deo paul555
JF-Expert Member
- Oct 22, 2018
- 1,411
- 1,500
Hivi receiver gani nzuri kwa FTA ya mp4 na bei yake?Hallo, naomba muongozo namna yA kufungua DVB T2, zinazotumia miiba ya Samaki. Je ntapata channels ngapi na Zipi ambazo zinapatikana free on air? Msaada plz. Nawasilisha.