Ndio mkuu nyanyua dish juu bila kwenda kushoto wala kulia utakutana na continental package11137v30000
Habari wana JF,
Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya Sat tvs na jinsi wtu wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv.
Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites gani zinapatikana maeneo yetu, jinsi ya kuweka sat dishes na sizes zake.
Hivi naweza ku add satelite kwenye azam decoder?
Naomba msaada mwenye ujuz wa kufunga Dstv yaan uelekeo na hatua za kuafuata ktk manu yake. Nmemwomba fund aje naona jamaa yuko peke yake alafu anasumbua xana.
Du kiongoz mm nipo Tanga vjjn huku. ila nina knowledge ya it. Pleaz do me a favor...
Tangu Channel ten wahamie MPEG4 kwa sasa signal yake haiko stable kabisa.Si bor wangebaki na mfumo wa zamani maana huu mpya umeshindikana.
kaka bado unalipia matakataka ya zuku wakati continental ipo wazi zaidi ya mwaka sasa
Weye unatumia decoder gani? Mbona wengine tunakula bata kama kawaida hapa Continental
hello Friends,
Nina swali,
1. Ivi SRT4922 inasupport BISS or PowerVu?
2. Nimeambiwa unaweza pata Bein Sport channels pale kwenye satellite inakopatikana Azam tv channels,je ni kweli??ninalifuatilia then ntawajuza nikipata frqncy zake.
3 . Nina SRT4669x naweza kuinstall software ya BISS au PowerVu au nitaiua kabisa??
Waataalam naomba msaada ya majibu ya maswali yangu.
Asanteni.