sijui nini
JF-Expert Member
- Sep 29, 2010
- 2,553
- 1,285
mkuu embu endelea basi na hili somo kwa utaratibu mzuri basi maana na mimi dish langu ft6 lipo kama pambo tu, hamna linachoonyesha, nimehangaika wee wapi..kila fundi nnayemtafuta ananipiga kalenda tu..nipo mkoani!! hapo uliposema pima cm30 kutoka nguzo inapoishia embu elezea vizuri basi kivipi??