Ulimi kiungo kidogo mambo yake MAKUBWA!!
Unaponifurahisha ulimi ni katika kutongoza tu..
mie hunifurahisha kazi unayofanya baada ya hilo zoezi kufanikiwa...
Nimekupa Like hapo kaka,umeiona..???
wahenga walisema ulimi uliponza kichwa.Ulimi hauna mfupa lakini una uwezo wa kuvunja moyo! Na ni kiungo kidogo mwilini ila habari yake kubwa mno!