Ingekuwa vizuri zaidi tunge jadili namna ya kutumia decoder ya Avata na kupata channel za DSTV
Avata ni decoder gani?.
kama shida yako ni wwe kuna uwezekano wa kupata channel nyingine yenye full wwe kwenye sat w3c 16 deg east ku band
Lengo la thread hii ni mahususi kwa fta tv tu na c paytv/encrypted tvs.
Ingekuwa vizuri zaidi tunge jadili namna ya kutumia decoder ya Avata na kupata channel za DSTV