unaona ni Chema kwa ufahamu wako, vyote hivyo vilishapangwa tayari na hakuna namna unaweza kukwepa..

Mfano ktk biblia imeandikwa kwamba Yesu alijua kwamba Nani atamsaliti na alimwambia wazi wazi kwamba atamsaliti lakini kwa kuwa tayari ilishapangwa kwamba Hilo jambo litafanyika ktk maisha ya huyo mtu ndio maana wahusika ambao ni Yuda na Petro walishindwa kuzuia isitokee mpaka pale walipo timiza kumsaliti yesu ndio wakakumbuka kwamba tayari yesu alishatabiri kwamba Hilo jambo litatokea. Pia hata yesu mwenyewe alijaribu kuomba kikombe chake cha mateso kimwepuke, ila kwa kuwa anajua kanuni ya maisha akakubali mapenzi ya mwenyezi yatimizwe, maana yake ni kwamba hakuna namna yoyote ya kubadili script uliyopangiwa kuicheza

Anayejiona ni mwana wa Mungu na kuwaona wengine ni wadhambi hiyo ni kutokana tu na namna ya ufahamu wake, na inatakiwa iwe hivyo kwa sababu ndio script yake aliyopangiwa kuicheza na aliye mkuu. Na ndio mana hata ukijiona ni mtu mwema mara nyingi huwa unajikuta pia ukiangukia kwenye mambo mabaya kwa namna ya tafsiri yako ya maisha, ila kiuhalisia yote unayofanya ni marejeleo au matimizo ya unayotakiwa kufanya.
 
Hauna makosa! Hauna mawaa kwa kizungu tunaweza kusema no errors no faults. ...najua utasema kuwa Mungu kasema hakuna mkamilifu!

Kumbuka kasema hakuna mkamilifu la hata mmoja akimaanisha mwanadamu sio roho. Makosa ya kiutendaji,makosa binafsi, makosa ya kukusudia na kutokusudia , habari za bahati mbaya na maneno kama heri ningejua....! Haya yote si ya kiroho ni ya kimwili

Ukisoma habari za jicho la tatu, machale ,ndoto taarifa ufunuo na maono unaona kwa usahihi kabisa ulimwengu wa roho ulivyotutangulia kufahamu yajayo kabla ya nafsi zetu kupata taarifa rasmi

Kila tukio liko preplanned. Hakuna bahati mbaya, ni limitations za ufahamu tu wa kibinadamu ndio umezuiwa kuona haya
Maisha yako na yangu yako kwenye mchoro kamili tangu kuzaliwa mpaka kufa...........

Utazaliwa lini na nani utapitia nini na wapi utakutana na nani! Utakuwa nani, utafanya nini, utaanguka wapi na kusimama wapi! Yote haya hayatokei kwa bahati mbaya

Jee huu ni ubaguzi?
Kwamba mmoja tangu kuzaliwa mpaka kufa yeye ni mafanikio tu?
Kwamba tangu kuzaliwa mpaka kufa ni yeye na matatizo matatizo na yeye?

Kwamba wengine husimama na kushamiri kisha huanguka na kupotea kabisa?
Kwamba wengine hukulia kwenye shida nyingi na matatizo lakini huja kutoboa na kutoka kimaisha?

Ulimwengu wa roho hauyumbishwi...formula zake ziko kama zilivyo michoro yake ni kamili na kamilifu unapojaribu kuisahihisha na ishu za waganga nyota na ngekewa unajitafutia dhahama usiyoiweza

Utafanikiwa kwa kipindi tu lakini asili itakurudisha kwenye shina lako kiroho..pale ulipotakiwa kuwa na hapo ni sawa na kujaribu kunyoosha bati lililopinda na kupondeka

Ulimwengu wa roho hauna modifications! Ishi maisha yako ukijibidiisha na ufanyayo katika mstari sahihi...usijaribu kutoka nje ya mstari kwa kuchanganya ya rohoni na ya kidunia ...hutafika mbali
This is fate, which has been determined at the moment of birth!
 
The soul speaks louder than words ever could.
But sometimes, we silence it — thinking reason knows better.
We walk away, we drift far, we chase other paths…🚶🏼
But time... time reminds us who our spirit recognized long before our mind did.💫
Because the soul always knows who belongs.💯
Always listen to the quiet echoes within.📌
Peace 🕊️
#peace
 
Back
Top Bottom