Ulimwengu wa FTA Satellite TVs

Arselona

JF-Expert Member
Jan 13, 2011
642
153
Habari wana JF,

Baada ya tathmini ya muda mrefu kuhusu masuala ya Sat tvs na jinsi wtu wanavyohangaika kutwa kucha kutafuta elimu hiyo, nimeona mimi nami kuanzisha mada hii ili niweze kuwafahamisheni kidogo ninachoelewa kuhusu masuala ya sat tv.

Kwa uzi huu utajishughulisha zaidi na sattelites gani zinapatikana maeneo yetu, jinsi ya kuweka sat dishes na sizes zake.

Habari zaidi, soma=>https://www.jamiiforums.com/threads...jia-ya-kuepuka-visimbusi-vya-kulipia.1022441/

Tubadilishane Utaalamu wa kufunga satellite dishi 1 lnb 6
 
Kaka mm kero yangu ni e tv bas. Na2mia ku band ila imekuwa scrambled xo utansaidia ? Cjachek ww e mda mref

kama shida yako ni wwe kuna uwezekano wa kupata channel nyingine yenye full wwe kwenye sat w3c 16 deg east ku band
 
kama shida yako ni wwe kuna uwezekano wa kupata channel nyingine yenye full wwe kwenye sat w3c 16 deg east ku band

Maana yake ugeuze dish? Na kama utageuza si ndo utakosa Local chnls? Au kuna jinsi nyingine ya kufunga Ku.?
 
Lengo la thread hii ni mahususi kwa fta tv tu na c paytv/encrypted tvs.

Nina shda ya kupata Star tv, Tbc,na chnl ten. Nimejaribu kugeuza Fb(kibao) ili kuset kwny Horntal labda ningepata,lakini sikufanikiwa. Nakosea kitu gani? Lnb nyingine za Aljazeera,Kenya na Emmanuel zote zinafanya kazi. WHAT MIGHTY BE THE PROBLEM.?
 
Mkuu hii kitu huwaga naitafutaga sana.

Mimi nadhani ungeanza kwanza kumwaga elimu kuanzia kwenye satelite zipo ngapi? Majina yake na zinapatikana wapi? Na je kama ukitaka kuipata dishi lako ulitege vipi?

Ukisha funguka hapo kwenye aina ya satelite pia ufunguke ni zipi? Fta chanel zinapatikana. Ukisha maliza hapo uje upande wa hizo sijui KU na LNB kazi zake na uwezo wake je ni ipi inaweza kunasa satelite fulani.

Pia uzungumzie jinsi ya kuziset ili ziweze daka chanel fulan.

Nadhani ukidadavua hayo yote kwa kina utakuwa umemaliza njaa ya wengi hapa jamvini.

Upande wa receiver au decoder liwe somo la mwisho kabisa.
 
Ingekuwa vizuri zaidi tunge jadili namna ya kutumia decoder ya Avata na kupata channel za DSTV

mkuu kama unaujuzi wa kutumia hiyo kitu hebu funguka basi maana ni kilio cha watu wengi sana hapa jamvini
 
Hunting fta tv is a spirit. U need to acquire that spirit thru learning step by step on fundamentals of sat installation. B4 hand u need to get familiar with ur stb box {receiver/decoder} i mean u shud be friendy with ur stb box manual handbook.

However u also need to start nabbing simple sats like eutelsat36A/36B, intelsat 906 and intelsat 10 where most sat dishes are positioned.
 
Asante mkuu kwa kuleta somo.

Unapo tune dish say 36°W au 68.4°E unaanzia wapi na kuelekea wapi? Nikiwa na maana kwamba 0° unaazia wapi na unaelekea horizontally au vertically?

Maana wengine tumeonyeshwa tu kwamba ukitaka station fulani dish linaelekea mashariki au kaskazini halafu unazungusha zungusha horizontally na vertically hadi unapata signal, hii imekuwa ni kubahatisha bahatisha na inachukua muda mwingi.

Nijuze tafadhali.
 
Distant learning inahitaji kwanza kuwa na dish ambalo tayari lipo positioned let say intelsat906-c,liangalie kwa kujifunza ikibidi chukua picha kwa pembeni(lateral view), weka alama kwenye nut inayoshikilia mabomba mawili nyuma ya dish (alama iweke pale bomba la chini linapoishia) ss unaweza kulichezea dish unavyotaka kwani alama ulizoweka zitakuwa ref. yako.

Kama ndo kwanza unaanza pima 30cm kutoka pale nguzo ya nyuma inapoishia, urefu huu utakuwa wa bomba linaloingia kwenye nguzo ya nyuma kutokea juu na ifunge bolt .

Funga lnb yako ya cband kwenye mstari no 36 na hakikisha umeweka neflon(ki2 kama sabuni) ndani ya lnb. Fungua receiver yako tafuta window ya intallation setting. Ntaendelea nikipata muda
 
Mkuu vipi? Tena mbona kimya sasa wanafunzi tushafika kwa darasan mda mrefu tukikusubiri tuendelee na somo letu.
 
mkuu hebu anza na introduction za haya mavitu,aina za dishes,recivers,decorder na ubora wa kila kinoja,fullm installation natakiwa niwe na gadgets zip nk
 
Samahani sana ndugu zangu nilikuwa tatizo la kiufundi modemu yangu iliharibika kuniwia vigumu kidogo kuwa online. Aidha iliniwia vigumu kutumia simu yangu.

Sasa tatizo limekwisha leo na nimerudi tena maeneo angalau umeme si jambo la anasa tena. bila shaka zoezi nililowapa la kuzizoea receivers/decoder zenu limekamilika.

Kwa hiyo kesho mjiandae kwa somo la kuinstall
satellite intelsat 906 cband (zinzpopatikana tvs za bongo).Vifaa vinavyohitajika ni receiver, ungo wa cband ft6+, lnb cband, cable wire, cable pins, spanners na ruler. 2taonana kesho, byeeeeeeeeeeeeeeee
 
Dish langu ni la futi 6, LNBF ni C-Band, Receiver ni media Com MFT 910+New. Nilifanikiwa ku-install local channels ITV(na ndugu zake), Star TV,TBC1. Tatizo radio zake sizipati? Pili, nimenunua LNB ya pili C-Band, naomba kanuni za kuifunga na frequency zilizo upande mmoja na aljazeera. Tatu, ninashindwa kupata channel ten. Ahsante.
 
22 Reactions
Reply
Back
Top Bottom